Uislamu na Ugaidi

Uislamu na Ugaidi

TsotsiKwesta

Senior Member
Joined
Jan 12, 2014
Posts
126
Reaction score
258
Asalam Aleikum warramatullah Taala wabarakatuh. Kwa wale wakristo ni Seme Bwana Yesu asifiwe.
Nasikitishwa sana na matukio ya kigaidi ambayo yanakua yanahusishwa na Uislamu moja kwa moja. Growing up nilikua najua waarabu ndio watu watakaoenda peponi na ni watakatifu, lakini as i grew up nikaja kuelewa wale ni watu tu kama walivyo wajapan na Wayahudi. Kumekua na vitendo vya kigaidi vinavyohusisha uislamu, mamia ya watu wasio na hatia wanakufa. Mimi binafsi nawaita hawa sio waislamu na Mungu atawapa wanachostahili. Hakuna dini yenye kuhubiri Amani kama uislamu, tumeagizwa upendo wa kila mtu awe muslim na non muslim pia. Mamlaka ya kuchukua uhai wa mtu ni yake Maulana. Hawa watu wanaua watu then wanamtaja mungu ni dhahiri wanataka ku instill chuki baina yetu wakristo na waislamu ambao tumeishi miaka na miaka kwa mapenzi na kuheshimiana. Mwaka 2013 niliwahi kukutana na Raia wa Iran mjini Washington DC, tulikua na mazungumzo kidogo kuhusu gari yake ambae haitumii mafuta inatumia umeme(Nissan Leaf) basi nilipomaliza mada hiyo nikamuuliza Imran unazungumziaje hawa watu wanaua innocent people kwa jina la uislamu. Alinijibu kama ifuatavyo.
“ I don’t care if a Christian or muslim kill people, what bothers me is when they use the name of God. They can do their wickedness without involving God”

It is shame and a disgrace to our religion. Honestly I really hate these sick bastards that are tarnishing our image and as a muslim brother i condemn these series of mass shootings. I love my christian friends and I respect dini zao ndio tumeumbwa hivyo. I just thought I should say this to people and nitangulize Apologies kama nitakua nimemkwaza mtu kwa namna moja ama nyingine.

Gyabonga Wafowethu.
 
Cash Time Totsi for the life..

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
 
Asalam Aleikum warramatullah Taala wabarakatuh. Kwa wale wakristo ni Seme Bwana Yesu asifiwe.
Nasikitishwa sana na matukio ya kigaidi ambayo yanakua yanahusishwa na Uislamu moja kwa moja. Growing up nilikua najua waarabu ndio watu watakaoenda peponi na ni watakatifu, lakini as i grew up nikaja kuelewa wale ni watu tu kama walivyo wajapan na Wayahudi. Kumekua na vitendo vya kigaidi vinavyohusisha uislamu, mamia ya watu wasio na hatia wanakufa. Mimi binafsi nawaita hawa sio waislamu na Mungu atawapa wanachostahili. Hakuna dini yenye kuhubiri Amani kama uislamu, tumeagizwa upendo wa kila mtu awe muslim na non muslim pia. Mamlaka ya kuchukua uhai wa mtu ni yake Maulana. Hawa watu wanaua watu then wanamtaja mungu ni dhahiri wanataka ku instill chuki baina yetu wakristo na waislamu ambao tumeishi miaka na miaka kwa mapenzi na kuheshimiana. Mwaka 2013 niliwahi kukutana na Raia wa Iran mjini Washington DC, tulikua na mazungumzo kidogo kuhusu gari yake ambae haitumii mafuta inatumia umeme(Nissan Leaf) basi nilipomaliza mada hiyo nikamuuliza Imran unazungumziaje hawa watu wanaua innocent people kwa jina la uislamu. Alinijibu kama ifuatavyo.
“ I don’t care if a Christian or muslim kill people, what bothers me is when they use the name of God. They can do their wickedness without involving God”

It is shame and a disgrace to our religion. Honestly I really hate these sick bastards that are tarnishing our image and as a muslim brother i condemn these series of mass shootings. I love my christian friends and I respect dini zao ndio tumeumbwa hivyo. I just thought I should say this to people and nitangulize Apologies kama nitakua nimemkwaza mtu kwa namna moja ama nyingine.

