Uhusiano wangu kimapenzi na "Hamida"

Uhusiano wangu kimapenzi na "Hamida"

SEHEMU YA 15
****************

Kulikuwa na sherehe ya kimila ambayo hufanyika kwa mwaka mara moja na safari hii ilikuwa inafanyika kijiji cha Manyomba, jirani na mto Sibiti ambapo ukiuvuka tu unaingia Meatu (W).

Wataturu wote waliopo Iramba na wake zao hukusanyika katika sherehe hizi ambazo hufanyika baada ya mavuno (Wiki ya mwisho ya mwezi wa sita ama wiki ya mwanzo ya mwezi wa saba)

Sherehe hufanika kuanzia Ijumaa asubuhi hadi Jumapili jua linapozama. Wazazi wangu walinisisitiza nisikose safari hii kwa kuwa kwa miaka sita hivi mfululizo sikuhudhuria.

Nilishindwa kuwakatalia, hivyo nilichukuwa likizo fupi ya siku 14 ili niweze kuhudhuria sherehe hizo. Katika sherehe hizo kuna mambo mbalimbali ya kimila ya kufanya, kujadiliana mambo mengine mbalimbali, baadhi ya vijana kuhitimu mafunzo ya jando (na unyago) hivyo kupandishwa daraja, kujadili mgogoro sugu wa vita kati ya Wanyiramba na Wataturu.

Mwaka huu (1983) sherehe ilipangwa ifanyike kuanzia tarehe 24 mwezi wa sita nami likizo ilianza tar 21 ambapo ingeisha tare 4 mwezi wa saba.

Niliiandaa Corona lift-back yangu kwa ajili ya safari, ilikuwa ni safari yake (gari hiyo) ndefu ya kwanza tangia niinunue maana route zake zilikuwa ni nyumbani, kazini, mizunguko ya mjini na umbali mrefu iliyowahi kwenda ni Sanzale Bagamoyo.

Mke wa mdogo wangu wa Bagamoyo ilibidi aje Dar kulinda nyumba, mimi na mdogo wangu wa kiume na Rehema tulijumuika safarini.

Nilishanunua zawadi mbalimbali za kuwapelekea wazazi, wadogo zangu pamoja na baadhi ya jamaa, buti ya gari ilikuwa imejaa vizuri. Nazi, Sukari, Mchele na mazagazaga mengine, bila kisahau maji ya kunywa ya chupa aina ya Glacier (imported)

Siku ya Jumanne tarehe 21 saa tatu usiku tulianza safari kutoka Upanga kupitia barabara ya umoja wa mataifa kisha kufuata barabara ya Morogoro. Tulitembea taratibu kupita Magomeni, Manzese, Ubungo, Kimara hadi tulipofika Mlandizi tulipaki kidogo kwa ajili ya kujisaidia haja ndogo na kununua baadhi ya vitu vya kutumia njiani. Baada ya dakika kama kumi hivi tuliendelea na safari tena kwa kasi zaidi baada ya kufika kwenye lami nzuri (wakati huo) kuanzia Mlandizi kuelekea Chalinze.

Saa nane za usiku tuliwasili Morogoro. Morogoro ulikuwa ni mji unaopendeza sana hususani usiku, taa za umeme zilikuwa zinapendezesha sana mji, tulipumzika tena kwa dakika chache kisha tuliendelea na safari na saa kumi na mbili na nusu asubuhi tayari tulikuwa tumepaki Bahi road kwa ajili mapumziko mafupi.

Tulitumia muda huo kuongeza petroli kwenye gari, kupiga miswaki na kunawa uso, kunyoosha miguu na viuno tayari kwa safari ya njia ya vumbi kuelekea Singida.

Tulifika Manyoni saa nne na robo hivi asubuhi na kupata mapumziko ya kupata chai. Tulianza kuonja ladha ya Singida kwa kunywa chai yenye ladha ya chumvi-chumvi.

Saa tisa alasiri tuliwasili Singida mjini na kupata chakula cha mchana katika hoteli (restaurant) moja iliyokuwepo maeneo ya stendi kuu ya mabasi.

Baada ya kula chakula nilianza kuhisi uchovu na kumwambia mdogo wangu aendeshe, nilihamia upande wa kushoto, nikalaza kiti kidogo na kufumba macho. Niliamshwa tulipofika Iguguno kwa ajili ya kununua vitunguu, kisha safari iliendelea...

Saa moja na nusu hivi jioni tuliwasili kijijini Ibaga, tayari nilikuwa nimeshaamka kabla ya kufika Mkalama, nilianza kusikia harufu za kuvutia za mboga maarufu za kijijini wenyewe wanaziita 'ndalu' (Nswalu). Kumbukumbu nyingi zilinijia...
****

Kipindi nasoma Chemchem kulikuwa na gari dogo moja tu kijijini Ibaga, Landrover 108 ya Polisi (FFU), malori mawili ya mzee Anthoni, na Landrover nyingine moja ya misheni ambayo huja mara moja moja.

"Leo hii nimekuja na gari yangu, alhamdulillah" nilijisemea kimoyomoyo na kujikuta machozi yananilengalenga.

Harufu ya ugali wa mtama na milenda ilizidi kukolea tulipofika maeneo karibu na stendi lakini tukakunja kulia kama tunafuata Kanisa la KKKT kisha tukakunja kushoto na kufika nyumbani.

Watoto na majirani walikuja waliposikia mlio wa gari, palijaa watu kwelikweli na kupafanya nyumbani kwa mzee Jason kuwa kama pana sherehe.

Tulishuka sisi bila kushusha chochote kutoka kwenye gari, tulipokelewa na wazazi na majirani tuliwasalimia na kufurahi.

Watoto walianza kulishikashika gari huku wakilizunguka, gari bado lilikuwa linanguruma na sisi bado tulikuwa hatujaingia ndani, nikaamua niwafurahishe watoto (na wote waliokuwepo) kwa kuweka kada ya kaseti ya Orchestra Super Mazembe na wimbo 'Kasongo' ulianza kuimba...



Watoto walicheza sana pale na kufurahi, baada ya dakika kumi hivi wimbo uliisha na nikazima redio ya gari pamoja na gari na kuwaambia wakapumzike ila waje tena jioni tufurahi pamoja.

Maisha ya ujamaa yalikuwa raha sana, yani majirani mnakuwa kama familia moja, chakula unakula nyumba yoyote muda ukikukutia hapo, kazi kwa pamoja na kadhalika, lakini hali ilianza kubadilika mwaka mmoja baadaye baada ya nchi kukumbwa na hali ngumu zaidi ya uchumi na kusababisha uhaba wa chakula hadi tabia za uchoyo zilianza kujitokeza.
***

Tulipata fursa ya kuoga na kula chakula cha usiku kwa pamoja, wanawake upande wao na sisi wanaume upande wetu. Wanawake (wanne) wakiwa wamekaa kwenye mkeka na sisi wanaume (wanne) kwenye 'vigoda'.

Alikuwepo Mama, dada mkubwa na dada mdogo kabisa pamoja na msichana aliyekuwa anasaidia kazi za hapo nyumbani, huku upande wetu alikuwepo Baba, mimi na mdogo wangu pamoja na kijana aliyekuwa anasaidia kishughulika na mifugo.

Wazazi hawakuwa wanajua ujio wetu siku hiyo hivyo tulikula tulivyoandaliwa kwa haraka haraka. Tulikuwa ugali wa mahindi (dona), samaki wa kukaushwa kwa moshi kutoka mto Sibiti (Nsie + mihomolo), maziwa mgando (yaliyo chekechwa), nsansa, na mlenda ulioitwa 'kuruga' na wenyeji. Ilikiwa menyu safi sana, tulikula huku tukiongea na kucheka kila mara. Upendo katika familia huleta furaha na amani sana. Tuliongea zaidi baada ya chakula hadi muda wa kulala ulipowadia tukaelekezwa tutakavyo lala.
***

Kulipokucha baada ya chai, tulikaa mimi, baba na mdogo wangu wa kiume tulijadili mambo mbalimbali ikiwemo suala la mimi kuoa. Walinikazania nioe binti wa Kitaturu mwenzangu kwa kuwa hadi sasa hakuna mrejesho kutoka kwa familia ya mzee Burhani.

Wakawa wamenitonesha kidonda na kuanza kurudisha fikra nyuma na kuanza kumuwaza Hamida ambaye tayari alishaanza kupotea katika mawazo yangu.

=

Tulifika siku ile kwa mzee Burhan mzee wangu akiwa ameva suti maridadi kabisa 'Ngwabi' niliyomnunulia kwa ajili ya sikukuu ya krismasi ya mwaka juzi (1981), mama yangu alivaa gauni zuri lakini lilifunikwa na vitenge vizuri ya urafiki, mdogo wangu wa kiume na mimi wote tulivaa suruali za vitambaa na mashati ya mikono mirefu na kuchomekea vizuri, mdogo wangu Rehema ambaye tayari alikuwa anapenda kujitanda mitandio alikuwa amevaa kwa kujistiri vizuri, Dada mkubwa alikuwa amevaa sketi na blauz nzuri sana na kichwani alijifunga kilemba, mzee Katibu kata alikuwa amevaa kanzu yake nyeupe, kofia aina ya tarabushi nyekundu na bakora mkononi. Hakika tulikuwa 'tumetokelezea'

Tulikaribishwa vizuri na mazungumzo yalianza...

"Karibuni sana mjisikie mpo nyumbani" Alisema mzee Burhani

"Kwakuwa Jamaal anatujuwa wote humu basi naomba yeye afanye utambulisho" Aliamuru mzee Burhani.

Niliwatambulisha wazazi wangu na ndugu zangu wote na mwisho nikaanza kumtambukisha mzee Katibu Kata...

"...Na huyu hapa ni rafiki yangu mzee Kassim, yeye ni Katibu..." Nikakatishwa...

"Katibu Kata huyo tunamfahamu wote labda hawa wageni kutoka Zanzibar" Mzee Burhani alidakia.

Nikaendelea kuwatambulisha wenyeji kwa ndugu na wazazi wangu.

Tuliongea vizuri na kufurahi hadi mwisho wa kikao tukapata chakula cha mchana pamoja.

Waliuliza mengi kuhusu mila, tamaduni na desturi zetu, na mambo mengine kadha wa kadha ya kawaida katika maisha, wazazi wangu ndio walikuwa wajibuji wakuu.

Tuliagana na kutakiana heri na kwamba watatupatia majibu baada ya wao nao kufanya kikao cha wanandugu.

Tuliondoka kwa kutumia teksi mbili, mdogo wangu wa kiume alienda nyumbani na Rehema, dada mkubwa na mama; mimi, baba na mzee Kassim tulielekea Mwananyamala kumshusha mzee Kassim kwanza kisha kurudi nyumbani kupitia daraja la salenda.

Kwa wiki tatu zaidi wazazi wangu nilibaki nao, walipata fursa ya kutembelea shamba la Bagamoyo, pia niliwatembeza sehemu mbalimbali muhimu za jiji la Dar es Salaam.

Wiki mbili hivi baada ya kile kikao kwa mzee Burhani, nilipokea simu kutoka kwa Hamida, alikuwa anaongea huku kama analia...

"Assalaam aleikum" alisalimia

Nilimjibu na kumuuliza habari za tangu kikao akawa anajibu kwa kigugumizi...

"Nzuri kiasi lakini si nzuri..." Alisema.

"Kulikoni?" Nilihoji

"Kesho panapo majaaliwa nitaondoka Tanzania kuelekea Oman, dada amekuja kunichukuwa, tutaondoka na ndege ya saa nne usiku" Alisema.

Moyo wangu ghafla ukaingia baridi na kuhisi kuishiwa nguvu.

"Naomba kama inawezekekana kesho uje ofisini" nilimwambia.

"Sawa, nami nilitaka nije nikuage" Tulimaliza na kukata simu.

Ilikuwa siku ya Jumapili mchana, siku yangu iliharibika kabisa nikawa sina raha na kujilaza ndani.

"Kaka chakula tayari" alinigongea mlango mdogo wangu Rehema, kisha akasema...

"Mbona uko hivya kaka, siyo kawaida yako, kunanini?"

"Mapenzi tu mdogo wangu" Nikimjibu.

Rehema alikuwa ana miaka 19 na bado alikuwa hajajihusisha na mambo ya uhusiano wa kimapenzi (nilikuwa najuwa hivyo)

"Ukipata mchumba, nakuombea upate anayekupenda na familia yake pia ikupende, vinginevyo utapata vikwazo vingi sana" Nilimuambia.

Alikuwa akiniangalia tu kwa huruma kisha akasema..

"Kwani kumetokea nini maana baada ya kuongea na simu tu ulibadilika"

"Wifi yako mtarajiwa anasafiri kwenda nje ya nchi, lakini wakati akiniambia alikuwa analia hivyo alibadilisha mood yangu" Nilimjibu kwa ufupi.

Baada ya chakula nilipoteza mawazo kwa kuangalia mikanda wa video, nikiwa na mdogo wangu sebuleni, tuliburudika kwa video za nyimbo za Afrika kusini, Zaire, Marekani, na mwisho tulimalizia kwa filamu ya siku nyingi sana 'Thief of Baghdad' ambayo ilitufanya tuchelewe kulala kusubiri iishe, ni filamu inayosisimua sana ingawaje ilichezwa miaka arobaini hivi iliyopita (1940's)
***

Palivyokucha niliwahi sana afisini, hata Betty hakuwa amefika, nilimkuta mlinzi na kuingia afisini kwangu.

Betty alivyofika alishangaa sana kuona nimewahi kuliko kawaida...

"Boss, leo umeniwahi" Alisema Betty

"Ni kweli nimekuwahi, nataka nimalize kazi fulani kisha natarajia mgeni, huenda nikatoka" Nilimjibu...

Betty aliendelea na kazi zake na nikawa bize afisini.

Saa tatu kasoro Betty akaja afisini na kunijulisha kuwa kuna mgeni wangu. Nilimuuliza yupoje, akaniambia ni yule binti wa kiarabu...

"Mwambie anisubiri, nakuja" Nilimwambia.

Nikamalizia kazi fulani hivi kisha nikatoka. Siku hiyo nilikuwa nimevaa chini viatu 'mocasin', kaunda suti niliyoshona Kitumbini kwa R.D Gordhan, 'tailor' bora sana wakati huo, sikuvaa kofia.

Nilitoka na kumkuta Hamida amejiinamia.

"Ooh Hamida, karibu" Nilisema na akainuka na kusimama kisha tukakumbatiana huku Hamida akiwa analia kichinichini.

Betty alikiwa amesimama akishangaa, nikamwambia...

"Mama, sisi tunatoka, nitachelewa kurudi, kuna tatizo nalishughulikia"

Betty aliinua kichwa kuashiria ameelewa.

Tulichukuwa teksi moja kwa moja hadi Kibodya Hotel barabara ya Nkrumah jirani na mnara wa saa. Nilichukuwa chumba kizuri chenye utulivu, na kuagiza tuletewe breakfast chumbani.

"Enhe, niambie nini kimetokea?" Nilimuuliza huku wote tukiwa tupo kwenye sofa.

"Dada na mumewe wa Oman walikuja wiki moja iliyopita, wananitaka niende Oman kukaa huko kwa muda..." Akasita kidogo kisha akaendelea...

