Uhusiano wangu kimapenzi na "Hamida"

Uhusiano wangu kimapenzi na "Hamida"

1. "The Peedumed Garden" - Umar ibn Muhammad Nefzawi - 15th Century

2. "French Sex Art Manners" - Georges Valensin - 1970

3. "Kama Sutra' - Vatsyayan Richard Francis Burton

James Jason

James Jason
Heshima kwako mkuu, mzee mwenzangu. Hili somo na lipewe heshima yake. Vijana wa sasa wape kuvimbisha misuli na wasijui inakazi gani kwenye 6*6. Halafu kuna baadhi wanazo kebehi aisee!

At the end of the day, watu wengi tumefanana mambo. Upande mmoja, Story ya "Jamal na Hamida", hiyo ni ya wazazi wangu. Sisi ni matunda ya huo msoto wa mshua na mama yetu. Sisi ni Vizazi vyao vya baada ya uhuru.

Kitambo sana nilikuwa sipo JF. Kongole kwa kuturejeshea kumbukumbu.

Sisi hatujabahatika kurudi nyumbani mapema kama wewe. Lakini hivi tupo, mguu mmoja huku, mungine kule.
 
Heshima kwako mkuu, mzee mwenzangu. Hili somo na lipewe heshima yake. Vijana wa sasa wape kuvimbisha misuli na wasijui inakazi gani kwenye 6*6. Halafu kuna baadhi wanazo kebehi aisee!

At the end of the day, watu wengi tumefanana mambo. Upande mmoja, Story ya "Jamal na Hamida", hiyo ni ya wazazi wangu. Sisi ni matunda ya huo msoto wa mshua na mama yetu. Sisi ni Vizazi vyao vya baada ya uhuru.

Kitambo sana nilikuwa sipo JF. Kongole kwa kuturejeshea kumbukumbu.

Sisi hatujabahatika kurudi nyumbani mapema kama wewe. Lakini hivi tupo, mguu mmoja huku, mungine kule.
Kama hutojali, waweza kutusimulia yale yasiyo na madhara ili tupate kujifunza
 
Kama hutojali, waweza kutusimulia yale yasiyo na madhara ili tupate kujifunza
Dah! Kuna muda huwa nafikiria hili jambo. Nitajitahidi pindi muda utaruhusu. Vile nipo baina ya bara taktiban tatu, huwa sipati muda wa kulianza jambo na nilikhitimishe khususan mitandaoni.

Lakini kuna simulizi humu, nitapita nayo kwa kuijazia nyama ili na kile nilicho nacho kama mafunzo kipitie humo humo. Nitaongeza chachu na vile vile niweke na maji sehem ilimradi ujumbe ufike.

Changamoto labda nitakayo ipata huenda ni kwenye tasfida. Mods nitawataka waniwee radhi endapo kuna maneno yatakayo onekana yana ukakasi, basi wayatafutiye misamiati sahihi.

Sana lugha inanitatiza. I've been abroad all my teen ages till now. So I might have some languages shortcomings, so bare in mind.

Lugha sijapoteza. Lakini katika kutafakari au kwenye hali lazima niwe very thoughtful and serious, kizungu ndo huja juu(French, English) na kiarabu.

Nitajitahidi. So stay tunned...
 
Dah! Kuna muda huwa nafikiria hili jambo. Nitajitahidi pindi muda utaruhusu. Vile nipo baina ya bara taktiban tatu, huwa sipati muda wa kulianza jambo na nilikhitimishe khususan mitandaoni.

Lakini kuna simulizi humu, nitapita nayo kwa kuijazia nyama ili na kile nilicho nacho kama mafunzo kipitie humo humo. Nitaongeza chachu na vile vile niweke na maji sehem ilimradi ujumbe ufike.

Changamoto labda nitakayo ipata huenda ni kwenye tasfida. Mods nitawataka waniwee radhi endapo kuna maneno yatakayo onekana yana ukakasi, basi wayatafutiye misamiati sahihi.

Sana lugha inanitatiza. I've been abroad all my teen ages till now. So I might have some languages shortcomings, so bare in mind.

Lugha sijapoteza. Lakini katika kutafakari au kwenye hali lazima niwe very thoughtful and serious, kizungu ndo huja juu(French, English) na kiarabu.

Nitajitahidi. So stay tunned...
Tunasubiria kwa hamu sana
 
Offdays

Nimeanza kuandika simulizi fupi, pitieni kwenye uzi huu


 
Offdays

Nimeanza kuandika simulizi fupi, pitieni kwenye uzi huu


Sawa baba.
 
Offdays

Nimeanza kuandika simulizi fupi, pitieni kwenye uzi huu


Mimi mimejifunza mengi sana kutoka kwako ngoja niufate Huo Uzi Nika subscribe
 
Offdays

Nimeanza kuandika simulizi fupi, pitieni kwenye uzi huu


Wacha nikapate madini. Nimeandaa na miwa ya kusindikizia simulizi
 
Offdays

Nimeanza kuandika simulizi fupi, pitieni kwenye uzi huu


Asee, asante sana Jason Bourne, leo sijui nini kimenifanya nipite hapa.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Simulizi bora kabisa. Ni ya kwanza kwa ubora katika orodha ya simulizi nilizowahi kusoma hapana JF.

Pamoja na kuwa na visa vizuri,
Humu ndani unajifunza historia( unaweza kuzijua sehemu mbalimbali za nchi).

Unajifunza tamaduni mbalimbali.

Unajifunza kiswahili fasaha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simulizi bora kabisa. Ni ya kwanza kwa ubora katika orodha ya simulizi nilizowahi kusoma hapana JF.

Pamoja na kuwa na visa vizuri,
Humu ndani unajifunza historia( unaweza kuzijua sehemu mbalimbali za nchi).

Unajifunza tamaduni mbalimbali.

Unajifunza kiswahili fasaha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante kwa 'credit'

Shirikisha na wengine huenda wakajifunza vitu.
 
Back
Top Bottom