Uingereza miaka kumi lakini bado Maimuna

Huwa hunisomi vizuri tu, ungepata faida kubwa sana ungechukuwa wasaa wako kidogo kunisoma, na ambapo hujapaelewa ungechukuwa fursa ya kuniuliza, ungejifunza mengi sana.
Modesty and humility are not among of your multiple qualities, are they? hahahahaha
 
Modesty and humility are not among of your multiple qualities, are they? hahahahaha

From you I can take tons of criticism without a grudge. I know, your capacity is way above most of us.
 
Hii thread mbona ibweli chigafula sana na muyinu Hata chiswahili cheni cha shida shida tu na nitamana ku mbwani!!
 
Hata mtoto mdogo anapojifunza kuongea lugha yeyote huanza na sentensi mbovu mbovu na hatimaye hunyooka. Watoto kutokana na kutokuona aibu hujua mapema mno lugha kulinganisha na watu wazima. Hivyo lugha ni mazoezi ya kuongea hatimaye utaifahamu vizuri.
kaazi kweli kweli. Wakati unaongea lugha yoyote usiogope kuonekana mshamba,usijali sijui grammar au syntax au conjunction- wewe vunja tu -huo sio mtihani kwamba baada ya maongezi utapewa below. Hatimaye unajikuta unatema lugha hiyo kama wenyewe.
 
naona mjadala umegeuka vijembe,
kazaneni na kasumba zenu,
wakati kuna wenyewe wanaojiita english people na hawajui english,nyie wamatumbi ndio mnaona sehemu ya kupigana vijembe,kalagabaho....!!!!
 

Utakuwa umezaliwa late 80's au early 90's. Ni MAIMUNA mkuu,waliokuwa na akili zao enzi zile za RTD ilipokuwa ndiyo radio station pekee nchini wanaelewa.
 
Mimi sijui kwanini Watanzania tunakasumba mbaya !! igeni mifano ya Waitaliano, Wafaransa, Wajerumani na nchi zenye kutukuza Lugha yao! mtu asipojua English ni jambo la kawaida tu..ila Tanzania!!
 


Ninyi nyote mmepatia kuhusu MAAMUMA na MAIMUNA.

Katika kiswahili kuna Neno MAAMUMA na kuna Jina la kike linalooitwa MAIMUNA. Neno MAIMUNA lina maana kama vile MAAMUMA kulingana ufafanuzi wa Pwito.

Kumbukeni, Wahenga walivosema "Kiswahili ni nyama ya tembo, ukiila huimalizi" na hii ni karibia kwa lugha zote. Hakuna haja ya kutoleana Kashfa.
 
We huwajui hao wanao zungumziwa hapa.
Hata mimi nimeshawaona wakija leave.
Mi mwenyewe english yangu ya kuunga
ila nilijikuta namzidi kwa kiasi fulani yani.
Halafu wanajaribu kuficha udhaifu wao huo
kwa kuongea haraka with a fake british accent

Nadhani tabia ya kuficha udhaifu wa kuelewa lugha, kinasababisha ulaghai (wa kufeki accent). Hii inasababisha waboronge zaidi. Lakini nafikiri wanatumia energy nyingi kuliko energy watayotumia kujifunza kiingereza. Vile vile, jamii wanayoishi inatakiwa uwahamasishe.
 
Sijui kama huwa wanenda Uingereza kujifunza kiingereza, kama wameenda kukaa hata mwaka mmoja kujifunza kiingereza na wanashindwa basi ni kicheko.

Inategemea wameishi kule katika mazingira gani. Kama wameishi katika maizngira ya waswahili, na kuongea Kiswahili kila siku basi hawawezi kujifunza kiingereza.

Mbona kuna watanzania wengi tu wamezaliwa hapa Tanzania na hawajui "Kitanzania" vizuri, hata hapa JF ukiangalia utaona kuwa sarufi, herufi na vingine ovyo kabisa.
 
naona mjadala umegeuka vijembe,
kazaneni na kasumba zenu,
wakati kuna wenyewe wanaojiita english people na hawajui english,nyie wamatumbi ndio mnaona sehemu ya kupigana vijembe,kalagabaho....!!!!
Mbona kama umeguswa mpendwa?
hahahahaha
 
Kivyako-vyako, ah ah, kivyako-vyako, ah ah, kivyako-vyako
Ras Pompidou

Ajue Kiingereza, asijue, as long as hajanigongea hodi kunitwisha mzigo wake, na mie sijamgongea, ni poa tu.

Sasa kama mtu akikwambia hayo ndiyo maisha aliyochagua, na labda kipaji cha lugha hana, utamwambia nini?

After all lugha ni janga la taifa na Kiingereza chenyewe ni lugha fyongo kwa mtu aliyezoea lugha nadhifu kama Kiswahili (take it from George Bernard Shaw)

Sitetei u-Maimuna, nakataa kukubali hii "lording it over them" kama a genuine concern.

Kuna watu wanapenda kuwakoga wenzao tu, kwamba wamekaa Uingereza miaka yote lakini hawajui Kiingereza. Lakini katika kuwakoga hivyo wanataka tuamini kwamba wanasema hilo kwa noble reasons kama kukemea ujinga na kuwa genuinely concerned. Mbona hamtuambii mmewasaidiaje hawa "ndugu zetu" wasiojua Kiingereza?

Mie mtu anayekaa miaka yote hiyo Uingereza bila kujua Kiingereza nampa heko maana inaonekana ana skills fulani zinazo transcend lugha, ama sivyo angesha fungasha.

Halafu ananipa afueni sipati competition zaidi katika ubebaji makasha.
 
mleta mada, nani kakwambia swala akìishi na simba karne moja anageuka simba? Kujua lugha lazima UJIFUNZE lugha, hakuna osmosis.
 
Ukve alikuwa anafanya kazi kituo cha kulelea viziwi na bubu
 
My friend, you cannot adopt the accent unless you are under five years old, because that is where all children are tought how to master the language. Accent is something someone is born with so it comes naturally.

But as an adult, you can learn to speak good English and improve your grammar as is important element of being good speaker.

I totally agree with you that native speakers of a language can be fluent without being considered proficient.
 
Reactions: kui
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…