"Baada ya nyie kuondoka siku ile, sisi tuliendelea na kikao lakini baadaye kidogo nikaambiwa niondoke ili wao wajadili bila uwepo wangu." Akajifuta machozi kisha akaendelea...

"Nilitoka mle sebuleni na wakafunga mlango, mie nikajifanya naondoka kwa kuburuza miguu ili wasikie hadi kufika chumbani kwangu na kufungua mlango na kuufunga bila kuingia..."

Mhudumu wa huduma za chumbani hotelini alibisha hodi, nikainuka na kumfungulia, akatuwekea chai mezani kisha tukamruhusu aondoke kwa kumpatia ahsante ya sarafu ya 'gwala.' (Shilingi 5)

Hamida akaendelea...

"Nilivua malapa (ndala) na kunyata kurudi mlangoni kusikiliza kilichokuwa kinaendelea"

"Enhe" nilichagiza

"Nilisikia mabishano makali sana hasa baba na Shangazi, Baba alikuwa anakataa mimi nisiolewe na mwafrika, yani wewe..." Alisema.

"Mabishano yalikuwa makali lakini baba hakuwa na hoja zaidi ya kukataa kuniozesha kwa mwafrika kwamba tutaharibu ukoo..."

"Wazee kutoka Zanzibar walimsihi sana Baba, Shangazi na mumewe pia lakini alisimama na msimamo wake kwamba bila walii ambaye ndiye yeye ndoa hakuna.., bora akaolewe huko huko Oman hata kama kwa kijana mwingine, baba nilimsikia hivyo..."

"Baada ya kusikia maneno hayo sikuweza kuvumilia kusikiliza tena nilirudi kwa kunyata hadi chumbani kwangu na kufungua mlango bila kuingia na kwenda uani (siyo maliwatoni) na kurudi kisha kuingia sasa chumbani na kubamiza mlango" Alimaliza

Nilishusha pumzi, kisha nikamwambia tunywe chai, akasema yeye ameshakunywa Msasani nami nikamwambia sijisikii hamu ya kunywa saa hizi pia, tutakunywa baadaye kidogo.

Sikutarajia kama mzee Burhani angeweza kuweka kikwazo kwa sababu dhaifu hivyo, nilijikuta nimeinama hadi Hamida alivyonizindua...

"Sasa jana ndio Baba alimpigia simu Shangazi kuwa niende na dada wa Oman, na tikiti (tiketi) tayari wameshanikatia kwa ndege ya leo Jumatatu saa nne usiku, hivyo kuripoti ni saa moja jioni."

"Nahisi huu ni mpango wa baba japo hawajaniambia lolote kuhusu maamuzi ya kikao walichomalizia, hata aunt hajaniambia kitu ila naona tu amezidisha upendo kwangu"

"Nimepiga simu kwa mamkuu Zanzibar pamoja na Somo yangu pia nimeongea naye, wote hawana la kusema kwa kuwa haitokuwa ndoa bila walii endapo watalazimisha kuifungisha kwa nguvu ama kwa siri."

"Ndiyo nikaona ni vyema nikupigie nikujulishe maana na mimi ndio nimejuwa jana tu tena muda mbaya, lakini akili ikanijia ya kutaka kuja ofisini kwako leo asubuhi nikuage rasmi hadi tutakapo onana tena panapo majaaliwa..."

Akainama akaanza kulia..

Nikaanza kumbembeleza, hatimaye nami nikatikuta natokwa na machozi. Tukawa tuna bembelezana hapo kwenye sofa na kujikuta hatimaye tumeanza romance...

Hamida siku hiyo alikuwa amevaa 'full pink colour', na alikuwa ananukia vizuri kama kawaida yake.

Tulianza kupunguzana nguo kimya kimya kisha kujikuta tayari tupo kitandani.

Tulipiga 'show' kali sana, Hamida hakuwa yule mwanfunzi wa 'sex intercourse' kama nilivyomjua, alikuwa fundi haswa, alizungusha kiuno kama mzaramo au mmakonde, alijuwa style mbambali ambazo zingine nilipanga nimfundishe baada ya kumuoa, kwa mara ya kwanza Hamida aliomba corn (koni) alambe, na aliitendea haki hadi nikawa namgusa kichwani ili apunguze maana wazungu walianza kubisha hodi, kwa mara ya kwanza Hamida alimeza mabeberu wote na kukausha dushe kwa ulimi, kwa mara ya kwanza Hamida alianza kukaa doggy inavyopaswa, ili mradi hakuwa Hamida yule niliyemfahamu kabla.

Nilijuwa hii ni kazi ya somo yake, na kwa hakika anastahili kupewa pongezi, si kwa mchakamchaka ule hadi nikakumbuka nilivyo mpelekesha Nyansoo hadi akomba poo!.

Kuanzia saa nne kasoro asubuhi hadi saa kumi na nusu ndiyo tulitoka pale 'Kibodya'. Aliniambia nimpeleke Magomeni, dada yake na mumewe pia walikuwa wanamaubiria hapo. Msasani alishaaga kabisa hivyo kabla ya kuja afisini kwangu alipitia kwao Magomeni na kuacha vitu vyake.

Ule mkoba wa pink aliokuja nao aliniachia pamoja na vilivyomo ndani, sikuviangalia mara moja, bali nilimruhusu ashuke kwenye teksi maeneo ya Hospitali ya Magomeni ili aende kwa miguu hadi kwao.

Saa kumi na moja na robo teksi iligeuza na kumuelekeza dereva elekee Upanga maeneo ya Scout, kisha nilimwelekeza mtaa ninaoishi akaniacha hapo.

Saa kumi za usiku nikapokea simu, ikiita kwa muda mrefu, kumbe ilikuwa simu ya Hamida...

"Assalaam aleikum, tumeshafika salama, bado tuko airport lakini muda si mrefu tutafuatwa kuelekea nyumbani kwa Dada. Dada anasema wala siyo mbali ni kama kilometa 12 hivi kutoka hapa."

Alisema hamida kwa sauti ya kawaida.

Nilimtakia heri na kumuasa asiache kunipigia simu ama kuniandikia barua kila akipata wasaa.

Tuliongea kwa muda hadi aliponiaga kwamba gari imewafuata, tukaagana kwa kubusu viongeleo vya simu.

Usingizi ukawa umekata na dakika chache nikasikia Swalaa Swalaa, muadhini akianza kuwaamsha waumini. Nikajiandaa kwa ajili ya ibada.

Hiyo ndiyo ilikuwa mara ya mwisho kiwasiliana na Hamida. Kwa miezi tisa hivi kumekuwa na ukimya ambao ulinivunja moyo kuhusu kumuoa kipenzi changu.
****

=

Baba aliniambia kuwa kisichokuwa riziki yako huwezi kukila, hivyo niridhie atakacho niambia mama yangu baadaye kidogo. Tulimaliza mazungumzo ya asubuhi na tukaanza kushusha na kuiingiza ndani mizigo iliyopo kwenye gari tuliyotoka nayo Dar.

Walifurahia zawadi, lakini mie mawazo yangu yote yakawa kweye maneno atakayoniambia mama baadaye.

Baada ya chakula ndipo mama aliniita na kuniambia suala la kumuoa binti fulani (namfahamu) wa familia ya mzee fulani boma ya tatu kutoka kwetu kule tulipokiwa tunakaa mbugani.

Binti ndio kwanza alikuwa ana miaka 18, nami wakati huo tayari nilikuwa na miaka 25. Alizaliwa wakati mimi naanza shule kwa kulqzimisha pale Chemchem).

Nilimuacha akiwa ana miaka sita hivi ama saba wakati naenda mjini kufanya kazi NMC. Mama aliniambia kuwa sasa amekua na ana tabia njema sana...

"Ni bora uoe binti tunaye mfahamu na mila ni moja kuliko kusubiria usichokuwa na uhakika nacho na chenye mashaka makubwa..." Mama alisema kwa uchungu...

"Wewe sasa umri umepitiliza, una miaka 25 hujaoa, vijana wenzio wote mliokuwa mnacheza nao wameoa, angalia hata mdogo wako ameoa huko Isanzu na tayari ana mtoto mmoja" (alizungumzia yule wa Bagamoyo)

Wewe bado tu una subirisubiri, sisi tunataka wajukuu, umri wetu umeenda sana (50's) kwa hiyo tunataka tuwaone wajukuu kabla hatujazikwa" Alimaliza mama.

"Mama, nimekuelewa, nitakujibi kesho nikiamka, ngoja kwanza nione nitapata mawazo gani usiku."

Sikutaka kumjibu kwa kumpa moyo wala kumkatisha tamaa mama yangu kipenzi. Nilitaka niongee na dada yangu mkubwa kwanza ambaye ameolewa huko huko Manyomba usukumani na alipata fursa ya kumfahamu vizuri.

"Ruti (Ruth) namfahamu vizuri..." Dada alinieleza

Ruth (siyo jina lake halisi) ndiye binti ambaye baba na mama wamependekeza nimuone. Dada alimsifia kwa sifa zote hadi nikapata hamu ya kumuona. Bado alikuwa akiishi kule mbugani baada ya kupita Chemchem lakini kabla ya kufika Manyomba.

Ilikuwa tarehe 23 siku hiyo na sherehe zinatarajia kuanza kesho asubuhi. Tulianza kujipanga kwa ajili ya kesho. Jioni ile watoto wengi wakikuja tena pale nyumbani, nilimwambia Rehema akipe wali mwingi ili watoto wale nao wapate kula. Ilinunuliwa mbuzi, nikaichinja, kisha iliandaliwa vizuri sana.

Saa mbili usiku zilipakuliwa sinia tatu kubwa zilizojaa wali mweupe na nyama ya mbuzi iliyoiva barabara..

Palitandikwa jamvi kubwa, na watoto wakakaa mistari miwili ya kuangaliana kisha wakajigawa idadi sawa kwa kuzunguka sinia na kuanza kula wali.

"Mushele muûzá næibï" alisikika mtoto mmoja ambaye alikuwa mtundu sana, akimaanisha wali mtamu sana.

Walikula pale wali wote bila kubakisha, na hata uliodondoka chini kwenye jamvi waliokota na kula...

Nasi tulikuwa tunakula sanjali na wao katika makundi mawili mengine, yaani sisi wanaume peke yetu, mama na dada zangu peke yao.

Baada ya hapo niliwasha mziki kwenye redio ya gari wakawa wanacheza kufurahia. Wimbo wa Kasongo na Mikolo mileki mingi wa Orchestra Veve waliomba irudiwe rudiwe sana.

"Wansi mooo! Zaire ndogo hiyooo" walisikika wakichagiza na kufurahia
***

Mapema asubuhi nilimuambia mama akiwa peke yake kuwa nimekubali mawazo yao lakini hadi nimuone Ruti kwanza. Akafurahi na kuniambia kuwa tutamkuta Manyomba kwenye sherehe.

Baada ya chai nikapanga namna ya kwenda Manyomba, wenzetu wengi kutoka sehemu za Iramba walishaanza kutangulia kwa njia mbalimbali ikiwemo baiskeli na kwa miguu tangia juzi na jana, hivyo bila shaka Manyomba palishaanza kuchangamka.

Dada mkubwa, dada wa kati, dada mdogo na mama nilianza kuwapeleka hadi Manyomba, njiani karibu na kufika tuliwaona wenzetu wengi wakielekea huko na tulivyofika tuliwakuta wengine wakianza kuimba (kama dhikir hivi) kwa kuhamasisha huku wengine wakiendelea kuandaa vyakula ikiwemo nyama za ng'ombe na mbuzi kwa kupikwa na zingine kuchomwa.

Niliamua kurudi Ibaga na dada mkubwa ili tupitie kwa akina Ruti, tulimkuta akiwa na vijana wengine wengi wa kiume hapo kwao, Ruti alipomuona Dada akaja kumsalimia na kumuambia ameweka biashara ya nguo za asili pamoja na mapambo ili wapita njia wapate kununua kisha yeye ataenda baadaye huko Manyomba.

Dada alinitambulisha kwa Ruti na tukasalimiana kwa kushikana mikono. Yani siyo Ruti yule niliye mfahamu miaka iliyopita, alikuwa ameumbika haswa na haiba kama ya Rose wa Lindi lakini huyu alikuwa ni 'mbichi' zaidi.

Nilimuacha Dada hapo na mie nikaelekea Ibaga kuwachukuwa Baba na mdogo wangu wa Bagamoyo.

Kutoka Manyomba hadi Ibaga si zaidi ya kilometa ishirini hivyo sikutumia muda mrefu kufika nyumbani na kuwachukuwa baba na mdogo wangu.

Hapo nyumbani walibakia vijana wawili, kijana yule wa kusaidia kazi za mifugo na binti aliyekuwa akisaidia kazi za ndani.

Vuuuuuuu, hadi kwenye boma yetu ya zamani, tulisimama kwa muda kisha tukasogea kwenye boma ya akina Ruti.

Boma yetu ilikuwa imechakaa sana, hapakuwa akiishi mtu, ilikuwa sehemu ambayo sasa hapana 'uhai'..

"Pamekufa hapa, lakini ni muhimu kuweka uzio wa majani ya miba kwenye makaburi ya babu na bibi yako, tutafanya kazi hii baada ya kumaliza sherehe" Baba alisema.

Kwa akina Ruti tayari tulikuta Dada ameshampanga na kumshawishi tuende naye kule Manyomba, bidhaa zake tuzipakie kwenye gari.

Hakyanan Ruti amefanana na Rose, tena wote wameanzia na herufi R.

Nilimuangalia tena Ruti kwa jicho la tatu na kumuona jinsi alivyoumbika, nikawaza hivi huyu hawajamtahiri kweli huyu!

Nikajikuta namuuliza dada kwa kisirisiri kwa pembeni, akaniambia kuwa baba na mama yake Ruth walifuata ukatoliki hivyo wakati anazaliwa hawakumfanyia mila hizo zisizofaa.

Dada alimsaidia Ruti kuweka bidhaa zake kwenye buti kisha wakakaa siti ya nyuma pamoja na mdogo wangu wa kiume, baba yeye alikaa siti ya mbele.

Tuliendelea na safari hadi tukafika Manyomba.

Baada ya chakula cha mchana Dada alitengeneza mazingira ya mimi kuwa na Ruti kwa muda...

"Mpeleke mgeni kule mtoni (sibiti) akatembee, muende hadi pale wanapovua samaki mkikuta samaki wakubwa ununue" alisema dada na kuniuliza umeelewa huku akitabasamu..

"Nimeelewa Dada" Nilijibu pia nikatabasam

"Eee ndio muende mimi nitamuuzia bidhaa zake wakija wateja.
****

Ni kawaida siku ya sherehe za kimila kila mmoja wetu kuvaa mavazi ya jadi, hivyo nami 'nilitinga' mgolole wangu mweusi, fimbo, kisu kidogo kiunoni kwa ndani, na nilivaa bukta.

Nikamfungulia Ruti mlango wa mbele, akaketi, nikaufunga nami nikazunguka upande wa pili na kuingia na kuanza safari ya kwenda mtoni sibiti. Hapakuwa mbali hivyo dakika chache tu tulifika, kukatuka wavuvi wameshakausha Kambale na pelege kwa moshi, tulinunua na kuondoka lakini si kwa kurudi kijijini Manyomba bali uelekeo sambamba na mto sehemu ambapo hakuna watu kabisa.

