Waafuatao ni baadhi ya wadau waliouona uzi huo, wanaweza kuleta ushuhuda hapa kama nilichoandika kilikuwa kina ukiukaji wa kanuni, taratibu ama sheria yoyote ya JF ama ya 'cyber'
cute eyes
msondomba
MLEVi Mmoja
Mr Devil
konda msafi
Griseofulvin
Na wengine wote mliosoma mmeshuhudia.
(Hakika nimevunjika moyo sana)View attachment 1370788View attachment 1370790
James Jason
Jinsi ya kufanya ili mke aweze ku-'squirt'Daah kumbe ndo maana juzi nautafuta niusome vizuri sikuuona aah
Kuna simulizi ya mtu ulimwanzishia uzi lakini siuoni tena Jamaa anakula kuku na Yai lake
ngoja nikutagKuna simulizi ya mtu ulimwanzishia uzi lakini siuoni tena Jamaa anakula kuku na Yai lake
Sent using Jamii Forums mobile app
How I Met My Wife...Kuna simulizi ya mtu ulimwanzishia uzi lakini siuoni tena Jamaa anakula kuku na Yai lake
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani upo ,nmekumiss mnoo,yaan nasoma nikiona neno la kikwetu,mazingira pia nahisi kma vile niko nyumban,nafurahi mnoo hadi nacheka pekee yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kunshenu pëe?Jamani upo ,nmekumiss mnoo,yaan nasoma nikiona neno la kikwetu,mazingira pia nahisi kma vile niko nyumban,nafurahi mnoo hadi nacheka pekee yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Aminmzee ubarikiwe sana...kuna ya kujifunza mengi sana umu kwenye hii story
Sent using Jamii Forums mobile app