Borat69
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,522
- 1,757
Jioni hii Waziri Mkuu ametamka bungeni ya kuwa Kama wabunge walio wengi wamepinga miaka(8) ya magari yanayoingia nchini,basi SERIKALI haitakuwa na kigugumizi kurudisha ile miaka (10) ya awali katika vigezo vya uingizaji wa magari nchini.
Kwa kauli hii inaonekana SERIKALI huwa inakurupuka na kubadili vipengele bila ya kufanya tafiti na upembuzi yakinifu.
Kuna Wananchi na uhakika watakuwa wamekumbwa na ushuru wa hali ya juu bila sababu za kimsingi.
Kwa wale mnaojua naomba kupata uelewa hili suala la kuingiza magari yasiyo chini ya Miaka 10 litaanza kutekelezwa lini?
Source: Bunge Via TBC.
Kwa kauli hii inaonekana SERIKALI huwa inakurupuka na kubadili vipengele bila ya kufanya tafiti na upembuzi yakinifu.
Kuna Wananchi na uhakika watakuwa wamekumbwa na ushuru wa hali ya juu bila sababu za kimsingi.
Kwa wale mnaojua naomba kupata uelewa hili suala la kuingiza magari yasiyo chini ya Miaka 10 litaanza kutekelezwa lini?
Source: Bunge Via TBC.