Uingereza: Mchezaji Raheem Sterling aondolewa katika kikosi cha Uingereza kinachojiandaa dhidi ya Montenegro kwa kosa la ugomvi

Umeandika ujinga.Nenda kituo cha polisi chochote wambie wakuweke ndani masaa 72. [emoji16][emoji16][emoji16][emoji3]
Umeandika uozo kabisa !
Sema usiende polisi sio kuzuri
Kiukweli hamfikii samata Kama hutaki kajinyonge
 
Hana Akili huyu
Hebu tuwe realistic kidogo kama mliangalia mechi ni wazi klopp aliwalisha sumu sana vijana wake wadogo Arnold, Robertson na Gomez.. hawakuwa wakicheza mpira ilikuwa kama ugomvi na its obvious Arnold na Gomez walimkamia sana sterling pamoja na kutamkiana maneno uwanjani it was more personal considering sterling alipoteza mechi that was bound to happen when they meet again.. Klopp mshenzi sana yeye ndo wa kulaumiwa aliwalisha sumu sana vijana wake mpira haupo hivyo
 
Haka kajamaa kanapendaga sana ugomvi usio na sababu.
Unatema nyongo zako tu mzee hizo ni chuki zako binafsi hakuna mchezaji asiyekuwa mgomvi katika mpira wa miguu kutokana na nature yake nani alijua Song ni mkorofi kabla hajampiga kiwiko madzukic? actually Aguero na De bruyne ni wakorofi kuliko hata sterling
 
Umevimbiwa wewe siyo bure
OK twende na takwimu
Sterling amecheza mechi nane dhidi ya Liverpool hajafunga goli
Samata amecheza mechi mbili dhidi ya Liverpool amefunga goli mbili,moja limekataliwa nani zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…