Si kwa kutumia vita au mitutu ya bunduki bali kwa kutumia sheria za kimataifa za baharini. Nafikiri unafahamu matatizo yetu pale tunapofika mahakamaniHahahahaah watakua hawajipendi kutaka mazaga ya tz ...kwanza wanaogopa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha hawatuwezi hao.. Tz tunaweza kua tunazingua kesi za mambo mengne ila kuhusu mipaka heheheheh atakufa mtuuSi kwa kutumia vita au mitutu ya bunduki bali kwa kutumia sheria za kimataifa za baharini. Nafikiri unafahamu matatizo yetu pale tunapofika mahakamani
Mzee tumeshapigwa chini kesi nyingi za kimataifa. Hawa Malawi sijui itakuwaje pindi wasaa wa kesi utakapowadiaHahahahaha hawatuwezi hao.. Tz tunaweza kua tunazingua kesi za mambo mengne ila kuhusu mipaka heheheheh atakufa mtuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee tumeshapigwa chini kesi nyingi za kimataifa. Hawa Malawi sijui itakuwaje pindi wasaa wa kesi utakapowadia
hahaha china waoga wale wa vitaa hawezi scramble ya kuingia msituni kumwaga jeshi ktk heavy battle kwa ajili ya resource ...
And who is the main funder of UN, UN capital? Now you know.U.N funds Amisom.
Ni hii Kenya ilokumbwa na njaa na kuagiza mahindi na kushindwa kujitosheleza sasa inaweza kulisha wengine?Nyinyi hata omba omba wenu hamuwezi wasaidia, sisi ndio tunawalisha kila siku. Mtawezaje kutulisha?
Somali's claim kidoogo ina make sense kwenye hio Map. Ila kenya's Claim ni total nonsenseWasomali wameamua kama noma na iwe noma!View attachment 1024981View attachment 1024982
Sent using Jamii Forums mobile app
Watatoa support kimya kimya
Ila bahati nzuri uhuru ni diplomatic genius wataelewana tu
Sent using my iPhone using jamiiforum app
Haha! 😀 Anaitwa P.K., Peter Kenneth a.k.a Swaga balaa. [emoji1] Jamaa yupo Jubilee sasa hivi, if you can't beat them, join them. Nilimuaminia sana huyu jamaa kwa kampeni za kuwavutia vijana na ile kauli yake kwa lugha ya sheng, Tunawesmek.Sure Uhuru ni bonge la kiongozi kwa kenya ni diplomatic person nazani atafanikiwa kuwaaunganisha wa KE ....iv Kenya yule aliyekuwa mgombea urais last election amabae alikuwa wanasema ni handsome somebody keneth sijui.....iv kapotelea chaka gani ?
Ramani ipo wazi ukinyoosha mstari wa mpaka Somalia wapo sahihi.
povu ruksa