Ni taratibu zinazofanana na kutofautiana kwa mazingira tu. Tofauti ni pale kwa wenzetu, kiongozi anapokubali kuyashindwa majukumu anajiuzulu. Wakati huku kwetu suala la kushindwa majukumu sio kigezo cha kujiuzulu.
Lakini utaratibu ndio huo, Uingereza Chama kinamshukia kiongozi hadi anajiuzulu maana kuwepo kwake kama kiongozi ni kwa ridhaa ya Chama chake.
Sasa huku kwetu Tz, Spika wa Bunge aliyechaguliwa na Wabunge anabinywa na Chama hadi anajiuzulu - ingawa ni wabunge ndio waliomchagua.
Na Kimsingi watu wachache ndio wanaoweka mbinyo huo kote kote, ndio maana lawama kwa Uingereza ni kuitisha uchaguzi mkuu.
Tunajifunza mengi ipo siku Jaji Mkuu Tanzania atajiuzulu kwa kushukiwa na Chama!
Lakini utaratibu ndio huo, Uingereza Chama kinamshukia kiongozi hadi anajiuzulu maana kuwepo kwake kama kiongozi ni kwa ridhaa ya Chama chake.
Sasa huku kwetu Tz, Spika wa Bunge aliyechaguliwa na Wabunge anabinywa na Chama hadi anajiuzulu - ingawa ni wabunge ndio waliomchagua.
Na Kimsingi watu wachache ndio wanaoweka mbinyo huo kote kote, ndio maana lawama kwa Uingereza ni kuitisha uchaguzi mkuu.
Tunajifunza mengi ipo siku Jaji Mkuu Tanzania atajiuzulu kwa kushukiwa na Chama!