Uingereza kuiondoa Huawei kwenye mfumo wa 5G kabla ya mwaka huu kuisha, sababu ni vikwazo vya Marekani

Uingereza kuiondoa Huawei kwenye mfumo wa 5G kabla ya mwaka huu kuisha, sababu ni vikwazo vya Marekani

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,017
Reaction score
19,506
Serikali ya Uingereza inategemea kuiondoa Huawei kwenye mfumo wa 5G kabla ya mwaka huu kuisha.

Mwezi January mwaka huu serikali ya Bw. Boris Johnson iliipa huawei kandarasi ya kutengeneza mfumo wa 5G ndani ya Uingereza kwa baadhi ya sehemu, kwamba ingeshiriki kwa 35% kuunda mfumo wa 5G na sehemu nyingine kampuni nyingine zingetumika. Huawei ingepewa maeneo ambayo sio ya muhimu.

Mwezi June mwaka huu Marekani imetangaza kuiwekea vikwazo vipya Huawei kuanzia September 15 mwaka huu. Vikwazo hivyo vinalenga kuizuia Huawei kuzalisha au kupata vifaa vya teknolojia ya 5G hivyo kupelekea hiyo kampuni kushindwa kutoa Huduma.

Nchi nyingi zimeanza kuiondoa Huawei kwenye mifumo yao ya 5G kwa sababu ya kuhofia vikwazo vipya vya Marekani ambavyo vitaifanya Huawei isiweze kutoa huduma wala kuzalisha vifaa muhimu ndani ya miezi 12 ijayo.

Huawei inasifika kuwa kinara wa teknolojia ya 5G kwa sababu inatengeneza vifaa vya teknolojia hiyo kwa bei ndogo ukilinganisha na washindani wake kama Nokia au Erickson.

Huawei could be cut out of UK's 5G network this year, say reports

===

The UK is poised to end the use of Huawei technology in its 5G network as soon as this year because of security concerns, according to reports.

The prime minister, Boris Johnson, is set to make a major policy change after GCHQ is believed to have reassessed the risks posed by the Chinese technology company, newspapers have said.

A study set to be presented to Johnson this week will declare that US sanctions on Huawei will force the company to use technology that is “untrusted”, reports said.

The prime minister’s decision to allow Huawei a limited role in Britain’s 5G network has caused tension between London and Washington DC in recent months.

A report by GCHQ’s National Cyber Security Centre has decided the US sanctions barring Huawei from using technology relying on American intellectual property has had a severe impact on the company, the Sunday Telegraph reported.

The newspaper said officials are crafting proposals to prevent new Huawei equipment being installed in the 5G network in as little as six months.

The involvement of the company in Britain’s 5G network also caused concern among a number of prominent figures on the Conservative backbenches.

The Mail on Sunday reported that the National Cyber Security Centre was instructed to carry out a review on the situation.

It also reported the organisation found that US sanctions had a major impact on the firm’s viability, the newspaper said.
 
Huawei anatengeneza 5G kwa bei mafuu sababu ya fund kubwa ya serikali ya china.

Huawei Wana lengo la kuwa kampuni inayoongoza kwenye Researches and Development duniani

China ina sheria inayoitaka kampuni kuisaidia serikali katika shughuli za kiintelijensia pale inapohitajika.

USA na China wote wana mitindo ya ku-spy data na mawasiliano ya watu, tofauti ya USA, kampuni inaweza ikagoma kutoa data. Ila hapa nachoona mwizi mkubwa anamtuhumu mwizi mdogo kwa wizi.
 
Huawei anatengeneza 5G kwa bei mafuu sababu ya fund kubwa ya serikali ya china.

Huawei Wana lengo la kuwa kampuni inayoongoza kwenye Researches and Development duniani

China ina sheria inayoitaka kampuni kuisaidia serikali katika shughuli za kiintelijensia pale inapohitajika.