Tuliegesha gari sehemu tulivu chini ya kivuli cha mti mkuyu. Nikamwambia ashuke kwenye gari na tukawa tumeegemea gari nyuma ya buti.

Nilimuuliza Ruti jinsi anavyonifahamu, akajieleza weee, kumbe yeye ananifahamu kukiko mimi ninavyomjuwa, na akaniambia kuwa mama yangu alimfuata siku za nyuma na alimshauri niolewe nami, yeye hakuwa na kipingamizi bali kama nitakuwa nimempenda basi utaratibu wa kawaida ufuatwe, yaani kupeleka habari ya kumchumbia, kutoa mahari nitakayopangiwa kisha nimuoe.

Tuliongea sana, mwisho tukakaa chini na kivuli kilizidi kuongezeka urefu na upana kadri jua lilivyosogea kuelekea magharibi zaidi.

Sikuwa na munkari wa kuonja tunda, kwakuwa dini ilishanikaa na nilihisi atakuwa bikira, hivyo sikupenda purukushani katika mazingira yale. Lakini shetani hakuacha kunishawishi...

"Nawa hata mkono" sauti ikinijia kichwani eti nipime oil tu, du! Nikamuamuru tusimame tuingie kwenye gari siti za nyuma. Nilimfungulia akakaa siti ya nyuma ya dereva, na nikaisogeza siti ya dereva hadi mwisho karibu na usukani. Nikazunguka upande wa pili mbele nako nikasogeza siti hadi mbele, kisha nikaingia ndani ya gari.

Nikaangalia kulia na kushoto, nyuma na mbele pote pako clear, hakuna dalili hata ya mbuzi tu. Hapakuwa na mtu kabisaaa yani mazingira tulivu kwa mambo ya faragha.

Nguo za jadi huleta wepesi fulani hivi ukitaka kupapasa, nilimuinamia kidogo na kumuambia...

"Naomba nikunyonye maziwa"

Hakusema kitu bali alijipekenyua kidogo tu chuchu hii hapa.

Nikaona dalili kama ya kimbunga hivi, zile vumbi za vijijini zenye kuzunguka, nikamwambia subiri kwanza, nikaenda siti ya dereva na kuwasha gari, nikawasha kiyoyozi na kuongeza spidi ya feni hadi mwisho ili hewa ya joto itoke haraka, kisha nikapunguza hadi spidi ya chini kabisa kisha nikaweka joto nyuzi "very cold" kisha nikafunga vioo vyote.

Haikuchukuwa muda 'Mufindi' tukaanza kuihisi barabara. Mazingira ya kule ni joto la wastani wa nyuzi 27 hadi 31 wakati mwingine, hivyo nilijuwa tu Ruti atapigwa na baridi ya kutosha (naona hapa shetani alinishauri kimyakimya) huku mie nikiendelea kumyonya chuchu zake.

"Baridi" alisema neno hilo huku akitetemeka kwa baridi.

Nikaenda kuzima gari na kufungua vioo vya mbele kidogo kiasi cha hewa ya nje kuingia. Nikarudi na kuendelea kunyonya vichuchu vya Ruti, nikaanza kumpapasa na sehemu nyingine za mwili na hatimaye nikapima oil, tayari alikuwa ameloa, akili ikanituma niingize kidole nicheki utandu wa bikra (hymen) kama upo...

Sikuamini kidole changu, maana kilipitiliza nchi tatu hivi, nikatoa, nikanusa, oh yes, K ya kienyeji kabisa pale midadi ikanizidi, nikatamani nihakikishe uwepo wa bikra kwa dushe...

Mazingira ndani yalikuwa hayaruhusu, nafasi ndogo, hivyo nikamwambia ajifunge lubega (hakuwa amevaa chupi, bali kinguo fulani hivi kama kisketi}, tukawa tupo nyuma ya gari kwenye buti, nikaangalia kulia na kushoto, clear, nikamnyanyua na kumuweka juu ya buti ya gari, miguu yake inaning'inia huku mimi nipo katikati ya mapaja yake na vikojoleo vikawa level moja ila futi moja hivi apart. Nilishusha bukta yangu hadi usawa wa magoti nikaanza kulambisha dushe kwa papuchi sehemu pendwa, nikaona bukta inanitinga (inanipa tabu / usumbufu), nikamalizia kuitoa na kuiweka nyuma mgongoni kwake, nikaendelea kubrash kigoroli, Ruti akazidi kukolea...

Nikakumbuka maneno muhinu ya jandoni kwamba mwanamke ni mfano wa chungu cha udongo na mwanamme ni mfano wa sufuria, kwamba inabidi uchochee sana 'kuni' ili moto uweze kukipasha vyema chungu ili sasa chakula kiive vizuri, na hata baada ya kuipua chungu bado hua cha moto hivyo subira yahitajika ili chungu kipoe vizuri lakini kwa sufuria inawahi kupata moto na kuwahi kupoa...

Niliendelea kuchochea hadi kis*imi kilichobahatika kutopunguzwa kwa kuondolewa sehemu ya nyama kilisimama ndiiii! Na utelezi ulikuwa wa kutosha nata sikupata muda wa kukaguwa ulikuwa ni ute wa namna gani.

Ilikuwa ni muda muafaka wa kuhakiki bikra, dooooh, kitu kilipita fresh bila kikwazo, sikushtuka bali niliendelea kupiga tako za taratibu huku nikihakikisha kila inside and outside stroke inasugua kisponji. Haikuchukuwa muda Ruti akaanza kutoa milio ya kitaturu pale huku akijivutavuta nywele kama amepagawa na mashetani, mwisho akanishika mabegani kwa nyuma na kunivutia kwake, nami nikadidimiza yote ka kuanza kusugua 'A' spot, akalegea na mie nikamzuia asiangukie kioo cha gari (cha nyuma) na kupiga nje ndani zile za kuita wazungu huku nimebana mat*ako kama vile naogopa kuchomwa sindano ya 'kristapin', mara wazungu hao, hao, hao...

Walikuwa mabeberu haswa ukizingatia muda niliokaa mpweke.

"Ilikiwa tamu sana, turudie nyingine" Alisema Ruti huku akitabasamu

Nilishusha kwenye buti, kisha nikaenda kuvuta button ya buti halafu nikaja kufungua na kutoa chupa moja ya maji (Glacier Mineral water 1.5L) ili ayatumie kijisafishia. Aliyashangaa pale kisha akachuchumaa na kuanza kujisafisha.

Baada ya 'touches' nyingine pale nje ya gari, niliamua kumpelekea moto kwa njia ya yeye kuinama hadi anashika chini, kisha nikaingiza dushe halafu nikamwambia ainuke ashike buti kitu kikiwa ndani. Nikaanza kupampu taratiiibu huku nikisugua gspot kiuhakika kwa kila nje ndani, nilianza taratibu kama mwendo wa treni kisha kuchanganya kadri alivyokuwa anaitikia kwa miguno iliyochanganyika lugha za kisukuma, kitaturu na kinyiramba, nilipiga mashine sana hadi korodani zangu na sehemu ya mapaja yangu kulowa, nilimpelekea mashine hadi miguu yake nikaona inakosa nguvu, nikachomoa na kumpandisha juu ya buti kama mwanzo nianze mtindo wa 'kunyaza' (kisugua kigoroli na kis*imi kwa ujumla. Sugua sana pale hadi akanishika mabega tena nami sikufanya ajizi nikampeleke yote na kusugua 'A'spot akawa anarudi nyuma kidogo lakini anaifuata tena, hatimaye nikaamua nimpe penetration fupi ya kichwa cha dushe na sehemu ndogo ya shaft, sekunde kadhaa tu alipiga makelele ya kufika kilele kisha kulegea, nikamdaka asijibamize, nikaendelea kupiga nje ndani hadi nilivyo fika nami.

Tulitulia kwa muda huku vikojoleo bado vimeungana kisha nikaanza kumuuliza kuhusu lini alianza kuduu!

Alikaa kimya kwanza kwa sekunde kadhaa, nami dushe likaanza kupungua nikachomoa taratiiibu huku nikiona mali ghafi adhim kwenye dushe.

Nikanawa, naye akanawa kisha tukaingia ndani ya gari baada ya kuweka siti vizuri tukiwa tumejitanda manguo yetu ya jadi.

"Mwaka jana mwezi wa nne fulani (akamtaja jina) alinikamata wakati nachunga ng'ombe, aliniumiza lakini wazazi sikuwaambia kwa kuwa alinitishia..." Alianza kujieleza.

"Alinivizia siku nyingine napo akafanya tena, lakini sikuumia kama mwanzo, na akasema eti nisiseme atanioa..."

"Ila hadi sasa sijamwona kuja kwetu kwa ajili ya kutoa mahari, nikamchukia na tangia siku nilipomchukia sijafanya na mwanamume yeyote" Alisema na usoni alionekana ni mkweli.

"Okay, usijali Ruti, mie nitakuoa, nitawaambia wazee wangu wafanye utaratibu kwa kuja kwenu" Nilimtia moyo

Akajibu tu "Haya"

Nikamuuliza kuhusu biashara ya kuuza vitu vya utamaduni, akaniambia kuwa kuna wakati mama yake alikuwa anaumwa hivyo baba yake akauza ngo'mbe mkubwa akapata hela ya matibabu na hela nyingine ndio akapatiwa yeye akaanza biashara ya kuuza minadani...

"Ni miezi miwili na nusu tu tangu nianze kuuza na biashara siyo mbaya" Alisema.

Jua lilishalala upande wa magharibi, ndege wa porini walikuwa wanaruka kurudi kwenye viota vyao na mwanga ulianza kuwa wa dhahabu, tukaamua kurudi kijijini Manyomba.
************

Itaendelea...View attachment 1358890View attachment 1358891

James Jason

Mimi naenda mdogo mdogo na hii stpry ya ndugu yangu JBourne59, nimeipenda hii episode 15, nimevifurahia vyakula vyetu vya nyumbani, ndalu, kuruga ne nsansa
 
~ SEHEMU YA 17 ~
( NA YA MWISHO )
********************

Mzee Burhani: "Jamaal bin Jason"

Mimi: "Rabeka!"

Mzee Burhani: "Umekubali kumuoa Hamida binti Burhani kwa mahari mliyo kubaliana?"

Mimi: "Naam, nimekubali kumuoa Hamida binti Burhani kwa mahari tuliyokubaliana"

Mzee Burhani: "Jamaal bin Jason!"

Mimi: "Rabeka"

Mzee Burhani: "Nakuozesha binti yangu Hamida kama alivyo amrisha Mwenyezi Mungu, uishi naye kwa wema na ikitokea mtaachana basi uachane naye kwa wema"

Mimi: "Naam, ninamuoa Hamida binti Burhani kama alivyoamrisha Mwenyezi Mungu, nitaishi naye kwa wema na ikibidi kuachana nitaachana naye kwa wema"

Mzee Burhani: "Jamaal bin Jason"

Mimi: "Rabeka!"

Mzee Burhani: "Nimekuozesha Hamida binti Burhani"

Mimi: "Nimemuoa"

Nikasikia vigelegele shangwe na ndirimo kutoka upande wa akina mama.

Dua ya kutuombea baraka, maisha mema na kizazi chema ikifuatia ikiongozwa Imamu mkuu wa msikiti. Kisha Imamu akanipa mkono, nami nikampa, alifuatia mzee Burhani, shemeji Yasir na waislamu wengine ndugu na jamaa waliohudhuria na kushuhudia ndoa ile.
*********************

=

Ilikuwa siku ya furaha sana siku hiyo baada ya maandalizi na subira ya muda mrefu hatimaye naenda kuoa.

Ilikuwa tarehe 18 mwezi wa tano mwaka 1984 Miiladia (kalenda ya Gregori), siku ya Ijumaa sawa na Shabaan 17 1404 Hijria (Kalenda ya kufuata muandamo wa mwezi tangia Mtume Muhammad (Rehema na Amani zimwendee) alipohama kutoka Makkah kwenda Madina.

Asubuhi na mapema niliamka kwa ajili ya swala ya alfajiri. Baadaye nikawa naweka mambo sawa kwa kuhakikisha mzee Kassim (mzee Katibu Kata) anafika Upanga pamoja na kijana wake ambaye ana umri kunizidi kidogo tu ambaye ndiye alitakiwa awe mpambe wangu wa kunisindikiza kwenda kuoa.

Mavazi ya harusi tayari niliyaandaa, wiki moja kabla tulienda Kariakoo pamoja na mpambe wangu kwa ajili ya manunuzi ya mavazi hayo, tulinunua sandals nyeusi za kufanana, kanzu nyeupe maridadi pamoja na suruali zake za ndani, saruni za kufanana (misuli / vikoi), vesti nyeupe (singlet), kofia zile ndogo kama wavaazo Wayahudi, Vilemba vyeupe na hagai nyeusi.

Tulinunua suruali spesho na mashati mazuri ya mikono mirefu pamoja na viatu vya kutumbukiza, pia tulishona suti nyeusi.

Wiki moja kabla ya ndoa mavazi yote yalikuwa tayari. Asubuhi ile mzee Kassimu na Kijana yake Yusuf walifika majira ya saa nne hivi upanga kwa ajili ya kusubiria muda ili tusogee maeneo ya Magomeni.

Wazazi wangu wote, Dada zangu (Jason Junior aliachwa kwa bibi yake mzaa mama), Mjomba wangu (kaka yake mama) na Shangazi yangu (dada yake baba) walikuwepo wiki mbili kabla, wiki ya kwanza walikuwa Bagamoyo na wiki ya harusi siku tatu kabla walikuwa kwangu Upanga.

Afisini kwangu nilipata 'support' ya kiofisi na wafanyakazi wenzangu walishiriki kikamilifu katika maandalizi Marry kutoka afisi ndogo naye alikuwepo kwenye kamati akiwa kama Katibu.

Vikao (vya afisini) kwa ajili ya maandalizi havikuwa vya siku nyingi, vilikuwa vikao vitatu tu ambapo ilikuwa ni kukusanya fedha kwa ajili ya kuchangia katika shughuli za harusi hususani zawadi kwangu na bibi Harusi.

Sherehe za harusi zilikuwa tofauti na siku hizi zinavyo sherehekewa, baada ya sherehe kuisha (Jumapili jioni) sisi maharusi tulisindikiwa kwenda fungate (honey moon) New Africa Hotel ambako tulikaa siku 7 na huko ndipo nilipata wasaa mzuri wa kumuhadithia kuhusu Ruth (R.I.P.) na Jason Junior. Hamida alinielewa na kunipa pole pia
****************

=

Wiki moja baada ya kuongea na Hamida (nilivyotoka msibani Singida), aliniambia kuwa hana sababu ya kuharakisha kuja kwa kuwa sasa mambo yote yameenda vizuri, hivyo atarudi mwisho wa mwezi huo (April)

Kweli alirudi Tanzania, baada ya wiki moja ya kukaa Magomeni akahamia Msasani ambako alikaa hadi siku moja kabla ya harusi. Somo yake kutoka Unguja naye alikuja siku chache baadaye kuwa pamoja naye katika mipango ya harusi.
********************************

=

Msibani nilikuwepo hadi tarehe 11 April (1984) Mdogo wangu yeye baada ya maziko, Jumatatu alirudi Bagamoyo. Siku iliyofuata kukawa na msiba mwingine wa Kitaifa. Alifariki Waziri Mkuu. Hivyo 'nilivuta siku' nikiwa Ibaga hadi Ijumaa nilipoondoka saa tisa za usiku kwa basi la Yellow Line.

