Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,440
- 8,149
Huyu aliharibiwa na mwalimu wake wa madrassa,Huyo mujahideen kila kitu anafikilia ni Jihad tu[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu aliharibiwa na mwalimu wake wa madrassa,Huyo mujahideen kila kitu anafikilia ni Jihad tu[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Nimejaribu kusoma ulichoniandika bila hata kufuata mpangilio mzuri wa uandishi, nimejitahidi angalau nielewe lakini hakuna cha maanaa cha mtu kuelewa.Kumbe source ni Voice of America can you really take these propagandist per excellecy seriously - wapi CEO wa kampuni ya Huawei aliwahi kusema kwamba “survival ya Huawei is at stake” wapi?Zaidi ya comments hizi kuwa manufactured from highly questionable source ambazo zina stake katika crusade ya kuikandia kumpuni ya Huawei kutokana na wivu wa kike - kila mtu mwenye akili timamu anajuwa kwamba imeshindwa dismally ku-rollout a truly 5G communication network waliyo nayo ni half baked stuff ambayo throughput yake ni snail pace compared to Huawei supersonic speed, halafu US inaendelea na mbinu zaje za kujaribu ku-sabotage mauzo ya Huawei Duniani wakati wao hawana telecom stuff mbadala za kushindana na Huawei, wamesahau
kabisa kwamba asili mia 90 za 5G intellectual properties belongs Huawei - kampuni nyingi zinazo taka kuhunda a truly 5G communication network watalazimika kutumia vifaa/programs zilizo wekewa patent na Wachina(Huawei)hapo hawana ujanja wa kuwakwepa Wachina.
Kamba.Moja wapo ya tuhuma za Marekani kwa China ni hizo unfair business practices mfano ruzuku na vitu kama hivyo.
Suala lamuda tu vuta subira...[emoji769]Kama tunavyongojea kuwa China itaipita USA kwa technology[emoji769]
You are very right on Huawei but that quoted phrase I was referring to the whole thing of USA and China trade war, not specifically on Huawei.Kamba.
Sio suala la ruzuku.
Tatizo la Marekani dhidi ya Huawei ni cyber security threat posed by potential backdoor access given to the Communist party which could be used for spying and hacking.
You are very right on Huawei but that quoted phrase I was referring to the whole thing of USA and China trade war, not specifically on Huawei.
You are very right on Huawei but that quoted phrase I was referring to the whole thing of USA and China trade war, not specifically on Huawei.Kamba.
Sio suala la ruzuku.
Tatizo la Marekani dhidi ya Huawei ni cyber security threat posed by potential backdoor access given to the Communist party which could be used for spying and hacking.
Ungesoma nilijibu ndio ungejua nilikua najibu nini.Tunaongelea HUAWEI
5G inatengenezwa kwa ushirikiano wa makampuni mengi.Huawei anatengeneza 5G kwa bei mafuu sababu ya fund kubwa ya serikali ya china.
Huawei Wana lengo la kuwa kampuni inayoongoza kwenye Researches and Development duniani
China ina sheria inayoitaka kampuni kuisaidia serikali katika shughuli za kiintelijensia pale inapohitajika.
USA na China wote wana mitindo ya ku-spy data na mawasiliano ya watu, tofauti ya USA, kampuni inaweza ikagoma kutoa data. Ila hapa nachoona mwizi mkubwa anamtuhumu mwizi mdogo kwa wizi.
Hujanielewa nilichomaanisha, najua kuwa 5G ni kazi ya 3GPP( 3rd Generation Partnership Project ) ,5G inatengenezwa kwa ushirikiano wa makampuni mengi.
Huawei ni mtu mdogo sana kwenye kutengeneza 5G.
Qualcom, Siemens ni moja ya wadau wakubwa kwenye kutengeneza 5G.