MAKANGEMBUZI
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 2,670
- 7,655
We uliyefika ebu tuambie kuna nini huko?Nani kakwambia kua kuna kupumzika?
😀 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We uliyefika ebu tuambie kuna nini huko?Nani kakwambia kua kuna kupumzika?
😀 😀
ww uliyefika ebu tuambie kuna nini huko?Nani kakwambia kua kuna kupumzika?
😀 😀
Binafsi siamini maisha baada ya kifo, nikilala ndo jumla nakua rutuba wajukuu walime vizuriNani kakwambia kua kuna kupumzika?
😀 😀
Mkuu soma tena comment yangu,ww uliyefika ebu tuambie kuna nini huko?
Utakuw na 60years ukawaz kama 27 years ,Ukiwa na afya bora unaweza kuwa na miaka 60 ila una mtazamo wa kijana wa miaka 27 na ukiwa na afya duni unaweza kuwa una miaka 27 ila una mtazamo wa mzee wa miaka 100.