Tuliweka utaratibu wa namna ya mtoto (Jason Jr) atakavyo lelewa, Dada mkubwa alijitolea kumlea, nami niliahidi kumsaidia kwa kila mahitaji.

Tulimaliza mila nyingine na familia ya Ruth walitaka wanipe mdogo wake Ruth nimuoe lakini nilisingizia sipo vizuri kisaikolojia, hivyo waniache kwanza.
*************************

=

Mapema asubuhi tulifika Singida mjini, nikapata usafiri wa Central Line Bus (Scania 82H) ambapo tuliondoka muda mchache baadaye. Chakula cha mchana tulikula Manyoni.

Jumapili asubuhi niliwasili Dar es Salaam, na kuchukuwa teksi hadi nyumbani. Nilimkuta mdogo wangu yupo vizuri kiafya lakini kama ana mawazo hivi, sikufanya mawasiliano naye tangia nilivyoondoka. Alifurahi sana kuniona.

Jioni wakati tunakula nilimpa yaliyojiri, alisikitika na kuhuzunika lakini hakuwa na jinsi, tulikubali kazi ya Mungu haina makosa.

Jumatatu niliripoti afisini kwangu kama kawaida, nilipokea pole nyingi. Saa saba mchana nikapokea simu kutoka Muscat, alikuwa Hamida.

Aliniambia kule kazini kwake walimkatalia asiondoke hadi wapate chef mwingine.

"Bahati nzuri ile Jumatatu aliripoti (Chef mwingine)

" Hivyo nilikuwa naye kuanzia asubuhi, ndio tumetoka wote muda huu yeye ataendelea kesho mie ndio nimeshamalizana nao" Alisema Hamida.

Tuliongea mengi baadaye tukakata simu. Aliniambia atarudi Tanzania hivi karibuni.
******************************************

=

Baada ya kupata ile barua ya kuonesha nifanye nini ili nikamilishe mahari, nilitumia uzoefu kupata mbao za mninga za kutosha kutoka Tabora kupitia 'connection' niliyokuwa nayo ya RTC na kupitia Kampuni ya usafirishaji ya mkoa wa Dodoma (KAUDO) ambayo maroli yao yalikuwa yanaenda kwa wingi Tabora kufuata Tumbaku kupeleka Morogoro.

Mbao zilikuja kidogo kidogo kwa tripu tatu. Kutoka Morogoro Zilipakiwa kwenye maroli ya CORECU (Coast Regional Cooperative Union) kuja Dar ambako zilihifadhiwa nyumbani Upanga.

Katika kupeleleza fundi mzuri wa samani (furniture), nilijulishwa kuwa kuna fundi seremara fulani aliyekuwepo Kijitonyama ni stadi sana na mwaminifu. Alikuwa anaitwa Peter. Popote ulipo Mr. Peter (real name) juwa kwamba zile furniture zipo mpaka leo, imara na zang'aa utadhani zimechongwa mwaka huu (nimeshazi 're-polish' mara kumi ama kumi na tatu hivi tangia 1984)

Ni furniture ambazo zilikuwa ni mahari ya mchumba wangu Hamida ambaye naye baada ya ndoa aliamua kunizawadia kama ahsante ya kumpenda na kumvumilia hadi tumeoana.

Kwa utaratibu wa kiislamu ni kwamba mahari yote ni ya mchumba (mke), Si wazazi ama ndugu hupaswa kuingilia katika kuitumia mahari labda kwa ridhaa ya binti yao.

Ingawaje katika mila na desturi za baadhi yetu wabantu, wazazi huwa wanatoza baadhi ya fedha au vitu ili kugawana Baba na mama mzaa binti muolewaji, Bibi na Babu wa bibti na Wajomba nk kutegemeana na Kabila na ukoo. Hivyo si ajabu muoaji ukaambiwa mahari ni kadhaa, mkaja wa mama ni kadhaaa, sijui nini ya baba, babu, mjomba, shangazi ni kadhaa... nk. Sasa kwa waisalmu anacho chukukuwa binti ni ile mahari tu.

Wengine hudiriki kumuuliza binti ataje mahari yake, lakini wao huongezea na kugawana kwa utaratibu wa kitamaduni ziada ya ile mahari.

Wengine (kama familia ya mzee Burhani hawachukui chochote kwenye mahari na wala hawaongezi chochote, na huu ndio utaratibu bora uliofundishwa ili kufanya wepesi vijana waweze kuoa. Wasishindwe kuoa kwa sababu ya mahari kuwa kubwa ingawaje pia katika uislam binti anayetarajiwa kuolewa hakatazwi kumtoza mahari kubwa mchumba wake hususani kama anajuwa uwezo wake kifedha.

Kikwetu (Utaturuni) mahari za kimila binti huambulia zawadi ndogo sana hususani mapambo yake lakini sehemu kubwa ya mahari huchukuwa baba na mama (Baba ofcourse kwa mfume dume).
******************************

Fundi Peter alinitengenezea zile samani vizuri sana, hakika mafundi seremala wa zamani walikuwa hodari sana.

Sanjali na samani hizo kuandaliwa, nilikuwa na kazi ya kusoma na kuhifadhi aya tukufu (Ayatul Qursiyu) kama sehemu ya mahari. Yaani kabla ya kumuoa inabidi nisome aya hiyo mbele ya walii wake (walii ni mtoa idhini ya ndoa mfano baba, babu, kaka etc katika utaratibu wa kiislamu) huku binti naye akisikiliza (japo kwa kutoonekana wakati wa kusoma au akiwa amejihifadhi ipasavyo.

Haikunichukuwa zaidi ya siku tatu nikawa naisoma ipasavyo kisha nikaanza kuendeleza kuhifadhi suratil Yassin kama ziada (or just incase) ingawaje sikutarajia kubadilishiwa kisomo tena kwa hatua iliyofikia.

Kuhusu mavazi ya bibi Harusi nayo ilikuwa juu yangu ambapo nilimpatia Hamida hela kupitia mzee Kassim ambazo alimkabidhi mzee Burhani, ili akanunue nguo azipendazo za harusi.
**********************

=

Tarehe 18 Mei ilikuwa siku muhimu sana kwangu, mimi na mpambe wangu Yusuf tulikaa nyuma ya mercides benz 240D, ilikuwa benzi niliyoazimwa na baba wa rafiki yangu Singasinga aliyenunua ile 504GL.

Ilikuwa ni mara yangu ya pili kupanda benzi ingawaje mara ya kwanza ilikuwa ile UNIMOG. Benzi hizi saloon ni gari zenye 'comfortability' ya hali ya juu, japo kwa kuendeshwa lakini niliona tofauti kubwa kati ya 'kikorona' changu na benzi hii. Mbele kushoto alikaa mzee Kassim na aliyekuwa anaendesha ni yule rafiki yangu wa kisingasinga.

Corona yangu iliwachukuwa Baba, mama, dada mkubwa aliyekaa mbele na katikati ya baba na mama nyuma alikaa mdogo wetu wa mwisho Rehema.

Datsun ikiendeshwa na dereva wa kujitolea kutoka afisini kwangu, mbele alikuwepo dada yake mzee Jason , nyuma walikaa kaka yake mama, dada wa pili, mke wa mdogo wangu wa Bagamoyo pamoja na rafiki zao.

Watu wa afisini walitumia Isuzu 3¼ pickup ya kazini, walijazana kwelikweli wawakilishi wa afisi wilaya na wawakilishi wa afisi ya mkoa.

Saa sita kamili tuliwasili eneo la mzee Burhani, mitaa miwili ilifungwa, maturubai nayo yaliweka na majamvi yalitandikwa barabarani kwenye mitaa yote miwili japo si kwa urefu wa mtaa mzima, upande mmoja wa mtaa walikaa wakina mama mbalimbali na upande mwingine walikaa akina baba. Kandokando kulijaa magari aina mbalimbali. Waalikwa wengi pale walikuwa wenye asili ya Asia, na wachache wabantu, wakati tunafika kulikuwa kuna somwa Maulid (mashairi ya kumbukizi ya kuzaliwa mtume Muhammad (Rehema na Amani zimwendee) huku dufu (ngoma ndogo) na 'nai' (kitu kama filimbi ama flute) zikisindikiza.

Wazazi wangu na ndugu na jamaa wengine walishuka na kupokelewa kwa furaha, ndirimo, vigelegele na vifijo na kuelekezwa sehemu za kukaa kwa mgawanyiko wa wanaume upande ule waliokaa wanaume na wanawake upande ule mwingine.

Sisi kwenye benzi hatukushuka, tulikaa hadi saa sita robo tulipoamua kwenda msikitini (mkauni) kwa ajili ya swala ya Ijimaa.

Ndoa ilipangwa ifungiwe nyumbani kwa mzee Burhani. Baada ya swala ya Ijumaa, Imamu aliwakaribisha waumini kuhudhuria ndoa hiyo.

Tulirudi nyumbani, tukiongozwa na mzee Kassim na Yusufu tulifika eneo lililotengwa kwa ajili ya kufungia ndoa.

Palitandikwa jamvi na juu ya jamvi paliwekwa zulia jepesi, kulia kwangu alikaa mzee Katibu Kata, kushoto kwangu alikaa mpambe wangu huku tukiwa tumekaa kwenye zulia nyuso zetu zikiwa zimeelekea 'kibla' (kibla ni kwa tafsiri ya hapa ni uelekeo kwa kuangalia msikiti mtukufu wa Makkah).

Imamu, mzee Burhani, masheikh na wazee wengine walikaa kwa kutuangalia sisi. Kulikuwa kama kuna umbo la duara ambalo lilitawanyika kama mawimbi ya kwenye maji yaliyotulia pindi jiwe litupiwapo humo.

Watu walikuwa wengi kwelikweli hata pamoja na kuangaza macho sikuweza kujuwa eneo gani alipo mke wangu mtarajiwa.

Mara, kwaswida zilisitishwa, Imami mkuu akachukuwa nafasi na kuanza kuongea. Hapakuwa na microphone wala speaker bali utulivu uliokuwepo ulifanya msemaji asikike vizuri.

Imamu alitoa amri ya mashahidi watatu kwenda kwa bibi harusi alipohifadhiwa na kuulizwa kama amekubali kuolewa nami.

Sijui hata walimuulizaje ila punde si punde nikasikia vigelegele na shangwe ya nguvu kutokea ndani (nyumbani kwa mzee Burhani)

Mara wale mashahidi, ambapo alienda mzee Kassim, Yusuf na Yasir, wakarudi na kutoa taarifa kuwa Hamida binti Burhani amekubali kuolewa na Jamaal bin Jason.

Baada ya maneno ya utangulizi ya Imamu, ilifuatia na hutuba ya ndoa (hotuba maalum ya ndoa ni moja ya mambo muhimu ili ndoa itimie.) Baada ya hotuba hiyo, mzee Burhani alisogea mbele kidogo kunifuata nami nikaambiwa nimsogelee na kuelekezwa kukaa katika namna ya kukunja goti ambapo tayari nilishafanyia mazoezi, nikashikwa mkono na mzee Burahani, mara kikatupiwa kitambaa kidogo cheupe juu ya mikono yetu iliyoshikana kama vile tunasalimiana.

Kisha mzee Burhani akaniita...

"Jamaal bin Jason"

Niliitikia na kufuata kama nilivyoelekezwa hadi ndoa ikakamilika.
***********************

Mzee Burhani alipomalizia kusema neno 'nimekuozesha' nami kujibu 'nimemuoa' kuliibuka shangwe ya vigelegele kutoka upande wa akina mama.
*************************

Ilikuwa mida ya saa saba na nusu hivi ama saa nane kasoro, nasaha zikaanza kutoka kwa Imamu mkuu; pamoja na mambo mengine lakini maneno mawili haya kila mara yalikuwa yanajirudia kichwani, kwamba...

"Leo umekamilisha nusu ya dini..."

Ima maana kijana wa kiislamu akioa anakuwa ametekeleza sunna ya Mtume (Rehema na Amani zimwendee) lakini pia anakuwa amekamilisha nusu ya dini (hata sikuelewa maana yake mara moja) ila nilisikia kuwa ibada ya swala rakaa mbili kwa aliyeoa ni bora sana kuliko rakaa sabini za mtu asiyeoa.

Jambo lingine ambalo lilikuwa likijirudia kichwani ni kwamba majukumu yote katika kumlea Hamida sasa yametoka kwa wazazi wake na kuwa juu yangu. Kwa maana makosa atakayofanya ambayo yanahusu usimamizi wangu basi na mimi nitapata sehemu ya dhambi husika vivyo hivyo kwa upande wa thawabu.

Nasaha zingine ziliendelea, na watu mbalimbali katika ndugu wa mzee Burhani ambao walikuwa wenye ujuzi wa elimi ya dini walipewa nafasi ya kutuwaidhi (kutupatia nasaha)

Imamu aliwakatisha na kuwaambia mpeni nafasi Bwana Harusi akamwone mke wake, niliambiwa nisimame na mpambe wangu pamoja na mshenga mzee Kassim, Yasir alifuata nyuma akiwa na mpiga picha akiwa na kamera zake mbili moja Yashika na nyingine ilikuwa ni Sony (Camcorder iliyokuwa inatumia kanda za HVS kubwa).

Nikaanza kukutana na 'vikwazo' njiani ambavyo lengo lake lilikuwa ni furaha na si kama wanavyofanya sasa hivi.

Yusuf tayari alisha nitahadharisha kuwa msafara kwenda kumuona bibi harusi huwa na vikwazo na utani mwingi ambapo dawa yake ni kuwa na hela za noti za shilingi kumi, ishirini, hamsini na shilingi mia. Hivyo nilijiandaa kwa hili na kumkabidhi hela hizo Yusufu.

Kwa upande wangu siku hiyo kikwazo cha kwanza kilikuwa ni cha mwakilishi wa bibi yake Hamida. Kutoka pale nje, tuliingia ndani kwenye ile korido ndefu ambapo safari hii ilikuwa imetandikwa mikeka na kujaa na msururu wa wanawake wa kiarabu kwa wingi wakiwa wamejipamba kwa mavazi yao ya sherehe, walipendeza kwelikweli, kwa mara nyingine nikiona 'visu' mabinti warembo wakinichekea chekea huku naelekea chumba alichowekwa bibi Harusi.

Bibi wa Hamida aliwekewa noti mbili za shilingi mia moja kwenye paji la uso, tukapita, vigelegele vikatusindikiza kikwazo cha pili kilikuwa cha wawakilishi wa Shangazi wa bibi Harusi, hawa waliwekewa kila mmoja noti ya shilingi hamsini juu ya mapaji yao ya uso, tukaruhusiwa, shangwe na nderemo zikasikika na kikwazo cha mwisho kilikuwa cha dada wa Hamida, hawa walikuwa na vituko sana, lakini baada ya kuwapatia kitika cha noti za shilingi kumi zikiwa kama kumi hivi au zaidi kidogo walituachia njia ya kuingia chumbani kwa bibi harusi huku vigelegele vingi vikitusindikiza.