USA na China wote wana mitindo ya ku-spy data na mawasiliano ya watu, tofauti ya USA, kampuni inaweza ikagoma kutoa data. Ila hapa nachoona mwizi mkubwa anamtuhumu mwizi mdogo kwa wizi.
Ni kweli kua Huawei inapata ruzuku ya serikali hivyo kufanya bei ya bidhaa zao kua rahisi. Hasa hii ishu ya 5G China anataka awe ndie kiongozi hivyo anafanya juu chini kuhakikisha kampuni yake inakua kwenye competitive advantage.

Moja wapo ya tuhuma za Marekani kwa China ni hizo unfair business practices mfano ruzuku na vitu kama hivyo.

Marekani yeye anaipa ruzuku Boing na EU inaipa Ruzuku Airbus ila Marekani alitishia kuiwekea vikwaza Airbus sababu ya ruzuku😂😂.

Ruzuku inasababisha kunakua na unfair business advantages.

Marekani hana sheria inayotaka kampuni kumsaidis kuspy ila yeye mwenyewe na NSA, CIA, FBI na hizo intelligence agencies zake anaweza kuspy. China bado hajaweza kua na intelligence agency za kuspy bila msaada.

Huawei anatumia 40% ya mapato yake kwenye Research and development. Anaajiri brains kubwa na mishahara mazuri. Soon akiendelea hivi atayafunika makampuni ya Marekani kitu ambacho Wamarekani hawataki.

Isapo september sanctions zakawa effective basi Huawei ndio bye byee.
 
Serikali ya Uingereza inatwgemea kuiondoa Huawei kwenye mfumo wa 5G kabla ya mwaka huu kuisha.

Mwezi January mwaka huu serikali ya Bw. Boris Johnson iliipa huawei kandarasi ya kutengeneza mfumo wa 5G ndani ya Uingereza kwa baadhi ya sehemu, kwamba ingeshiriki kwa 35% kuunda mfumo wa 5G na sehemu nyingine kampuni nyingine zingetumika. Huawei ingepewa maeneo ambayo sio ya muhimu.

Mwezi June mwaka huu Marekani imetangaza kuiwekea vikwazo vipya Huawei kuanzia September 15 mwaka huu. Vikwazo hivyo vinalenga kuizuia Huawei kuzalisha au kupata vifaa vya teknolojia ya 5G hivyo kupelekea hiyo kampuni kushindwa kutoa Huduma.

Nchi nyingi zimeanza kuiondoa Huawei kwenye mifumo yao ya 5G kwa sababu ya kuhofia vikwazo vipya vya Marekani ambavyo vitaifanya Huawei isiweze kutoa huduma wala kuzalisha vifaa muhimu ndani ya miezi 12 ijayo.

Huawei inasifika kua kinara wa teknolojia ya 5G kwa sababu inatengeneza vifaa vya teknolojia hiyo kwa bei ndogo ukilinganisha na washindani wake kama Nokia au Erickson.

Huawei could be cut out of UK's 5G network this year, say reports
[emoji769] Tayari Huawei company kashapotea Nani atakubari kuwa na simu ambayo haitasapoti application za mmarekani. Nani atakubari kuwa na simu isyokuwa na android operating systems yenye Facebook, Instagram, Google services na Jamii forum mengine utaongezea✓[emoji769]
 
[emoji769] Tayari Huawei company kashapotea Nani atakubari kuwa na simu ambayo haitasapoti application za mmarekani. Nani atakubari kuwa na simu isyokuwa na android operating systems yenye Facebook, Instagram, Google services na Jamii forum mengine utaongezea✓[emoji769]
Soko lao la ndani tu lina zaidi ya watu Million Miasita

Nawana huduma nyingi sana hawazipati ambazo hapo juu umezitaja hawana ulazima wakuuza nje ya UCHINA bidhaa zao ili kulimudu soko kusababisha HUAWEI isife japo wanaumuhimu wakufanya hivyo sababu yafaida zakiuchumi zaidi kwakua kipato hakitoshi

Ila kufa kwa HUAWEI mtangojea sanaaa....
 
Ni kweli kua Huawei inapata ruzuku ya serikali hivyo kufanya bei ya bidhaa zao kua rahisi. Hasa hii ishu ya 5G China anataka awe ndie kiongozi hivyo anafanya juu chini kuhakikisha kampuni yake inakua kwenye competitive advantage.

