pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Hana lolote kwa Mimi ukimuweka yeye Na samata ni bora samata mara elfuWee jamaa acha chuki, jamaa anaujuwa sana mpira aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana lolote kwa Mimi ukimuweka yeye Na samata ni bora samata mara elfuWee jamaa acha chuki, jamaa anaujuwa sana mpira aisee
Umeandika uozo kabisa !Umeandika ujinga.Nenda kituo cha polisi chochote wambie wakuweke ndani masaa 72. [emoji16][emoji16][emoji16][emoji3]
Hebu tuwe realistic kidogo kama mliangalia mechi ni wazi klopp aliwalisha sumu sana vijana wake wadogo Arnold, Robertson na Gomez.. hawakuwa wakicheza mpira ilikuwa kama ugomvi na its obvious Arnold na Gomez walimkamia sana sterling pamoja na kutamkiana maneno uwanjani it was more personal considering sterling alipoteza mechi that was bound to happen when they meet again.. Klopp mshenzi sana yeye ndo wa kulaumiwa aliwalisha sumu sana vijana wake mpira haupo hivyoHana Akili huyu
Unatema nyongo zako tu mzee hizo ni chuki zako binafsi hakuna mchezaji asiyekuwa mgomvi katika mpira wa miguu kutokana na nature yake nani alijua Song ni mkorofi kabla hajampiga kiwiko madzukic? actually Aguero na De bruyne ni wakorofi kuliko hata sterlingHaka kajamaa kanapendaga sana ugomvi usio na sababu.
Umevimbiwa wewe siyo bureHana lolote kwa Mimi ukimuweka yeye Na samata ni bora samata mara elfu
OK twende na takwimuUmevimbiwa wewe siyo bure