Uingereza: Mume wa Malkia Elizabeth II, Mwanamfalme Philip atimiza miaka 99

Uingereza: Mume wa Malkia Elizabeth II, Mwanamfalme Philip atimiza miaka 99

Wafalme ndio wanawapa vyeo vya Umalikia wake zao na sio kinyume chake
Ndio maana hata mama yake na Malikia Elizabeth alikuwa Malkia baada ya King George kuwa Mfalme
Kwa hiyo Elizabeth alipokuwa Malkia mme wake akapewa cheo cha prince tu ila majukumu ni mengi na mpunga mwingi
Kama kiasi gani mkuu?
 
Hivi hizi "DUKE" huwa zina maana gani?

Ukoo wa kifalme hapo UK unatoa vyeo kulingana na mtu ana hadhi gani ktk hiyo familia. Mfano , watoto wa kuzaa mfalme ni prince/princess. Duke/Duchess hawa ni extended family, mfano, mtu akiolewa au akioa ukoo huo wa malikia.

Hivyo ni vyeo na vina mipaka ya utawala, mfano, kuna mwenye kutawala kata, tarafa,wilaya n.k(mifano tu).Vyeo vingine ni baron,earl..n.k


Kwa undani cheki hapa


What's the difference between a duke, a prince, an earl and a baron?
 
Ana vyeo kama vitatu na miaka zaidi ya 50 ametumikia nchi
Na jeshini alifikia Colonel na pia alikuwa Fleet Admiral
Hawa watu hela zao sidhani kama huwa ziko wazi sana ila Royal Families kwa ujumla wanapata hela nzuri
Nafikiri account inasoma zaidi ya $30m
Hongera zake aiseeee
 
Huyu jamaa kala bata sana kwa miaka mingi sana.

Ukianza kumpigisha stories za Zanzibar anakwambia "nilikuwepo siku Zanzibar inapata Uhuru kutoka Uingereza".

Kuna watu wa visiwa fulani vya Pacific walitaka kumfanya awe Mungu wao.

Alipata tabu sana kuwaelezea kwamba yeye si Mungu.

Kikawaida watu wanasema "I hope you live to be 100 years old" kama wish ya birthday.

Ila huyu ukimwambia hivyo ni sawa na umwambie unamtakia aishi mwaka mmoja tu zaidi.
 
Hiyu jamaa kala bata sana kwa miaka mingi sana.

Ukianza kumpigusha stories za Zanzibar anajwambia "nilikuwepo siku Zanzibar inaoata Uhuru kutoka Uingereza".

Kuna watu wa visiwa fulani vya Pacific walitaka kumfanya awe Mungu wao.

Alipata tabu sana kuwaelezea kwamba yeye si Mungu.

Kikawaida watu wanasema "I hooe you live to be 100 years okd" kama wish ya birthday.

Ila huyu ukimwambia hivyo ni sawa na umwambie unamtakia aishi mwaka mmoja tu zaidi.

Ila mzee huyu ana maneno kuntu sana yaani kila akienda na Malkia lazima ataacha neno la karaha huwa nacheka sana
Ila hawa watu wanaishi mda mrefu na afya zao kwa Kweli
 
Maisha marefu na utajiri wa kufa mtu sababu utumwa wizi kwenye makoloni
 
Mbona bado mdogo lakini kazeeka Sana? Yule bibi wa moshi alikuwa na 131 lakini bado alikuwa chuma hatari
 
Hiko kimaza hapo kando kinaonekana mcharuko sana hiko kisura kimekolea kalolaiti kama mama sele kibwato wa buza kwa mpalange!
 
Ila mzee huyu ana maneno kuntu sana yaani kila akienda na Malkia lazima ataacha neno la karaha huwa nacheka sana
Ila hawa watu wanaishi mda mrefu na afya zao kwa Kweli
Ndivyo alivyo tangu ujana.

Halafu kashamtuliza Malkia wake tangu Malkia ana miaka 16, kamkuza mwenyewe.

Malkia hasemi kitu kapata pumbazo la roho yake na u Malkia wake wote.
 
Ndivyo alivyo tangu ujana.

Halafu kashamtuliza Malkia wake tangu Malkia ana miaka 16, kamkuza mwenyewe.

Malkia hasemi kitu kapata pumbazo la roho yake na u Malkia wake wote.

Namkubali sana
 
Sasa huyo Charlez anasema hajamuona baba yake muda mrefu sana kwani anakatazwa kwenda kumtembelea?
 
Sasa huyo Charlez anasema hajamuona baba yake muda mrefu sana kwani anakatazwa kwenda kumtembelea?

Hakatazwi bali mama alitengwa Windsor halafu mzee akapelekwa pia hivi karibuni baada ya Malkia kukaa peke yake kwa mda, hii ni kwa sababu ya Corona tu Mkuu imebidi watengwe kwa usalama wao
 
Hongera zake,sio huyu alipata ajali mwaka Jana akiendesha gari mwenyewe?

Ndio huyo huyo yaani huyu mzee ni mkoloni haswa hata licence ya ndege walimlazimisha kuacha kuendesha ndege
Yaani ni mtemi haswa sio tu kwa kuwa na Malkia bali tabia yake tu na ana majibu ya ajabu [emoji23]
 
Back
Top Bottom