Uingereza: Serikali kuwalipa watakaowapa makazi wananchi wa Ukraine

Uingereza: Serikali kuwalipa watakaowapa makazi wananchi wa Ukraine

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Raia wa Uingereza watakaoruhusu Wananchi wanaokimbia mapigano Nchini Ukraine kukaa nyumbani kwao au kuwapa eneo kwa kipindi kisichopungua miezi sita watalipwa Paundi 350 kwa mwezi

Hatua hiyo ya Serikali ni jaribio la kupunguza hasira zilizopo kuhusu namna inavyoshughulikia mzozo wa Wakimbizi unaokua kwa kasi zaidi Barani Ulaya tangu Vita vya Pili vya Dunia

Chini ya Mpango huo uitwao "Makazi kwa Ukraine" Wakimbizi wataruhusiwa kuingia Uingereza hata kama hawana Familia

=======

The United Kingdom will pay people to open their homes to Ukrainians fleeing the Russian invasion as the government moves to deflect anger about its response to the fastest-growing refugee crisis in Europe since World War Two.

The new scheme called “Homes for Ukraine” will let refugees from the war come to the UK even if they do not have family ties, the government said.

The country will pay people 350 pounds ($456) a month if they can offer refugees a spare room or property for a minimum period of six months

Source: Al Jazeera
 
Chama cha wenye nyumba Tanzania ombeni Shirika la wakimbizi wawalete wakimbizi hao wa Ukraine wawapangie kwenye nyumba zenu fursa hiyo
 
Raia wa Uingereza watakaoruhusu Wananchi wanaokimbia mapigano Nchini Ukraine kukaa nyumbani kwao au kuwapa eneo kwa kipindi kisichopungua miezi sita watalipwa Paundi 350 kwa mwezi

Hatua hiyo ya Serikali ni jaribio la kupunguza hasira zilizopo kuhusu namna inavyoshughulikia mzozo wa Wakimbizi unaokua kwa kasi zaidi Barani Ulaya tangu Vita vya Pili vya Dunia

Chini ya Mpango huo uitwao "Makazi kwa Ukraine" Wakimbizi wataruhusiwa kuingiaUingereza hata kama hawana Familia

=======

The United Kingdom will pay people to open their homes to Ukrainians fleeing the Russian invasion as the government moves to deflect anger about its response to the fastest-growing refugee crisis in Europe since World War Two.

The new scheme called “Homes for Ukraine” will let refugees from the war come to the UK even if they do not have family ties, the government said.

The country will pay people 350 pounds ($456) a month if they can offer refugees a spare room or property for a minimum period of six months

Source: Al Jazeera
Mh!!
 
Karibisha wasiojulikana, uone habari yake...
Iliwahi tokea kipindi niko form two mamkubwa alileta wageni hiace nzima pamoja na dereva wake eti kigari kimewagomea usiku then kawaambia twenden tukalale kwa mdogo wangu....nakumbuka tulilazwa wote sebuleni mi nililala karibu na Rasi tukawa tunagongana tu makalio.Ilikuwa hatari sana
 
Iliwahi tokea kipindi niko form two mamkubwa alileta wageni hiace nzima pamoja na dereva wake eti kigari kimewagomea usiku then kawaambia twenden tukalale kwa mdogo wangu....nakumbuka tulilazwa wote sebuleni mi nililala karibu na Rasi tukawa tunagongana tu makalio.Ilikuwa hatari sana
Kuna mambo yanafurahisha sana... Kwa nini mgongane sasa...
 
Hapo wengine ndo nafasi ya kutafuta maisha hakuna kurudi tena Ukraine,humohumo Kuna wahalifu wa kawaida na waliokubuhu kutoka Ukraine,pia wapelelezi na majasusi ya kirusi lazima wachangamkie hii fursa ni mwendo wa kujimix na raia wa Ukraine Mana wanafanana tu ndo hao hao,makahaba ndo nafasi hiyo UK Kuna mpunga mrefu Sana kwa tasnia kongwe hiyo na Mambo mengine kibao ya faida na hasara...​
 
Back
Top Bottom