Uingereza Yaipa Zanzibar Mkopo wa Sh.Tilioni 1 Kujenga Uwanja wa Ndege Pemba

Kwa kuwa wamepewa na wazungu kelele hamna Ila angekuwa mwarabu mngeongea kila Aina ya upuuzi
Tatizo la Mikataba ya Mwarabu ni ya kiujanjanja, Mikataba ya ahadi ni ya kizamani sana,weka Mzigo ubaoni tujuwe tunachukua au hatuchukuwi! Siyo unakuja na ahadi zako tu sijui tutafanya hivi,Mara tutafanya vile huku miaka inakatika bila bila!!
 
Tuna uwezo wa kulipa zaidi ya hizo kuhusu kutuoa sijui simemi mengi maana father wangu ametoka uko
 
Kwaiyo muungano uvunjike au [emoji23][emoji23]
 
Kwaiyo muungano uvunjike au [emoji23][emoji23]
Hata Leo asubuh hatutaki mwanamke mwenye mdomo na Shobo za kikuda(Zanzibar) muumgano uvunjike au tuubadilishe jina tuuite msaada wa watu wa Tanganyika Kwa Wazanzibar Sisi tunawasaidia tu muungano gani kila kitu mnategemea kwetu na bado mna mdomo mrefu
 
Ukweli ni kwamba hizo trillion 1 watalipa watanganyika. Halafu kiwanja cha trillion 1 Pemba cha nini!?
 
Ww unataka Leo wakati sis wanzanzibari tulitaka zamani Sana na mkaanza kutubembeleza wenyewe ila kuvunja muungano sio rahisi tumshachanganya Hadi damu ujue[emoji850]
 
Mkopo ni suala la muungano. Guarantee ni nani km sio Tanganyika? Dah!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…