"Tukamuone isije ikawa tumeuziwa mbuzi kwenye gunia" alisema Yusuf kwa kutania na kwa furaha.

Taraaaaaa! Tukaingia chumbani na kuona wanawake watano ndani, alikuwemo mama Warda, Wifi yake mama Warda (Aunt wa Msasani), Somo yake Hamida, Mamkuu wa Unguja na Bibi Harusi mwenyewe.

Bibi harusi alikuwa ameinama na alikuwa amevaa shela ya kijani iliyomfunika kichwa pamoja na uso.

"Assalaam aleikum wa Rahmatullah wa Barakatu" nilisalimia kwa ujumla, wakaitikia akina mama wanne kasoro Hamida sikusikia sauti yake...

"Msogelee mfunue umuone ni yeye?" Alisema mzee Kassim.

Nikapiga hatua moja na nusu mbele na kumsalimia (assalaam aleikum) huku kwa mikono yangu miwili nikimtoa 'veil' iliyomfunika uso, kisha akainua shingo na kuitikia "wa aleikum salaam" kwa sauti yake ambayo leo ilikuwa nyororo zaidi huku akitabasamu.

Kama nilivyoelekezwa katika semina kabla ya kuoa, nikamshila kichwa kwa kiganja cha mkono wangu wa kuume (kulia) na kumuombea dua njema na kujiombea maisha mema naye.

Tulikuwa tumeandaa bilaulii ya maziwa ambayo alipatiwa somo yake kupitia ndugu wengine nje, nikayachukuwa na kumnywesha kiasi, tukawa tunafurahi pale na kisha nikaketi juu ya kitanda kilichopambwa vyema na kunukia vizuri ambacho ndicho alichokalia yeye na somo yake, wale akina mama wengine walikuwa wamekaa kwenye busati.

"Haya sisi tutoke tuwaache maharusi waswali rakaa mbili za sunna" Alisema mzee Kassim.

Yusuf pamoja na Baba yake, Yasir na mpiga picha wakatoka kurudi nje, tukabaki watu sita mle chumbani mwanaume nikiwa peke yangu.

"Amka tuswali" Nilimuamrisha Hamida mke wangu.

Hamida alitii na tukaelekea kibla kwa ajili ya swala ya sunna rakaa mbili ambazo sasa zitakuwa bora kuliko rakaa sabini ambazo nilisali kabla sijaoa.

Baada ya dakika tatu hivi tulimaliza kuswali rakaa mnili, kikaomba dua ambalo wote mle ndani waliitikia amin. Pia nilitumia nafasi hii kukamilisha mahari ya Hamida kwa kuisoma aya tukufu na wote mle ndani walifurahi na kisema maa shaa Allah. Mahari nyingine nilishatanguliza wiki mbili kabla.

"Tayari wamemaliza kuswali" dada mmoja aliyekuwa nje ya mlango alisikika sauti yake.

Sekunde chache baadaye aliingia Yusuf mpambe wangu akiongozana na mpiga picha...

"Sasa tuelekee nje kwa ajili ya chakula kilichoandaliwa na Hamida. (Hakuandaa Hamida lakini ilikuwa ni namna ya kuwakilisha)

Tulitoka hadi nje, tukakuta wahudhuriaji wanaendelea kula pilau huku mazungumzo ya hapa na pale yakiendelea.

Sisi tukaelekezwa sehemu tofauti kidogo na pale tulipokaa mwanzo, palitandikwa mkeka mzuri tukaambiwa tuketi, yani mimi na mpambe wangu, nyuma yangu alikiwepo mzee Kassim na mzee Burhani wakiendelea kula.

Ghafla nikaona wamekuja mabinti warembo huku wakiimba na walishika khanga huku na huku wakituweka kati, na mabinti wengine wakitupepea kwa khanga zingine huku wakiimba "Bwana harusi anakula solo" (Solo ni chakula maalum kwa Bwana harusi kama ishara ya kuanza kuonja mapishi ya mkewe)

Ikaletwa sinia moja lenye wali mweupe wa nazi, bakuli moja kubwa la nyama ya kuku ya mchuzi, mbaazi mbichi zilizopikwa, matunda (mapapai) na juisi ya tende iliyochanganywa na maziwa.

Tulianza kula huku mabinti hao wakiimba huku wakitupepea, Yusufu alikuwa kila mara akirusha sarafu za gwala (shilingi tano) na hela nyingine noti noti za shilingi kumi na ishirini juu ya ile khanga iliyoshikwa huku na huku wakiitingisha wakati wa kuimba.

Tulikula vizuri hadi tukashiba na hao wasimamizi wa kutupepea kwa khanga na kutuimbia walishiba sarafu na noti. Ilikuwa ni furaha ya aina yake.

Baada ya chakula, maulidi iliendelea na baadaye ikasitishwa ili zoezi la utambulisho lifanyike. Ilikuwa ni fahari sana kwa mdogo wangu wa Bagamoyo kuwatambulisha wazazi na ndugu zetu wote waliohudhuria pale, na kwa upande wa bibi Harusi walitambulishwa na Yasir japo kwa mafungu mafungu maana walikuwa wengi kwelikweli, kutokea miji na nchi mbalimbali.

Ilifika wakati wa zawadi kwa ndipo nilaona vituko vya Marry alipoongoza kundi la uwakilishi kutoka afisini.

Hii ilikuwa baada ya swala ya alasiri. Nilipewa 'surprise' ya zawadi ya mashine kubwa ya kufulia na kiasi cha fedha ambacho tayari walilipa hoteli ya New Africa kwa ajili ya fungate (honey moon).

Sherehe zilienda vizuri na bibi harusi alizawadiwa vyombo vya udongo (made in France) vilivyojazwa kwenye show-case ambayo ilikiwa ni sehemu ya mahari niliyotoa, lakini kwa sababu ya ubebaji, havikuletwa mbele ya hadhara, alizawadiwa friji kubwa milango miwili pamoja na deep freezer, Oven yenye majiko ya kupikia ya umeme na mazagazaga mengi ambayo siwezi kuyaorodhesha yote hapa. Baba mzazi alituzawadia misahafu miwili pamoja na vitabu vidogo viwili viitwavyo 'furaha ya ndoa"

Imamu baadaye alikuja na kitabu cha hati za ndoa ambacho tuliweka sahihi zetu mie na Hamida kisha tukapewa hati ya ndoa kila mtu na nakala yake. (Baada ya fungate tulienda kusajili ndoa kiserikali katika afisi za msajili wa ndoa (enzi hizo mtaa wa Makunganya kama sijasahau.)

Jua lilivyoanza kuzama, baadhi ya watu waliondoka, lakini sherehe ziliendelea hadi saa tano za usiku, kulikuwa na burudani mbalinbali ikiwemo chakacha kwa watu maalumu, nyimbo za taarabu za Issa Matona na Juma Bhalo zilipigwa sana kutokea kwenye redio kaseti ya mzee Burhani, ilimradi kulikuwa na burudani isiyo kifani.

Saa nne za usiku wazazi na ndugu zangu walirudi Upanga, marafiki wengine walirudi makwao. Mimi na Hamida tuliandaliwa chumba maalum mle mle kwao kwa ajili ya kulala siku hiyo.

Tulipelekwa kwenye chumba kingine ambacho sikuwahi kuingia hata siku moja na kukuta samani zote za mahari zimewekwa mle. Chumba kilikuwa kimepambwa kuliko cha awali nilipomkuta bibi Harusi. Tuliingia mimi, Mke wangu Hamida, Somo yake na Mama Warda. Baada ya muda mama Warda akatoka tukabaki mimi Hamida na Somo ya Hamida. Aliniongelesha kidogo pale kisha akatuacha tukabaki wawili.

Nililetewa begi langu kutoka kwenye benzi ambayo bado ilikuwepo nje, kisha Singasinga nikamruhusu akapumzike lakini kesho akijaaliwa uhai na afya aje saa nne asubuhi.

Tulikumbatiana na Hamida kwa furaha na kuendelea kushikana kwa muda hadi machozi ya furaha yalianza kututoka.

Hatukuwa na munkari wa kugegedana kwa kuwa tayari tunajuwana vyema, siri yetu kati yangu, Hamida, Somo yake na nahisi Shangazi aliambiwa ila sina uhakika kuhusu mama yake.

Tulikuwa wenye furaha sana na tukaaza kujiandaa kuoga baada ya kupata chakula cha jioni. Chumba kilikuwa kina choo na bafu humo humo.

Tulivyotoka kuoga Hamida alisema...

"Hiki chumba ndio cha mama Warda" (yaani akimaanisha cha mama na baba yake)

"Leo kwa heshima tumeandaliwa sisi, hata kwa Dada Sabra walifanya hivihivi" Alisema mke wangu.

Da! Kinyaturu, kulala chumba alicholala mama ama baba mkwe ilikuwa inaleta ukakasi kidogo. Lakini kwa kuwa kiliwekwa samani mpya tena za mke wangu, niliridhika.

Hamida akaenda tena bafuni, akachukuwa beseni dogo na maji ya uvuguvugu kisha akaanza kuniosha miguu nikiwa nimekaa kitandani na kunifuta vizuri kisha akaipandisha miguu yangu kitandani.

Kisha naye akajifuta akapanda kitandani. Kwa nje sauti za watu zilianza kupungua lakini taarabu iliendelea kusikika hadi saa sita za usiku ndipo ikaanza kuwekwa kanda za kaswida na dhikri mbalimbali.

Chumbani nilizima taa yenye mwanga mkali na kuwasha 'blacklamp fluolescent' iliyokuwepo ambayo hutoa mwanga hafifu wa zambarau. Mashuka na chochote mle ndani chenye rangi nyeupe kilibadilika na kuwa na rangi murua sana.

Tukaanza michezo ya kitandani, papuchi ya Hamida ilikuwa "si ya nchi hii", yaani sijapata kuona upara wa papuchi namna ile, very very very clean and soft, nilipomuuliza imekuwaje, akanidokeza eti alinyolewa! Walitumia sijui nini sijui uzi, sijui sukari, sijui nta hata sikumuelewa, nikaamua tu 'nile halali yangu' tena safari hii ilikuwa kwa ufundi wa hali ya juu...

Tulivyoridhika tukapumzika hadi alfajiri tulipoamka kwa ajili ya ibada ya swala ya asubuhi.
*********

Asubuhi mapema saa moja hivi nilisikia sauti za akinamama wengi sana kutokea uani (siyo maliwatoni) na nje ya nyumba. Walikuwa wakiimba na kufurahi (nyimbo hata sizikumbuki wala maana zake), zilikuwa nyimbo za kimwambao na kiarabu. Sisi bado tulikuwa ndani juu ya kitanda tumeketi na kufurahia usiku wetu wa kwanza pamoja, usiku wa kwanza tukiwa mke na mume, jimai (gegedo) ya kwanza halali, kulala nyumbani kwa akina Hamida kwa mara ya kwanza yani ilikuwa ni furaha isiyoelezeka.

Saa mbili hivi asubuhi nilisikia sauti za dada zangu kwa nje, nikajuwa wazazi wangu pia wameshakuja.

"Ngongongo!" mlango ulibishwa

Nikainuka kwenda kufungua, nilikuwa nimevaa msuli na vest, mke wangu alikiwa amevaa gauni jepesi la chumbani lakini pia alijifunga khanga moja kifuani.

Nilipofungua mlango nikamwona somo yake Hamida, nikafungua zaidi akaingia ndani.

"Assalaam aleikum" alitusalimia huku akitabasamu.

Tulimjibu.

Mara akatoa kitambaa fulani cheupe kutoka kwenye matiti yake huku akitufanyia "Shhhhhhhhiiiii" na kuonesha ishara ya kufunga mdomo (yaani aliweka kidole chake cha mkono wa kulia cha shahada kwenye mdomo wake)

Kile kitambaa kilikuwa na matone ya damu (?), hata sijui alikipata wapi na lengo lake nini.

Mara akaanza kujisemesha pale kwa sauti kisha akapiga kigelegele kikali sana kisha akawa anaelekea mlangoni ili atoke na akaanza kuimba.

[emoji441] "Leo leo"
Wakina mama waliokuwa koridoni, wakaitikia "leo leo"

Wakarudia tena hivyo, ikawa:-

Somo: "Leo leo"
Wamama: "Leoleo"
Somo: "Hea hea"
Wamama: "Ea ea"
Somo: "Makungwi"
Wamama: "Leo mpango"
Somo: "Makungwi"
Wamama: "Leo mpango"
Somo: "Usione mambo yamekwisha!"
Wamama: "Hamida katufurahisha"
Somo: "Usione mambo yamekwisha"
Wamama: "Hamida katufurahisha"

Mara sauti zingine kutoka nje sikasikika wakiitikia wimbo

Somo alikuwa akicheza pale mlangoni kabla ya kutoka na mlango aliuacha wazi, sauti ikazidi kurindima, kisha akapotea pale mlangoni.

Hamida akawa anatabasamu mie 'sielewi elewi' nikamuuliza Hamida...

"Kulikoni?!"

"Hapo Somo amefurahi, anapeleka sifa kwa mama Warda na ndugu wengine kwamba Hamida amejitunza hadi siku ya ndoa, yaani ndio nimetolewa bikra usiku wa kuamkia leo na kile kitambaa ndio ushahidi" Alisema Hamida kisha tukacheka kwa kujizuia sauti isitoke nje!

"Kumbe ndio maana alitufanyia shhhhhhhhiiii" Nikisema kwa kunong'ona

"Ndiyo, lakini mie, na Somo na aunt tunajuwa mpango wote" Naye alisema kwa kunong'ona kisha akaendelea...

"Hii itampa sifa mama na baba kuwa wamenilea nikaleleka, pia kwa ndugu wengine na kuketa mfano ili nao wajitunze hadi siku ya ndoa" Alimaliza

"Kwani ndiyo uislamu unasema hivyo?" nikahoji

"Hapana, hii ni mila sijui desturi tu za baadhi ya makabila ya Kiarabu pia baadhi ya watu wa ukanda wa Pwani walichukuwa desturi hii" Alijibu

Ghafla wakaingia wakinamama wengi mle chumbani wakiimba akiwemo mama Warda huku wakicheza na kufurahi.

Sisi tulikaa kimya tu tumejiinamia, kisha wakatoka nje na kuendelea na kuimba nyimbo tofauti tofauti.

Dada zangu wote nao wakapata nafasi ya kuingia chumbani, walitusalimia na kufurahi, nao walijichanganya katika pilika za kuimba na kucheza.

Baada ya muda kidogo tuliletewa chai ya rangi, yenye viungo vilivyokolea sana, tuliletewa chapati, mchuzi 'shatashata' wa samaki, mikate ya kumimina na mahamri (kama maadazi hivi)

Tulipata kifungua kinywa pale taratiiibu. Nje nilikuwa nasikia sauti za furaha na redio iliwashwa tena ikisindikiza kwa nyimbo za harusi.