Moja wapo ya tuhuma za Marekani kwa China ni hizo unfair business practices mfano ruzuku na vitu kama hivyo.

Marekani yeye anaipa ruzuku Boing na EU inaipa Ruzuku Airbus ila Marekani alitishia kuiwekea vikwaza Airbus sababu ya ruzuku[emoji23][emoji23].

Ruzuku inasababisha kunakua na unfair business advantages.

Marekani hana sheria inayotaka kampuni kumsaidis kuspy ila yeye mwenyewe na NSA, CIA, FBI na hizo intelligence agencies zake anaweza kuspy. China bado hajaweza kua na intelligence agency za kuspy bila msaada.

Huawei anatumia 40% ya mapato yake kwenye Research and development. Anaajiri brains kubwa na mishahara mazuri. Soon akiendelea hivi atayafunika makampuni ya Marekani kitu ambacho Wamarekani hawataki.

Isapo september sanctions zakawa effective basi Huawei ndio bye byee.
bye bye....[emoji23][emoji16][emoji23]

Tuombeni uzima na uhai kushuhudia angulo HUAWEI hapo mwakani ama vp[emoji14][emoji12][emoji14]!?
 
Serikali ya Uingereza inatwgemea kuiondoa Huawei kwenye mfumo wa 5G kabla ya mwaka huu kuisha.

Mwezi January mwaka huu serikali ya Bw. Boris Johnson iliipa huawei kandarasi ya kutengeneza mfumo wa 5G ndani ya Uingereza kwa baadhi ya sehemu, kwamba ingeshiriki kwa 35% kuunda mfumo wa 5G na sehemu nyingine kampuni nyingine zingetumika. Huawei ingepewa maeneo ambayo sio ya muhimu.

Mwezi June mwaka huu Marekani imetangaza kuiwekea vikwazo vipya Huawei kuanzia September 15 mwaka huu. Vikwazo hivyo vinalenga kuizuia Huawei kuzalisha au kupata vifaa vya teknolojia ya 5G hivyo kupelekea hiyo kampuni kushindwa kutoa Huduma.

Nchi nyingi zimeanza kuiondoa Huawei kwenye mifumo yao ya 5G kwa sababu ya kuhofia vikwazo vipya vya Marekani ambavyo vitaifanya Huawei isiweze kutoa huduma wala kuzalisha vifaa muhimu ndani ya miezi 12 ijayo.

Huawei inasifika kua kinara wa teknolojia ya 5G kwa sababu inatengeneza vifaa vya teknolojia hiyo kwa bei ndogo ukilinganisha na washindani wake kama Nokia au Erickson.

Huawei could be cut out of UK's 5G network this year, say reports
Marekani na Uingereza ni watoto wa baba mmoja, hata siku moja hawawezi kupingana. Wanaweza wakazuga tu kukorofishana ila deep inside wanajua wanachokifanya.
 
Soko lao la ndani tu lina zaidi ya watu Million Miasita

Nawana huduma nyingi sana hawazipati ambazo hapo juu umezitaja hawana ulazima wakuuza nje ya UCHINA bidhaa zao ili kulimudu soko kusababisha HUAWEI isife japo wanaumuhimu wakufanya hivyo sababu yafaida zakiuchumi zaidi kwakua kipato hakitoshi

Ila kufa kwa HUAWEI mtangojea sanaaa....
Huawei wenyewe wanasema our survival is at stake wewe uko huko kwenu namtumbo umeshiba ugali mlenda unaropoka eti huawei haiwezi kufa, wewe unaijua Huawei kuliko mmiliki wake au wakurugenzi wake wanaosema uhai wao uko mashakani? Watu wengine bana.

Huawei Says 'Survival' at Stake After New US Sanctions

Usipende kushadadia mambo ambayo huyajui qenge wewe.
 
CIA siku zote huwaza na kumshauri Rais kila asemacho Trump na maamuzi kuhusu China ni mawazo ya muda mrefu. Hawakurupuki
 
Huawei wenyewe wanasema our survival is at stake wewe uko huko kwenu namtumbo umeshiba ugali mlenda unaropoka eti huawei haiwezi kufa, wewe unaijua Huawei kuliko mmiliki wake au wakurugenzi wake wanaosema uhai wao uko mashakani? Watu wengine bana.

