makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Ngoja nimshauri mke wangu tukachukue mwali wa ethiopia ama somalia kule hali tete.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binamu[emoji4]Hii ndo inaitwa fadhila mfadhili mbuzii
Hapo mwanamke anatukana Sana uko alipo[emoji4]Hii ndo inaitwa fadhila mfadhili mbuzii
Duh! Ndo tulikofikia uko?Hiyo story wameificha ficha tu,
Ukweli ni kua kuna trend ipo inaitwa Polyamory,
Couple yoyote inaamua kuongeza mtu mwingine katika Mahusiano yao kwa ajili ya kufanya Mapenzi,
Hiyo Married Couple lazima walimtafuta Sophia wa Ukraine kwa ajili ya Polyamory matokeo yake jamaa aka fall mazima na hizo kesi zipo sanaaa.
Kheeeeh kumbe?Hiyo story wameificha ficha tu,
Ukweli ni kua kuna trend ipo inaitwa Polyamory,
Couple yoyote inaamua kuongeza mtu mwingine katika Mahusiano yao kwa ajili ya kufanya Mapenzi,
Hiyo Married Couple lazima walimtafuta Sophia wa Ukraine kwa ajili ya Polyamory matokeo yake jamaa aka fall mazima na hizo kesi zipo sanaaa.
Hiyo story wameificha ficha tu,
Ukweli ni kua kuna trend ipo inaitwa Polyamory,
Couple yoyote inaamua kuongeza mtu mwingine katika Mahusiano yao kwa ajili ya kufanya Mapenzi,
Hiyo Married Couple lazima walimtafuta Sophia wa Ukraine kwa ajili ya Polyamory matokeo yake jamaa aka fall mazima na hizo kesi zipo sanaaa.
Hiyo ya Waislam inaitwa Polygamy, ni zaidi ya Mke mmoja,Kwa hiyo Waislam wako sahihi kwenye hili kwa upande wa mwanaume kuoa wanne.
Ndio mke,Kheeeeh kumbe?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na mi waje hata wale wa Burundi niache mtu hapa home, mana vimbwanga haviishi
Hata huyo sophia ni pisi jicho hiloHujawaona wazungu wewe.... Kuna wazungu ni visu balaa
Kimaadili jamaa kazingua ila kibaharia kaupiga mwingi sanaHata huyo sophia ni pisi jicho hilo
Hapana mie sina wivu, hebu tujaribu tyuuh. [emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]Ndio mke,
Na sisi tujaribu au una wivu [emoji2960][emoji2]
Huyu sasa ni shujaa wa ULAYAMwanaume mmoja nchini Uingereza anayefahamika kwa jina la Tony Garnet, ameachana na mkewe Lorna Garnett aliyedumu naye kwa miaka 10 na kufanikiwa kupata watoto wawili, na kuanza mahusiano mapya na mkimbizi wa Ukraine, Sofiia Karkadym aliyempenda ndani ya siku 10.
Tony na mkewe Lorna Garnett walijitolea kutafuta mkimbizi wa Ukraine kwa ajili ya kuishi naye nyumbani baada ya nchi hiyo kuingia katika vita dhidi ya Urusi. Katika kutafuta wakatokea kumpenda Sofiia na kuanza taratibu za kumchukua kutoka Ukraine na kumleta Uingereza.
Mwezi Mei mwaka huu Sofiia alikaribishwa ndani ya familia hiyo, na ndani ya Siku 10 baba mwenye nyumba Tony alivutiwa na binti huyo mpaka kupelekea kumuacha mkewe na kuanza maisha mapya na Sofiia.
EATV
hawanaga maji mengiHujawaona wazungu wewe.... Kuna wazungu ni visu balaa