Akaingia Somo na kutuambia tukaoge na kuvaa. Tuliingia wote maliwatoni na kuanza kuoga. Mzuka si ukapanda, tukarudi chumbani tukapata kimoja maridadi kabisa kisha tukarudi tena bafuni.
***

Tulivaa mavazi ya 'siku ya pili', mke wangu alivaa vazi lake jeupe maalum kwa ajili ya sherehe huku akiwa amejihifadhi vyema na nywele zake hazikuweza kuonekana. Mimi nilipigilia suti yangu nyeusi kama tulivyokubaliana na Yusuf kuwa siku ya pili tutavaa suti nyeusi. Hali ya hewa haikuwa joto kali maana tulikuwa tunaelekea msimu wa baridi (ya Dar)

Tulipendeza sana, Somo akaja na baadhi ya akina mama wengine tukaambiwa tutoke nje...

Watu walikuwa wengi lakini si kama ilivyokuwa jana, tukaongozwa hadi kwenye gari (benzi) ambayo ilikuwa katikati ya msafara uliokuwa unatusubiri.

Msafara ulielekea hadi nyuma ya hospitali ya Ocean Road, wakati huo maeneo yale yalikuwa yana beach nzuri na kuna baadhi ya sehemu zilisakafiwa vizuri kwa mawe na saruji.

Magari 'yalijipanga' vizuri na watu wakatawanyika, nasi tuliambiwa tutoke kwenye gari, walitushangilia na picha ziliendelea kupigwa...

Tulitumia kama nusu saa hivi au saa kasoro kisha msafara ulianza kurudi Magomeni.

=

Jioni jua lilivyozama tuliandaliwa sehemu ya kukaa na mke wangu mbele ya halaiki huku wakituimbia na kufurahi. Sherehe ilifana sana.

=

Siku ya Jumapili watu wengi walipungua, walibaki ndugu wa jirani jirani na ilipofika saa kumi na moja jioni msafara wa kuelekea New Africa Hotel ulianza.

Hakika Kamati ya maandalizi ilifanya kazi yake vyema, nilikuta tumeandaliwa chumba maridadi kabisa (suite) ambapo tuliikaa humo kwa siku saba mfululizo.

Kila siku jioni tulikuwa tunapata wageni (ndugu wa pande zote) wa kutujulia hali.

=

Siku ya saba saa nne asubuhi gari yangu Corona ilitufuata na kutupeleka nyumbani Upanga na maisha yalianzia hapo upya.

Siku chache baadaye ikawa mwezi wa Ramadhani, tulifunga wote japo wife alikatisha katikati (siku za ada ya mwezi) kisha aliendelea kufunga alipokuwa tohara tena.

Nilibadilika na kuwa mume mwema sana.

Ndani ya ndoa tumejaaliwa kupata watoto sita, wa kiume watatu na wakike watatu wakitanguliwa na kaka yao Jason Junior ambaye sasa ana miaka 36. Hadi leo sina uhakika kama Rose (wa Lindi) alishika ujauzito, kama ndivyo basi ipo damu yangu iliyopotea.

=

Mwezi wa nane mwaka huo huo 1984 nilihamishwa afisi na kupelekwa Wizara nyingine, na maisha yangu yalibadilika sana kwa kushuka kiuchumi, lakini baada ya miaka miwili yakaanza kuwa bora zaidi na zaidi hadi nilipostaafu mwanzoni mwaka 2019 kwa utumishi wa muda mrefu na uliotukuka.
πππππππππππ

######MWISHO######

James Jason
Hatimae nimefika mwisho, hongera sana JBourne59 kwa uandishi uliotukuka, nimejifunza mengi lakini pia nimefurahia kuyapata mambo ya kwetu singida. Pole sana kwa kumpoteza Ruth na hongera kwa kijana wako wa kwanza Jason Jr
 
Hatimae nimefika mwisho, hongera sana JBourne59 kwa uandishi uliotukuka, nimejifunza mengi lakini pia nimefurahia kuyapata mambo ya kwetu singida. Pole sana kwa kumpoteza Ruth na hongera kwa kijana wako wa kwanza Jason Jr
Ahsante sana.

James Jason
 
Mimi naenda mdogo mdogo na hii stpry ya ndugu yangu JBourne59, nimeipenda hii episode 15, nimevifurahia vyakula vyetu vya nyumbani, ndalu, kuruga ne nsansa
Hakika vyakula vya asili ni vitamu sana, tena vina faida sana mwilini.

James Jason
 
  • Thanks
Reactions: ram
Uko sahihi kabisa mkuu vijana wengi tumekuwa wavivu kujifunza badala yake kujiona tunajua mambo mengi kuliko wazee wetu.

Nashukuru sana kwa simulizi yako nzuri na uandishi mzuri hata sisi vijana wa 90 tumepata picha ya yaliyotokea miaka hiyo kwa ufasaha zaidi kuliko hata tulivyosoma kwenye historia.

Naomba uendelee kutupa elimu vijana wako ikiwezekana hata jukwaa la kihistoria kwenye mambo mengine ya kijamii na kisiasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera sana mkuu kwa simulizi nzuri ya maisha yako pamoja na uandishi mzuri japokuwa nimechelewa sana kuiona lakini ilinichukua siku mbili kuweza kusoma vipande vyote.

Hakika nimejifunza mambo mengi ukiachilia mambo ya mapenzi lakini pia kwenye maisha kwa ujumla hata utumishi wako uliotukuka.

Kwa vijana ambao tumeingia kwenye ndoa kipindi hiki tunajifunza mambo mengi kutoka kwenu wazee wetu.

Tunaomba uendelee kutufundisha mengi mzee wetu...

Hongera na shukurani sana mzee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
~ SEHEMU YA 17 ~
( NA YA MWISHO )
********************

Mzee Burhani: "Jamaal bin Jason"

Mimi: "Rabeka!"

Mzee Burhani: "Umekubali kumuoa Hamida binti Burhani kwa mahari mliyo kubaliana?"

Mimi: "Naam, nimekubali kumuoa Hamida binti Burhani kwa mahari tuliyokubaliana"

Mzee Burhani: "Jamaal bin Jason!"

Mimi: "Rabeka"

Mzee Burhani: "Nakuozesha binti yangu Hamida kama alivyo amrisha Mwenyezi Mungu, uishi naye kwa wema na ikitokea mtaachana basi uachane naye kwa wema"

Mimi: "Naam, ninamuoa Hamida binti Burhani kama alivyoamrisha Mwenyezi Mungu, nitaishi naye kwa wema na ikibidi kuachana nitaachana naye kwa wema"

Mzee Burhani: "Jamaal bin Jason"

Mimi: "Rabeka!"

Mzee Burhani: "Nimekuozesha Hamida binti Burhani"

Mimi: "Nimemuoa"

Nikasikia vigelegele shangwe na ndirimo kutoka upande wa akina mama.

Dua ya kutuombea baraka, maisha mema na kizazi chema ikifuatia ikiongozwa Imamu mkuu wa msikiti. Kisha Imamu akanipa mkono, nami nikampa, alifuatia mzee Burhani, shemeji Yasir na waislamu wengine ndugu na jamaa waliohudhuria na kushuhudia ndoa ile.
*********************

=

Ilikuwa siku ya furaha sana siku hiyo baada ya maandalizi na subira ya muda mrefu hatimaye naenda kuoa.

Ilikuwa tarehe 18 mwezi wa tano mwaka 1984 Miiladia (kalenda ya Gregori), siku ya Ijumaa sawa na Shabaan 17 1404 Hijria (Kalenda ya kufuata muandamo wa mwezi tangia Mtume Muhammad (Rehema na Amani zimwendee) alipohama kutoka Makkah kwenda Madina.

Asubuhi na mapema niliamka kwa ajili ya swala ya alfajiri. Baadaye nikawa naweka mambo sawa kwa kuhakikisha mzee Kassim (mzee Katibu Kata) anafika Upanga pamoja na kijana wake ambaye ana umri kunizidi kidogo tu ambaye ndiye alitakiwa awe mpambe wangu wa kunisindikiza kwenda kuoa.

Mavazi ya harusi tayari niliyaandaa, wiki moja kabla tulienda Kariakoo pamoja na mpambe wangu kwa ajili ya manunuzi ya mavazi hayo, tulinunua sandals nyeusi za kufanana, kanzu nyeupe maridadi pamoja na suruali zake za ndani, saruni za kufanana (misuli / vikoi), vesti nyeupe (singlet), kofia zile ndogo kama wavaazo Wayahudi, Vilemba vyeupe na hagai nyeusi.

Tulinunua suruali spesho na mashati mazuri ya mikono mirefu pamoja na viatu vya kutumbukiza, pia tulishona suti nyeusi.

Wiki moja kabla ya ndoa mavazi yote yalikuwa tayari. Asubuhi ile mzee Kassimu na Kijana yake Yusuf walifika majira ya saa nne hivi upanga kwa ajili ya kusubiria muda ili tusogee maeneo ya Magomeni.

Wazazi wangu wote, Dada zangu (Jason Junior aliachwa kwa bibi yake mzaa mama), Mjomba wangu (kaka yake mama) na Shangazi yangu (dada yake baba) walikuwepo wiki mbili kabla, wiki ya kwanza walikuwa Bagamoyo na wiki ya harusi siku tatu kabla walikuwa kwangu Upanga.

Afisini kwangu nilipata 'support' ya kiofisi na wafanyakazi wenzangu walishiriki kikamilifu katika maandalizi Marry kutoka afisi ndogo naye alikuwepo kwenye kamati akiwa kama Katibu.

Vikao (vya afisini) kwa ajili ya maandalizi havikuwa vya siku nyingi, vilikuwa vikao vitatu tu ambapo ilikuwa ni kukusanya fedha kwa ajili ya kuchangia katika shughuli za harusi hususani zawadi kwangu na bibi Harusi.

Sherehe za harusi zilikuwa tofauti na siku hizi zinavyo sherehekewa, baada ya sherehe kuisha (Jumapili jioni) sisi maharusi tulisindikiwa kwenda fungate (honey moon) New Africa Hotel ambako tulikaa siku 7 na huko ndipo nilipata wasaa mzuri wa kumuhadithia kuhusu Ruth (R.I.P.) na Jason Junior. Hamida alinielewa na kunipa pole pia
****************

=

Wiki moja baada ya kuongea na Hamida (nilivyotoka msibani Singida), aliniambia kuwa hana sababu ya kuharakisha kuja kwa kuwa sasa mambo yote yameenda vizuri, hivyo atarudi mwisho wa mwezi huo (April)

Kweli alirudi Tanzania, baada ya wiki moja ya kukaa Magomeni akahamia Msasani ambako alikaa hadi siku moja kabla ya harusi. Somo yake kutoka Unguja naye alikuja siku chache baadaye kuwa pamoja naye katika mipango ya harusi.
********************************

=

Msibani nilikuwepo hadi tarehe 11 April (1984) Mdogo wangu yeye baada ya maziko, Jumatatu alirudi Bagamoyo. Siku iliyofuata kukawa na msiba mwingine wa Kitaifa. Alifariki Waziri Mkuu. Hivyo 'nilivuta siku' nikiwa Ibaga hadi Ijumaa nilipoondoka saa tisa za usiku kwa basi la Yellow Line.

Tuliweka utaratibu wa namna ya mtoto (Jason Jr) atakavyo lelewa, Dada mkubwa alijitolea kumlea, nami niliahidi kumsaidia kwa kila mahitaji.

Tulimaliza mila nyingine na familia ya Ruth walitaka wanipe mdogo wake Ruth nimuoe lakini nilisingizia sipo vizuri kisaikolojia, hivyo waniache kwanza.
*************************

=

Mapema asubuhi tulifika Singida mjini, nikapata usafiri wa Central Line Bus (Scania 82H) ambapo tuliondoka muda mchache baadaye. Chakula cha mchana tulikula Manyoni.

Jumapili asubuhi niliwasili Dar es Salaam, na kuchukuwa teksi hadi nyumbani. Nilimkuta mdogo wangu yupo vizuri kiafya lakini kama ana mawazo hivi, sikufanya mawasiliano naye tangia nilivyoondoka. Alifurahi sana kuniona.

Jioni wakati tunakula nilimpa yaliyojiri, alisikitika na kuhuzunika lakini hakuwa na jinsi, tulikubali kazi ya Mungu haina makosa.

Jumatatu niliripoti afisini kwangu kama kawaida, nilipokea pole nyingi. Saa saba mchana nikapokea simu kutoka Muscat, alikuwa Hamida.

Aliniambia kule kazini kwake walimkatalia asiondoke hadi wapate chef mwingine.

"Bahati nzuri ile Jumatatu aliripoti (Chef mwingine)

" Hivyo nilikuwa naye kuanzia asubuhi, ndio tumetoka wote muda huu yeye ataendelea kesho mie ndio nimeshamalizana nao" Alisema Hamida.

Tuliongea mengi baadaye tukakata simu. Aliniambia atarudi Tanzania hivi karibuni.
******************************************

=

Baada ya kupata ile barua ya kuonesha nifanye nini ili nikamilishe mahari, nilitumia uzoefu kupata mbao za mninga za kutosha kutoka Tabora kupitia 'connection' niliyokuwa nayo ya RTC na kupitia Kampuni ya usafirishaji ya mkoa wa Dodoma (KAUDO) ambayo maroli yao yalikuwa yanaenda kwa wingi Tabora kufuata Tumbaku kupeleka Morogoro.

Mbao zilikuja kidogo kidogo kwa tripu tatu. Kutoka Morogoro Zilipakiwa kwenye maroli ya CORECU (Coast Regional Cooperative Union) kuja Dar ambako zilihifadhiwa nyumbani Upanga.

Katika kupeleleza fundi mzuri wa samani (furniture), nilijulishwa kuwa kuna fundi seremara fulani aliyekuwepo Kijitonyama ni stadi sana na mwaminifu. Alikuwa anaitwa Peter. Popote ulipo Mr. Peter (real name) juwa kwamba zile furniture zipo mpaka leo, imara na zang'aa utadhani zimechongwa mwaka huu (nimeshazi 're-polish' mara kumi ama kumi na tatu hivi tangia 1984)

Ni furniture ambazo zilikuwa ni mahari ya mchumba wangu Hamida ambaye naye baada ya ndoa aliamua kunizawadia kama ahsante ya kumpenda na kumvumilia hadi tumeoana.

Kwa utaratibu wa kiislamu ni kwamba mahari yote ni ya mchumba (mke), Si wazazi ama ndugu hupaswa kuingilia katika kuitumia mahari labda kwa ridhaa ya binti yao.

Ingawaje katika mila na desturi za baadhi yetu wabantu, wazazi huwa wanatoza baadhi ya fedha au vitu ili kugawana Baba na mama mzaa binti muolewaji, Bibi na Babu wa bibti na Wajomba nk kutegemeana na Kabila na ukoo. Hivyo si ajabu muoaji ukaambiwa mahari ni kadhaa, mkaja wa mama ni kadhaaa, sijui nini ya baba, babu, mjomba, shangazi ni kadhaa... nk. Sasa kwa waisalmu anacho chukukuwa binti ni ile mahari tu.

Wengine hudiriki kumuuliza binti ataje mahari yake, lakini wao huongezea na kugawana kwa utaratibu wa kitamaduni ziada ya ile mahari.