Huawei Says 'Survival' at Stake After New US Sanctions

Usipende kushadadia mambo ambayo huyajui qenge wewe.
kwahio kusema hivyo ndio kufa ?![emoji6][emoji23][emoji23]

mnatamani hta wao wanatamani ife ila hawawezi kuiua japokua kweli wanaisababishia hasara zahapa mapale ila kufa kwa HUAWEI wasahau
 
kwahio kusema hivyo ndio kufa ?![emoji6][emoji23][emoji23]

mnatamani hta wao wanatamani ife ila hawawezi kuiua japokua kweli wanaisababishia hasara zahapa mapale ila kufa kwa HUAWEI wasahau
Wewe na wakurugenzi wa Huawei nani anajua vizuri madhara ya vikwazo na mustakabali wake?

Hivi una akili kweli?
 
China itakula jeuri yake- India zaidi ya subscribers milioni mia tatu wa tik tok wapo njiani ku uninstall tik tok baada ya tukio la mpakani china na india kusabisha majeshi zaidi ya ishirini wa india kupoteza maisha. Say NO to Udikteta.
 
China itakula jeuri yake- India zaidi ya subscribers milioni mia tatu wa tik tok wapo njiani ku uninstall tik tok baada ya tukio la mpakani china na india kusabisha majeshi zaidi ya ishirini wa india kupoteza maisha. Say NO to Udikteta.
Yatapita yote haya
 
Huawei wenyewe wanasema our survival is at stake wewe uko huko kwenu namtumbo umeshiba ugali mlenda unaropoka eti huawei haiwezi kufa, wewe unaijua Huawei kuliko mmiliki wake au wakurugenzi wake wanaosema uhai wao uko mashakani? Watu wengine bana.

Huawei Says 'Survival' at Stake After New US Sanctions

Usipende kushadadia mambo ambayo huyajui qenge wewe.

Kumbe source ya habari hizi ni Voice of America can you really take these propagandist per excellecy seriously - wapi CEO wa kampuni ya Huawei aliwahi kusema kwamba “survival ya Huawei is at stake” wapi?

Tunacho kiona hapa ni comments ambazo zimekuwa manufactured from highly questionable source (VOA)ambayo ina stake katika crusade ya kuikandia kumpuni ya Huawei kutokana na wivu wa kike - kila mtu mwenye akili timamu anajuwa kwamba USA imeshindwa dismally ku-rollout a truly 5G communication network - waliyo nayo ni half baked stuff ambayo throughput yake ni snail pace compared to Huawei supersonic speed, halafu US inaendelea na mbinu zake za kujaribu ku-sabotage mauzo ya Huawei Duniani wakati USA hawana 5G telecom stuff ya kweli ambayo ingekuwa ni mbadala ili ishindane na Huawei, USA imesahau
kabisa kwamba asili mia 90 za 5G intellectual properties belongs to Huawei - kampuni nyingi zinazo taka ku-manufacture a truly 5G communication network watalazima kutumia vifaa/programs zilizo wekewa patent na Wachina(Huawei)hapo manufacturers wengine hawana ujanja wa kuwakwepa Wachina.Wanao fikiri USA itafanikiwa kuizamisha kampuni ya Huawei watasubiri sana - Huawei is here to stay US dirty campaign notwithstanding.
 
Soko lao la ndani tu lina zaidi ya watu Million Miasita

Nawana huduma nyingi sana hawazipati ambazo hapo juu umezitaja hawana ulazima wakuuza nje ya UCHINA bidhaa zao ili kulimudu soko kusababisha HUAWEI isife japo wanaumuhimu wakufanya hivyo sababu yafaida zakiuchumi zaidi kwakua kipato hakitoshi

Ila kufa kwa HUAWEI mtangojea sanaaa....
[emoji769]Kama tunavyongojea kuwa China itaipita USA kwa technology[emoji769]
 
Back
Top Bottom