Iguguno pale ndio home aisee maeneo mengi uliotaja nayafahamu hiyo parokia ya chemchem ni siku nyingi sana tunaiskia tangu tukiwa wadogo big up kwa story nzuri.Funguka kidogo mkuu
Msegemnege vp 😂naisubiriHivi Kipemba bado yupo Iguguno? Somebody Mussa Kipemba.
He! Kumbe nikajua ushaandika iko sehemu una copy and paste.Ijumaa usiku in shaa Allah, naendelea kuandika matupio kama matatu hivi, nipi la pili sasa.
Sijaiandika, ningekuwa nayo ningeiweka yote, sipendaGi wasomaji wasubirie sanaHe! Kumbe nikajua ushaandika iko sehemu una copy and paste.
Weka arosto mbaya wee ukimaliza tupio weka 😂😂Tupio la 9 lipo tayari, sasa sijui niweke au nisubirie hadi Ijumaa niweke matupio matatu yote
Hayo Sasa mambo Bby wake Hamida 😁Tayari
Na tupio la 10 namalizia kisha nitaweka.
Aisee Musa Kipemba ni watoto wa Mbali Kitoko walihama wakahamishia biashara singida Mjini dah ila kaka kweli unaijua iguguno aisee kwa kunitajia huyo jamaa.Hivi Kipemba bado yupo Iguguno? Somebody Mussa Kipemba.
Kuna story mpya kumbe mbona sjaipata hiyo.Msegemnege vp [emoji23]naisubiri
Kuna story mpya kumbe mbona sjaipata hiyo.