Wengine (kama familia ya mzee Burhani hawachukui chochote kwenye mahari na wala hawaongezi chochote, na huu ndio utaratibu bora uliofundishwa ili kufanya wepesi vijana waweze kuoa. Wasishindwe kuoa kwa sababu ya mahari kuwa kubwa ingawaje pia katika uislam binti anayetarajiwa kuolewa hakatazwi kumtoza mahari kubwa mchumba wake hususani kama anajuwa uwezo wake kifedha.

Kikwetu (Utaturuni) mahari za kimila binti huambulia zawadi ndogo sana hususani mapambo yake lakini sehemu kubwa ya mahari huchukuwa baba na mama (Baba ofcourse kwa mfume dume).
******************************

Fundi Peter alinitengenezea zile samani vizuri sana, hakika mafundi seremala wa zamani walikuwa hodari sana.

Sanjali na samani hizo kuandaliwa, nilikuwa na kazi ya kusoma na kuhifadhi aya tukufu (Ayatul Qursiyu) kama sehemu ya mahari. Yaani kabla ya kumuoa inabidi nisome aya hiyo mbele ya walii wake (walii ni mtoa idhini ya ndoa mfano baba, babu, kaka etc katika utaratibu wa kiislamu) huku binti naye akisikiliza (japo kwa kutoonekana wakati wa kusoma au akiwa amejihifadhi ipasavyo.

Haikunichukuwa zaidi ya siku tatu nikawa naisoma ipasavyo kisha nikaanza kuendeleza kuhifadhi suratil Yassin kama ziada (or just incase) ingawaje sikutarajia kubadilishiwa kisomo tena kwa hatua iliyofikia.

Kuhusu mavazi ya bibi Harusi nayo ilikuwa juu yangu ambapo nilimpatia Hamida hela kupitia mzee Kassim ambazo alimkabidhi mzee Burhani, ili akanunue nguo azipendazo za harusi.
**********************

=

Tarehe 18 Mei ilikuwa siku muhimu sana kwangu, mimi na mpambe wangu Yusuf tulikaa nyuma ya mercides benz 240D, ilikuwa benzi niliyoazimwa na baba wa rafiki yangu Singasinga aliyenunua ile 504GL.

Ilikuwa ni mara yangu ya pili kupanda benzi ingawaje mara ya kwanza ilikuwa ile UNIMOG. Benzi hizi saloon ni gari zenye 'comfortability' ya hali ya juu, japo kwa kuendeshwa lakini niliona tofauti kubwa kati ya 'kikorona' changu na benzi hii. Mbele kushoto alikaa mzee Kassim na aliyekuwa anaendesha ni yule rafiki yangu wa kisingasinga.

Corona yangu iliwachukuwa Baba, mama, dada mkubwa aliyekaa mbele na katikati ya baba na mama nyuma alikaa mdogo wetu wa mwisho Rehema.

Datsun ikiendeshwa na dereva wa kujitolea kutoka afisini kwangu, mbele alikuwepo dada yake mzee Jason , nyuma walikaa kaka yake mama, dada wa pili, mke wa mdogo wangu wa Bagamoyo pamoja na rafiki zao.

Watu wa afisini walitumia Isuzu 3¼ pickup ya kazini, walijazana kwelikweli wawakilishi wa afisi wilaya na wawakilishi wa afisi ya mkoa.

Saa sita kamili tuliwasili eneo la mzee Burhani, mitaa miwili ilifungwa, maturubai nayo yaliweka na majamvi yalitandikwa barabarani kwenye mitaa yote miwili japo si kwa urefu wa mtaa mzima, upande mmoja wa mtaa walikaa wakina mama mbalimbali na upande mwingine walikaa akina baba. Kandokando kulijaa magari aina mbalimbali. Waalikwa wengi pale walikuwa wenye asili ya Asia, na wachache wabantu, wakati tunafika kulikuwa kuna somwa Maulid (mashairi ya kumbukizi ya kuzaliwa mtume Muhammad (Rehema na Amani zimwendee) huku dufu (ngoma ndogo) na 'nai' (kitu kama filimbi ama flute) zikisindikiza.

Wazazi wangu na ndugu na jamaa wengine walishuka na kupokelewa kwa furaha, ndirimo, vigelegele na vifijo na kuelekezwa sehemu za kukaa kwa mgawanyiko wa wanaume upande ule waliokaa wanaume na wanawake upande ule mwingine.

Sisi kwenye benzi hatukushuka, tulikaa hadi saa sita robo tulipoamua kwenda msikitini (mkauni) kwa ajili ya swala ya Ijimaa.

Ndoa ilipangwa ifungiwe nyumbani kwa mzee Burhani. Baada ya swala ya Ijumaa, Imamu aliwakaribisha waumini kuhudhuria ndoa hiyo.

Tulirudi nyumbani, tukiongozwa na mzee Kassim na Yusufu tulifika eneo lililotengwa kwa ajili ya kufungia ndoa.

Palitandikwa jamvi na juu ya jamvi paliwekwa zulia jepesi, kulia kwangu alikaa mzee Katibu Kata, kushoto kwangu alikaa mpambe wangu huku tukiwa tumekaa kwenye zulia nyuso zetu zikiwa zimeelekea 'kibla' (kibla ni kwa tafsiri ya hapa ni uelekeo kwa kuangalia msikiti mtukufu wa Makkah).

Imamu, mzee Burhani, masheikh na wazee wengine walikaa kwa kutuangalia sisi. Kulikuwa kama kuna umbo la duara ambalo lilitawanyika kama mawimbi ya kwenye maji yaliyotulia pindi jiwe litupiwapo humo.

Watu walikuwa wengi kwelikweli hata pamoja na kuangaza macho sikuweza kujuwa eneo gani alipo mke wangu mtarajiwa.

Mara, kwaswida zilisitishwa, Imami mkuu akachukuwa nafasi na kuanza kuongea. Hapakuwa na microphone wala speaker bali utulivu uliokuwepo ulifanya msemaji asikike vizuri.

Imamu alitoa amri ya mashahidi watatu kwenda kwa bibi harusi alipohifadhiwa na kuulizwa kama amekubali kuolewa nami.

Sijui hata walimuulizaje ila punde si punde nikasikia vigelegele na shangwe ya nguvu kutokea ndani (nyumbani kwa mzee Burhani)

Mara wale mashahidi, ambapo alienda mzee Kassim, Yusuf na Yasir, wakarudi na kutoa taarifa kuwa Hamida binti Burhani amekubali kuolewa na Jamaal bin Jason.

Baada ya maneno ya utangulizi ya Imamu, ilifuatia na hutuba ya ndoa (hotuba maalum ya ndoa ni moja ya mambo muhimu ili ndoa itimie.) Baada ya hotuba hiyo, mzee Burhani alisogea mbele kidogo kunifuata nami nikaambiwa nimsogelee na kuelekezwa kukaa katika namna ya kukunja goti ambapo tayari nilishafanyia mazoezi, nikashikwa mkono na mzee Burahani, mara kikatupiwa kitambaa kidogo cheupe juu ya mikono yetu iliyoshikana kama vile tunasalimiana.

Kisha mzee Burhani akaniita...

"Jamaal bin Jason"

Niliitikia na kufuata kama nilivyoelekezwa hadi ndoa ikakamilika.
***********************

Mzee Burhani alipomalizia kusema neno 'nimekuozesha' nami kujibu 'nimemuoa' kuliibuka shangwe ya vigelegele kutoka upande wa akina mama.
*************************

Ilikuwa mida ya saa saba na nusu hivi ama saa nane kasoro, nasaha zikaanza kutoka kwa Imamu mkuu; pamoja na mambo mengine lakini maneno mawili haya kila mara yalikuwa yanajirudia kichwani, kwamba...

"Leo umekamilisha nusu ya dini..."

Ima maana kijana wa kiislamu akioa anakuwa ametekeleza sunna ya Mtume (Rehema na Amani zimwendee) lakini pia anakuwa amekamilisha nusu ya dini (hata sikuelewa maana yake mara moja) ila nilisikia kuwa ibada ya swala rakaa mbili kwa aliyeoa ni bora sana kuliko rakaa sabini za mtu asiyeoa.

Jambo lingine ambalo lilikuwa likijirudia kichwani ni kwamba majukumu yote katika kumlea Hamida sasa yametoka kwa wazazi wake na kuwa juu yangu. Kwa maana makosa atakayofanya ambayo yanahusu usimamizi wangu basi na mimi nitapata sehemu ya dhambi husika vivyo hivyo kwa upande wa thawabu.

Nasaha zingine ziliendelea, na watu mbalimbali katika ndugu wa mzee Burhani ambao walikuwa wenye ujuzi wa elimi ya dini walipewa nafasi ya kutuwaidhi (kutupatia nasaha)

Imamu aliwakatisha na kuwaambia mpeni nafasi Bwana Harusi akamwone mke wake, niliambiwa nisimame na mpambe wangu pamoja na mshenga mzee Kassim, Yasir alifuata nyuma akiwa na mpiga picha akiwa na kamera zake mbili moja Yashika na nyingine ilikuwa ni Sony (Camcorder iliyokuwa inatumia kanda za HVS kubwa).

Nikaanza kukutana na 'vikwazo' njiani ambavyo lengo lake lilikuwa ni furaha na si kama wanavyofanya sasa hivi.

Yusuf tayari alisha nitahadharisha kuwa msafara kwenda kumuona bibi harusi huwa na vikwazo na utani mwingi ambapo dawa yake ni kuwa na hela za noti za shilingi kumi, ishirini, hamsini na shilingi mia. Hivyo nilijiandaa kwa hili na kumkabidhi hela hizo Yusufu.

Kwa upande wangu siku hiyo kikwazo cha kwanza kilikuwa ni cha mwakilishi wa bibi yake Hamida. Kutoka pale nje, tuliingia ndani kwenye ile korido ndefu ambapo safari hii ilikuwa imetandikwa mikeka na kujaa na msururu wa wanawake wa kiarabu kwa wingi wakiwa wamejipamba kwa mavazi yao ya sherehe, walipendeza kwelikweli, kwa mara nyingine nikiona 'visu' mabinti warembo wakinichekea chekea huku naelekea chumba alichowekwa bibi Harusi.

Bibi wa Hamida aliwekewa noti mbili za shilingi mia moja kwenye paji la uso, tukapita, vigelegele vikatusindikiza kikwazo cha pili kilikuwa cha wawakilishi wa Shangazi wa bibi Harusi, hawa waliwekewa kila mmoja noti ya shilingi hamsini juu ya mapaji yao ya uso, tukaruhusiwa, shangwe na nderemo zikasikika na kikwazo cha mwisho kilikuwa cha dada wa Hamida, hawa walikuwa na vituko sana, lakini baada ya kuwapatia kitika cha noti za shilingi kumi zikiwa kama kumi hivi au zaidi kidogo walituachia njia ya kuingia chumbani kwa bibi harusi huku vigelegele vingi vikitusindikiza.

"Tukamuone isije ikawa tumeuziwa mbuzi kwenye gunia" alisema Yusuf kwa kutania na kwa furaha.

Taraaaaaa! Tukaingia chumbani na kuona wanawake watano ndani, alikuwemo mama Warda, Wifi yake mama Warda (Aunt wa Msasani), Somo yake Hamida, Mamkuu wa Unguja na Bibi Harusi mwenyewe.

Bibi harusi alikuwa ameinama na alikuwa amevaa shela ya kijani iliyomfunika kichwa pamoja na uso.

"Assalaam aleikum wa Rahmatullah wa Barakatu" nilisalimia kwa ujumla, wakaitikia akina mama wanne kasoro Hamida sikusikia sauti yake...

"Msogelee mfunue umuone ni yeye?" Alisema mzee Kassim.

Nikapiga hatua moja na nusu mbele na kumsalimia (assalaam aleikum) huku kwa mikono yangu miwili nikimtoa 'veil' iliyomfunika uso, kisha akainua shingo na kuitikia "wa aleikum salaam" kwa sauti yake ambayo leo ilikuwa nyororo zaidi huku akitabasamu.

Kama nilivyoelekezwa katika semina kabla ya kuoa, nikamshila kichwa kwa kiganja cha mkono wangu wa kuume (kulia) na kumuombea dua njema na kujiombea maisha mema naye.

Tulikuwa tumeandaa bilaulii ya maziwa ambayo alipatiwa somo yake kupitia ndugu wengine nje, nikayachukuwa na kumnywesha kiasi, tukawa tunafurahi pale na kisha nikaketi juu ya kitanda kilichopambwa vyema na kunukia vizuri ambacho ndicho alichokalia yeye na somo yake, wale akina mama wengine walikuwa wamekaa kwenye busati.

"Haya sisi tutoke tuwaache maharusi waswali rakaa mbili za sunna" Alisema mzee Kassim.

Yusuf pamoja na Baba yake, Yasir na mpiga picha wakatoka kurudi nje, tukabaki watu sita mle chumbani mwanaume nikiwa peke yangu.

"Amka tuswali" Nilimuamrisha Hamida mke wangu.

Hamida alitii na tukaelekea kibla kwa ajili ya swala ya sunna rakaa mbili ambazo sasa zitakuwa bora kuliko rakaa sabini ambazo nilisali kabla sijaoa.

Baada ya dakika tatu hivi tulimaliza kuswali rakaa mnili, kikaomba dua ambalo wote mle ndani waliitikia amin. Pia nilitumia nafasi hii kukamilisha mahari ya Hamida kwa kuisoma aya tukufu na wote mle ndani walifurahi na kisema maa shaa Allah. Mahari nyingine nilishatanguliza wiki mbili kabla.

"Tayari wamemaliza kuswali" dada mmoja aliyekuwa nje ya mlango alisikika sauti yake.

Sekunde chache baadaye aliingia Yusuf mpambe wangu akiongozana na mpiga picha...

"Sasa tuelekee nje kwa ajili ya chakula kilichoandaliwa na Hamida. (Hakuandaa Hamida lakini ilikuwa ni namna ya kuwakilisha)

Tulitoka hadi nje, tukakuta wahudhuriaji wanaendelea kula pilau huku mazungumzo ya hapa na pale yakiendelea.

Sisi tukaelekezwa sehemu tofauti kidogo na pale tulipokaa mwanzo, palitandikwa mkeka mzuri tukaambiwa tuketi, yani mimi na mpambe wangu, nyuma yangu alikiwepo mzee Kassim na mzee Burhani wakiendelea kula.

Ghafla nikaona wamekuja mabinti warembo huku wakiimba na walishika khanga huku na huku wakituweka kati, na mabinti wengine wakitupepea kwa khanga zingine huku wakiimba "Bwana harusi anakula solo" (Solo ni chakula maalum kwa Bwana harusi kama ishara ya kuanza kuonja mapishi ya mkewe)

Ikaletwa sinia moja lenye wali mweupe wa nazi, bakuli moja kubwa la nyama ya kuku ya mchuzi, mbaazi mbichi zilizopikwa, matunda (mapapai) na juisi ya tende iliyochanganywa na maziwa.

Tulianza kula huku mabinti hao wakiimba huku wakitupepea, Yusufu alikuwa kila mara akirusha sarafu za gwala (shilingi tano) na hela nyingine noti noti za shilingi kumi na ishirini juu ya ile khanga iliyoshikwa huku na huku wakiitingisha wakati wa kuimba.

Tulikula vizuri hadi tukashiba na hao wasimamizi wa kutupepea kwa khanga na kutuimbia walishiba sarafu na noti. Ilikuwa ni furaha ya aina yake.

