Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 2,203
- 5,610
Mchezaji wa klabu ya Manchester City Raheem Sterling amelezimika kuondolewa katika kikosi cha timu ya taifa ya Uingereza kinachojiandaa kucheza dhidi ya nchi ya Montenegro kuwania kufuzu michuano ya Mataifa ya Ulaya maarufu kama "Euro" kufuatia ugomvi aliyouanzisha dhidi ya mchezaji Joe Gomes wa klabu ya Liverpool.
Kocha wa timu ya taifa ya Uingereza amefafanua kuwa wamelazimika kuchukua uamuzi huo baada ya kuzuka ugomvi baina ya Sterling na Gomes katika uwanja wa mazoezi wa ST George's Park. Aidha, taarifa zinasema kuwa ugomvi huo ulichipuka tangu siku ya Jumapili wakati wachezaji hao walipokutana katika ngazi ya vilabu na Liverpool kuibuka na ushindi wa bao 3-1
Zaidi soma
Raheem Sterling will not play in England's European Qualifier against Montenegro on Thursday due to a disturbance at their St George’s Park training complex.
England manager Gareth Southgate said that "emotions were still raw" after Sterling was involved in a clash with Joe Gomez towards the end of Liverpool's 3-1 win over Premier League title rivals Manchester City on Sunday.
It is understood the pair were again involved after meeting up for England duty on Monday, leading to Sterling's withdrawal from selection for the game with Montenegro at Wembley.
No details of the incident were revealed, although the FA confirmed Sterling remains with the squad following the "disturbance in a private team area."
Southgate said: "We have taken the decision to not consider Raheem for the match against Montenegro on Thursday.
Chanzo: Sky Sports
Kocha wa timu ya taifa ya Uingereza amefafanua kuwa wamelazimika kuchukua uamuzi huo baada ya kuzuka ugomvi baina ya Sterling na Gomes katika uwanja wa mazoezi wa ST George's Park. Aidha, taarifa zinasema kuwa ugomvi huo ulichipuka tangu siku ya Jumapili wakati wachezaji hao walipokutana katika ngazi ya vilabu na Liverpool kuibuka na ushindi wa bao 3-1
Raheem Sterling will not play in England's European Qualifier against Montenegro on Thursday due to a disturbance at their St George’s Park training complex.
England manager Gareth Southgate said that "emotions were still raw" after Sterling was involved in a clash with Joe Gomez towards the end of Liverpool's 3-1 win over Premier League title rivals Manchester City on Sunday.
It is understood the pair were again involved after meeting up for England duty on Monday, leading to Sterling's withdrawal from selection for the game with Montenegro at Wembley.
No details of the incident were revealed, although the FA confirmed Sterling remains with the squad following the "disturbance in a private team area."
Southgate said: "We have taken the decision to not consider Raheem for the match against Montenegro on Thursday.
Chanzo: Sky Sports