Wivu unawasumbua na roho zao mbaya
Russia ni moja ya nchi ambazo deni la taifa ni dogo sana
Hao jamaa nao ni wapuuzi tu, hvyo vikwazo asilimia kubwa vinawaumiza wenyewe.
Wananchi wanalalamika kumekuwa na mfumuko mkubwa sana wa bei ya mafuta na pia upatikanaji wake wakusua sua. Hawa ulaya wanafata mkumbo wa mmarekani ambaye yeye ana ghala kubwa sana la mafuta lakuweza kuisukuma nchi yake kwa miaka kadhaa hapo mbele unless these morons wafata mikumbo. Kama wao ni wanaume waende kupeleka jeshi lao likamalize operesheni ya mrusi pale Ukreini.
Anashindwa kuiga mgano wa Ufaransa ambaye amekaa kimya na mataifa mengineyo ya EU,kwanza kanchi kenyewe kana watu about 75M sijui hata wakiji disconnect from Russia bado kuna nchi nyingi za Asia na Marekani ya Kusini wako tayari kufanya biashara na mrusi plus Africa
Hawa ni kuwaua na baridi tu mwezi December hapoSerikali imetangaza awamu mpya ya Vikwazo vya kibiashara dhidi ya #Russia ikiwa ni mwendelezo wa Vikwazo kutoka nchi nyingi Duniani kutokana na kuendelea kwa #RussiaUkraineWar
Vikwazo hivyo vinajumuisha marufuku ya kusafirisha bidhaa na teknolojia mbalimbali nchini humo, usafirishaji wa mafuta ya ndege na usafirishaji wa noti bora au za Umoja wa Ulaya.
....................................................
Britain has introduced a new tranche of trade sanctions against Russia, a notice published on the government website has said.
The notice listed new measures including prohibitions on the export to Russia of a range of goods and technology, the export of jet fuel, and the export of sterling or EU denominated banknotes.
Source: Al Jazeera
Hawa ni kuwaua na baridi tu mwezi December hapo
Wangekuwa walishakufa zamani sana kabla Russia haijawa na mafuta.
Wajerumani wamerudi kwenye matumizi ya mkaa na macho yamesha kuwa mekundu kama wanapuliza mkaa mbichi,Acha nao waingereza wajidai TU.
Ni kuhakikishie kuwa najua nachoongea, habari ya gesi ni mezungumzia ujerumani,UK ni mezungumzia habari ya kujidai wajuaji,ila TU nikumbushe unaoweza fikiria kichocheo Cha gatepaty na vote of no confidence ilichochewa na Nini,? Na Bado mengi yanawajia,kule Italy Di maio FM wao kahama Chama chake kisa hawakubaliani na wanacho fanya Ukraine,Bulgaria wamekatiwa gesi, Serikali imeparaganyika wanaoelekea kwenye uchaguzi wa mapema,ufaransa macron kakalia kuti kavu,unajua kwanini?Kazi Kwako na way Ukraine wote wa buza,pamoja na mabeberu wa ulaya na America.πΆHata haujui unachoongea, UK alikuwa anatumia only 4% ya gas toka Russia na aliikataa mwanzo kabisa so they have nothing to loose na ndio maana waona tuko front line na Russia hana la kumfanya
Tanzania tuna deni la Taifa dogo kuliko Russia.
Tanzania tuna deni la Taifa dogo kuliko Russia.
Ni kuhakikishie kuwa najua nachoongea, habari ya gesi ni mezungumzia ujerumani,UK ni mezungumzia habari ya kujidai wajuaji,ila TU nikumbushe unaoweza fikiria kichocheo Cha gatepaty na vote of no confidence ilichochewa na Nini,? Na Bado mengi yanawajia,kule Italy Di maio FM wao kahama Chama chake kisa hawakubaliani na wanacho fanya Ukraine,Bulgaria wamekatiwa gesi, Serikali imeparaganyika wanaoelekea kwenye uchaguzi wa mapema,ufaransa macron kakalia kuti kavu,unajua kwanini?Kazi Kwako na way Ukraine wote wa buza,pamoja na mabeberu wa ulaya na America.[emoji124]
andika vizuri, andika wanaisoma sio hanaisomaWarusi wa tandahimba utasikia wanasema 'vikwazo vinawaumiza wenyewe' [emoji2][emoji2][emoji2], wakati warusi wenyewe wa Moscow hanaisoma namba.
Shida sana,nakupa uwanda wakutosha kung'amua ujumbe uliobebwa na maana iliyopo hata Bado huelekei kujua,basi elewa vile unavyotaka.Iwe ni Kwa sababu ya mahaba Kwa mabeberu au vinginevyo.Ndio maana nasema hujui unachoongea kabisa, issue ya vote ya no confidence ya Boris it is about Ukrain war??? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hata kama kingereza hujui na magazeti ya kwetu? Hahaha na issue ya covid ilikuwa ninin?
Pia ana uchumi mdogo ukilinganisha na UKWivu unawasumbua na roho zao mbaya
Russia ni moja ya nchi ambazo deni la taifa ni dogo sana
Yaani mtu anaona uingireza haina akili. Kama gas na mafuta yangekuwa vulnerable kwa UK basi angeufyata kwa russia. Hizi kelele zote ni dhahiri watu walijipanga kumpiga pini mrusi.Wangekuwa walishakufa zamani sana kabla Russia haijawa na mafuta.
Pia ana uchumi mdogo ukilinganisha na UK
Wewe waone CIA ni kama wehu. Kuna nyakati utawaelewa tu.Ni kuhakikishie kuwa najua nachoongea, habari ya gesi ni mezungumzia ujerumani,UK ni mezungumzia habari ya kujidai wajuaji,ila TU nikumbushe unaoweza fikiria kichocheo Cha gatepaty na vote of no confidence ilichochewa na Nini,? Na Bado mengi yanawajia,kule Italy Di maio FM wao kahama Chama chake kisa hawakubaliani na wanacho fanya Ukraine,Bulgaria wamekatiwa gesi, Serikali imeparaganyika wanaoelekea kwenye uchaguzi wa mapema,ufaransa macron kakalia kuti kavu,unajua kwanini?Kazi Kwako na way Ukraine wote wa buza,pamoja na mabeberu wa ulaya na America.[emoji124]
Yaani mtu anaona uingireza haina akili. Kama gas na mafuta yangekuwa vulnerable kwa UK basi angeufyata kwa russia. Hizi kelele zote ni dhahiri watu walijipanga kumpiga pini mrusi.