Baada ya chakula, maulidi iliendelea na baadaye ikasitishwa ili zoezi la utambulisho lifanyike. Ilikuwa ni fahari sana kwa mdogo wangu wa Bagamoyo kuwatambulisha wazazi na ndugu zetu wote waliohudhuria pale, na kwa upande wa bibi Harusi walitambulishwa na Yasir japo kwa mafungu mafungu maana walikuwa wengi kwelikweli, kutokea miji na nchi mbalimbali.

Ilifika wakati wa zawadi kwa ndipo nilaona vituko vya Marry alipoongoza kundi la uwakilishi kutoka afisini.

Hii ilikuwa baada ya swala ya alasiri. Nilipewa 'surprise' ya zawadi ya mashine kubwa ya kufulia na kiasi cha fedha ambacho tayari walilipa hoteli ya New Africa kwa ajili ya fungate (honey moon).

Sherehe zilienda vizuri na bibi harusi alizawadiwa vyombo vya udongo (made in France) vilivyojazwa kwenye show-case ambayo ilikiwa ni sehemu ya mahari niliyotoa, lakini kwa sababu ya ubebaji, havikuletwa mbele ya hadhara, alizawadiwa friji kubwa milango miwili pamoja na deep freezer, Oven yenye majiko ya kupikia ya umeme na mazagazaga mengi ambayo siwezi kuyaorodhesha yote hapa. Baba mzazi alituzawadia misahafu miwili pamoja na vitabu vidogo viwili viitwavyo 'furaha ya ndoa"

Imamu baadaye alikuja na kitabu cha hati za ndoa ambacho tuliweka sahihi zetu mie na Hamida kisha tukapewa hati ya ndoa kila mtu na nakala yake. (Baada ya fungate tulienda kusajili ndoa kiserikali katika afisi za msajili wa ndoa (enzi hizo mtaa wa Makunganya kama sijasahau.)

Jua lilivyoanza kuzama, baadhi ya watu waliondoka, lakini sherehe ziliendelea hadi saa tano za usiku, kulikuwa na burudani mbalinbali ikiwemo chakacha kwa watu maalumu, nyimbo za taarabu za Issa Matona na Juma Bhalo zilipigwa sana kutokea kwenye redio kaseti ya mzee Burhani, ilimradi kulikuwa na burudani isiyo kifani.

Saa nne za usiku wazazi na ndugu zangu walirudi Upanga, marafiki wengine walirudi makwao. Mimi na Hamida tuliandaliwa chumba maalum mle mle kwao kwa ajili ya kulala siku hiyo.

Tulipelekwa kwenye chumba kingine ambacho sikuwahi kuingia hata siku moja na kukuta samani zote za mahari zimewekwa mle. Chumba kilikuwa kimepambwa kuliko cha awali nilipomkuta bibi Harusi. Tuliingia mimi, Mke wangu Hamida, Somo yake na Mama Warda. Baada ya muda mama Warda akatoka tukabaki mimi Hamida na Somo ya Hamida. Aliniongelesha kidogo pale kisha akatuacha tukabaki wawili.

Nililetewa begi langu kutoka kwenye benzi ambayo bado ilikuwepo nje, kisha Singasinga nikamruhusu akapumzike lakini kesho akijaaliwa uhai na afya aje saa nne asubuhi.

Tulikumbatiana na Hamida kwa furaha na kuendelea kushikana kwa muda hadi machozi ya furaha yalianza kututoka.

Hatukuwa na munkari wa kugegedana kwa kuwa tayari tunajuwana vyema, siri yetu kati yangu, Hamida, Somo yake na nahisi Shangazi aliambiwa ila sina uhakika kuhusu mama yake.

Tulikuwa wenye furaha sana na tukaaza kujiandaa kuoga baada ya kupata chakula cha jioni. Chumba kilikuwa kina choo na bafu humo humo.

Tulivyotoka kuoga Hamida alisema...

"Hiki chumba ndio cha mama Warda" (yaani akimaanisha cha mama na baba yake)

"Leo kwa heshima tumeandaliwa sisi, hata kwa Dada Sabra walifanya hivihivi" Alisema mke wangu.

Da! Kinyaturu, kulala chumba alicholala mama ama baba mkwe ilikuwa inaleta ukakasi kidogo. Lakini kwa kuwa kiliwekwa samani mpya tena za mke wangu, niliridhika.

Hamida akaenda tena bafuni, akachukuwa beseni dogo na maji ya uvuguvugu kisha akaanza kuniosha miguu nikiwa nimekaa kitandani na kunifuta vizuri kisha akaipandisha miguu yangu kitandani.

Kisha naye akajifuta akapanda kitandani. Kwa nje sauti za watu zilianza kupungua lakini taarabu iliendelea kusikika hadi saa sita za usiku ndipo ikaanza kuwekwa kanda za kaswida na dhikri mbalimbali.

Chumbani nilizima taa yenye mwanga mkali na kuwasha 'blacklamp fluolescent' iliyokuwepo ambayo hutoa mwanga hafifu wa zambarau. Mashuka na chochote mle ndani chenye rangi nyeupe kilibadilika na kuwa na rangi murua sana.

Tukaanza michezo ya kitandani, papuchi ya Hamida ilikuwa "si ya nchi hii", yaani sijapata kuona upara wa papuchi namna ile, very very very clean and soft, nilipomuuliza imekuwaje, akanidokeza eti alinyolewa! Walitumia sijui nini sijui uzi, sijui sukari, sijui nta hata sikumuelewa, nikaamua tu 'nile halali yangu' tena safari hii ilikuwa kwa ufundi wa hali ya juu...

Tulivyoridhika tukapumzika hadi alfajiri tulipoamka kwa ajili ya ibada ya swala ya asubuhi.
*********

Asubuhi mapema saa moja hivi nilisikia sauti za akinamama wengi sana kutokea uani (siyo maliwatoni) na nje ya nyumba. Walikuwa wakiimba na kufurahi (nyimbo hata sizikumbuki wala maana zake), zilikuwa nyimbo za kimwambao na kiarabu. Sisi bado tulikuwa ndani juu ya kitanda tumeketi na kufurahia usiku wetu wa kwanza pamoja, usiku wa kwanza tukiwa mke na mume, jimai (gegedo) ya kwanza halali, kulala nyumbani kwa akina Hamida kwa mara ya kwanza yani ilikuwa ni furaha isiyoelezeka.

Saa mbili hivi asubuhi nilisikia sauti za dada zangu kwa nje, nikajuwa wazazi wangu pia wameshakuja.

"Ngongongo!" mlango ulibishwa

Nikainuka kwenda kufungua, nilikuwa nimevaa msuli na vest, mke wangu alikiwa amevaa gauni jepesi la chumbani lakini pia alijifunga khanga moja kifuani.

Nilipofungua mlango nikamwona somo yake Hamida, nikafungua zaidi akaingia ndani.

"Assalaam aleikum" alitusalimia huku akitabasamu.

Tulimjibu.

Mara akatoa kitambaa fulani cheupe kutoka kwenye matiti yake huku akitufanyia "Shhhhhhhhiiiii" na kuonesha ishara ya kufunga mdomo (yaani aliweka kidole chake cha mkono wa kulia cha shahada kwenye mdomo wake)

Kile kitambaa kilikuwa na matone ya damu (?), hata sijui alikipata wapi na lengo lake nini.

Mara akaanza kujisemesha pale kwa sauti kisha akapiga kigelegele kikali sana kisha akawa anaelekea mlangoni ili atoke na akaanza kuimba.

[emoji441] "Leo leo"
Wakina mama waliokuwa koridoni, wakaitikia "leo leo"

Wakarudia tena hivyo, ikawa:-

Somo: "Leo leo"
Wamama: "Leoleo"
Somo: "Hea hea"
Wamama: "Ea ea"
Somo: "Makungwi"
Wamama: "Leo mpango"
Somo: "Makungwi"
Wamama: "Leo mpango"
Somo: "Usione mambo yamekwisha!"
Wamama: "Hamida katufurahisha"
Somo: "Usione mambo yamekwisha"
Wamama: "Hamida katufurahisha"

Mara sauti zingine kutoka nje sikasikika wakiitikia wimbo

Somo alikuwa akicheza pale mlangoni kabla ya kutoka na mlango aliuacha wazi, sauti ikazidi kurindima, kisha akapotea pale mlangoni.

Hamida akawa anatabasamu mie 'sielewi elewi' nikamuuliza Hamida...

"Kulikoni?!"

"Hapo Somo amefurahi, anapeleka sifa kwa mama Warda na ndugu wengine kwamba Hamida amejitunza hadi siku ya ndoa, yaani ndio nimetolewa bikra usiku wa kuamkia leo na kile kitambaa ndio ushahidi" Alisema Hamida kisha tukacheka kwa kujizuia sauti isitoke nje!

"Kumbe ndio maana alitufanyia shhhhhhhhiiii" Nikisema kwa kunong'ona

"Ndiyo, lakini mie, na Somo na aunt tunajuwa mpango wote" Naye alisema kwa kunong'ona kisha akaendelea...

"Hii itampa sifa mama na baba kuwa wamenilea nikaleleka, pia kwa ndugu wengine na kuketa mfano ili nao wajitunze hadi siku ya ndoa" Alimaliza

"Kwani ndiyo uislamu unasema hivyo?" nikahoji

"Hapana, hii ni mila sijui desturi tu za baadhi ya makabila ya Kiarabu pia baadhi ya watu wa ukanda wa Pwani walichukuwa desturi hii" Alijibu

Ghafla wakaingia wakinamama wengi mle chumbani wakiimba akiwemo mama Warda huku wakicheza na kufurahi.

Sisi tulikaa kimya tu tumejiinamia, kisha wakatoka nje na kuendelea na kuimba nyimbo tofauti tofauti.

Dada zangu wote nao wakapata nafasi ya kuingia chumbani, walitusalimia na kufurahi, nao walijichanganya katika pilika za kuimba na kucheza.

Baada ya muda kidogo tuliletewa chai ya rangi, yenye viungo vilivyokolea sana, tuliletewa chapati, mchuzi 'shatashata' wa samaki, mikate ya kumimina na mahamri (kama maadazi hivi)

Tulipata kifungua kinywa pale taratiiibu. Nje nilikuwa nasikia sauti za furaha na redio iliwashwa tena ikisindikiza kwa nyimbo za harusi.

Akaingia Somo na kutuambia tukaoge na kuvaa. Tuliingia wote maliwatoni na kuanza kuoga. Mzuka si ukapanda, tukarudi chumbani tukapata kimoja maridadi kabisa kisha tukarudi tena bafuni.
***

Tulivaa mavazi ya 'siku ya pili', mke wangu alivaa vazi lake jeupe maalum kwa ajili ya sherehe huku akiwa amejihifadhi vyema na nywele zake hazikuweza kuonekana. Mimi nilipigilia suti yangu nyeusi kama tulivyokubaliana na Yusuf kuwa siku ya pili tutavaa suti nyeusi. Hali ya hewa haikuwa joto kali maana tulikuwa tunaelekea msimu wa baridi (ya Dar)

Tulipendeza sana, Somo akaja na baadhi ya akina mama wengine tukaambiwa tutoke nje...

Watu walikuwa wengi lakini si kama ilivyokuwa jana, tukaongozwa hadi kwenye gari (benzi) ambayo ilikuwa katikati ya msafara uliokuwa unatusubiri.

Msafara ulielekea hadi nyuma ya hospitali ya Ocean Road, wakati huo maeneo yale yalikuwa yana beach nzuri na kuna baadhi ya sehemu zilisakafiwa vizuri kwa mawe na saruji.

Magari 'yalijipanga' vizuri na watu wakatawanyika, nasi tuliambiwa tutoke kwenye gari, walitushangilia na picha ziliendelea kupigwa...

Tulitumia kama nusu saa hivi au saa kasoro kisha msafara ulianza kurudi Magomeni.

=

Jioni jua lilivyozama tuliandaliwa sehemu ya kukaa na mke wangu mbele ya halaiki huku wakituimbia na kufurahi. Sherehe ilifana sana.

=

Siku ya Jumapili watu wengi walipungua, walibaki ndugu wa jirani jirani na ilipofika saa kumi na moja jioni msafara wa kuelekea New Africa Hotel ulianza.

Hakika Kamati ya maandalizi ilifanya kazi yake vyema, nilikuta tumeandaliwa chumba maridadi kabisa (suite) ambapo tuliikaa humo kwa siku saba mfululizo.

Kila siku jioni tulikuwa tunapata wageni (ndugu wa pande zote) wa kutujulia hali.

=

Siku ya saba saa nne asubuhi gari yangu Corona ilitufuata na kutupeleka nyumbani Upanga na maisha yalianzia hapo upya.

Siku chache baadaye ikawa mwezi wa Ramadhani, tulifunga wote japo wife alikatisha katikati (siku za ada ya mwezi) kisha aliendelea kufunga alipokuwa tohara tena.

Nilibadilika na kuwa mume mwema sana.

Ndani ya ndoa tumejaaliwa kupata watoto sita, wa kiume watatu na wakike watatu wakitanguliwa na kaka yao Jason Junior ambaye sasa ana miaka 36. Hadi leo sina uhakika kama Rose (wa Lindi) alishika ujauzito, kama ndivyo basi ipo damu yangu iliyopotea.

=

Mwezi wa nane mwaka huo huo 1984 nilihamishwa afisi na kupelekwa Wizara nyingine, na maisha yangu yalibadilika sana kwa kushuka kiuchumi, lakini baada ya miaka miwili yakaanza kuwa bora zaidi na zaidi hadi nilipostaafu mwanzoni mwaka 2019 kwa utumishi wa muda mrefu na uliotukuka.
πππππππππππ

######MWISHO######

James Jason
Asante kwa muda wako,nimejifunza mengi.Kwa ufupi you are blessed kwenye uandishi na kila kitu...Mwenyezi mungu ndiye mpanga wa yote.
 
nimeangalia jicho letu mkoani star tv walikua wanaangalia kabila la wataturu...kuna vitu baadhi nimeviona ambavyo mzee wetu alivielezea humu....hongera sana mzee kwa kumbunkumbu nzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni msomaji sana wa hadithi, simulizi na chombezo za lugha yetu adhimu kabisa ya kiswahili (kiingereza cha kusoma sikipendi japo napenda nikiwa nasikiliza simulizi za sauti)

Kitu pekee ambacho baba yetu hapa na kinanifanya niendelee kumpenda na kumpa heshima yake anaonekana ni mkweli. Wasimuliaji wengi wa jf akisema "leo" anaweza kukaa wiki nzima ndipo alete vimistari viwili amalize na "itaendelea". Kongole kwako baba (japo unamzidi baba angu miaka kadhaa)
Hapo ukute msimuliaji ni mjukuu tu na mkasà mzima unamuhusu babu yake, yeye anasimulia tu na kupambapamba
 
Inaelimisha
Inaburudisha
Haichoshi
Full raha
Hongera mkuu🙏🙏🙏
 
Shukrani za dhati zikuendee kwako na familia yako Mungu akubariki sana kwa muda wako,nimejifunza mengi sana na nimesambaza link kwa kadiri ya uwezo wangu ili wengine wanufaike.
Ahsante sana
 
Back
Top Bottom