Mchina kushusha ushuru ni mbinu maana anajua Africa ina export raw materials tu. China inaongoza kuhujumu viwanda vya Africa ili apate soko la kuuza fake products zake.China ndio taifa pekee ambalo limedrop tariffs kwa bidhaa za Afrika hadi kufikia 0%
Hii inaziwezesha nchi za Afrika ku-export bidhaa zao China easily.
Nitajie nchi ya West ambayo imewahi kufanya hiki alichofanya China
Mchina kushusha ushuru ni mbinu maana anajua Africa ina export raw materials tu. China inaongoza kuhujumu viwanda vya Africa ili apate soko la kuuza fake products zake.
Umetoka kupona Ebola unakimbilia kisukari halafu unasema kisukari ni bora kuliko ebola? west na east kiuchumi ni magonjwa yanayoweza kuiua Africa. Ogopa mchina anayetoa mkopo usiolipika kwa rehani ya msitu, wote ni kuishi nao kwa balance.
NdiyoUnawafahamu wachina vyema???
Nitajie bidhaa zinazotoka Africa kwenda China. Zote utakuta ni raw material siyo finished products. China angeanzisha manufacturing industries ndani ya Africa na kuajiri 50% waafrika, kidogo angeeleweka. Ipo siku China itakuwa hasara kwa waafrika kuliko west.Zero tariffs ina manufaa au haina manufaa kwa Afrika?
Nitajie bidhaa zinazotoka Africa kwenda China. Zote utakuta ni raw material siyo finished products. China angeanzisha manufacturing industries ndani ya Africa na kuajiri 50% waafrika, kidogo angeeleweka. Ipo siku China itakuwa hasara kwa waafrika kuliko west.
Vuta feg kwanza akil itulie.Haujajibu swali
Mbona Mchina amefungua viwanda vingi Afrika. Hivi unafikiri kuanzisha mfg industries ni kama kufungua duka?
Investor wa kiwanda anaangalia mengi kabla ya kuwekeza. Aliwajengea kiwanda cha Urafiki kikawashinda
By the way Mchina amefungua viwanda vidogo na vya kati hapa Tz mfn ukienda mkoa wa Pwani utaona.
Amewekeza kutokana na miundombinu iliyopo hauwezi kuinvest heavy industries kwa nchi kama Tanzania ambapo sio supportive
Mfano Ukienda S.A utaona Mchina amefungua kiwanda cha FAW, Egypt amefungua kiwanda cha kutengeneza EVs kwa sababu miundombinu yao inasupport
Tunaenda kwa fact sio kubwabwajaVuta feg kwanza akil itulie.
Kuna raia wa kigen wanatumia JF kutetea maslah ya nchi zao. Huenda nabishana na macho membamba.Tunaenda kwa fact sio kubwabwaja
Hamuwajui wachina...Yoyo Zhou China ndiye rafiki wa kweli wa Afrika na kwa sasa hakuna mbadala wake.
Ni jukumu la Afrika kuchangamkia fursa zinazotolewa na soko la China na kuhakikisha linalitumia kikamilifu.
Udumu milele urafiki wa China na Afrika