Gyabonga Wafowethu.
Unajua kwa sababu hzo people zinatamka maneno ya uislam wkat wakifanya huo ugaidi, lait wangesema bwana asifiwe... Au vingine bas wakristo pia wangehusishwa.. Hvo bas ndo maana asilimia kubwa huamin n uislam..
 
Asalam Aleikum warramatullah Taala wabarakatuh. Kwa wale wakristo ni Seme Bwana Yesu asifiwe.
Nasikitishwa sana na matukio ya kigaidi ambayo yanakua yanahusishwa na Uislamu moja kwa moja. Growing up nilikua najua waarabu ndio watu watakaoenda peponi na ni watakatifu, lakini as i grew up nikaja kuelewa wale ni watu tu kama walivyo wajapan na Wayahudi. Kumekua na vitendo vya kigaidi vinavyohusisha uislamu, mamia ya watu wasio na hatia wanakufa. Mimi binafsi nawaita hawa sio waislamu na Mungu atawapa wanachostahili. Hakuna dini yenye kuhubiri Amani kama uislamu, tumeagizwa upendo wa kila mtu awe muslim na non muslim pia. Mamlaka ya kuchukua uhai wa mtu ni yake Maulana. Hawa watu wanaua watu then wanamtaja mungu ni dhahiri wanataka ku instill chuki baina yetu wakristo na waislamu ambao tumeishi miaka na miaka kwa mapenzi na kuheshimiana. Mwaka 2013 niliwahi kukutana na Raia wa Iran mjini Washington DC, tulikua na mazungumzo kidogo kuhusu gari yake ambae haitumii mafuta inatumia umeme(Nissan Leaf) basi nilipomaliza mada hiyo nikamuuliza Imran unazungumziaje hawa watu wanaua innocent people kwa jina la uislamu. Alinijibu kama ifuatavyo.
“ I don’t care if a Christian or muslim kill people, what bothers me is when they use the name of God. They can do their wickedness without involving God”

It is shame and a disgrace to our religion. Honestly I really hate these sick bastards that are tarnishing our image and as a muslim brother i condemn these series of mass shootings. I love my christian friends and I respect dini zao ndio tumeumbwa hivyo. I just thought I should say this to people and nitangulize Apologies kama nitakua nimemkwaza mtu kwa namna moja ama nyingine.

Gyabonga Wafowethu.
Mkuu mimi nimekaa na waislam maeneo ya Lindi na Mtwara pia nimesoma nao, kwa kifupi mna ka ubaguzi flani hivi kwa watu ambao siyo waisilam, achilia mbali na ugaidi ambao unazungumziwa sijajua kitabu chetu kitukufu kinasemaje kuhusu upendo au labda viongoz wenu ndio wanakipotosha,

Hakuna kitu nilikuwa sipendi kama kuitwa kafiri na kunyanyaswa eti kisa ni mkristo, alafu na hiyo sura yenu inayosema muislam ndugu yake muislam inasababisha maafa makunwa sana katika jamii, haya yote yanatokea kwa sababu vikundi vyote vya kigaidi vinaanzia katika nchi za ki islam na wadhamini utakuta ni waislam,

Nimesikia kuwa ukifa katika Allah unakuta mabikira saba huko peponi labda ndio inababisha haya yote,

All in all kuna mahali hapako sawa kwenye uislam ndio mana haya yote yanatokea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani we kuitwa kafiri unaitafsirije? Kafiri ni mtu asiye Muislam sasa wewe nini kinakuchukiza hapo
Mkuu mimi nimekaa na waislam maeneo ya Lindi na Mtwara pia nimesoma nao, kwa kifupi mna ka ubaguzi flani hivi kwa watu ambao siyo waisilam, achilia mbali na ugaidi ambao unazungumziwa sijajua kitabu chetu kitukufu kinasemaje kuhusu upendo au labda viongoz wenu ndio wanakipotosha,

Hakuna kitu nilikuwa sipendi kama kuitwa kafiri na kunyanyaswa eti kisa ni mkristo, alafu na hiyo sura yenu inayosema muislam ndugu yake muislam inasababisha maafa makunwa sana katika jamii, haya yote yanatokea kwa sababu vikundi vyote vya kigaidi vinaanzia katika nchi za ki islam na wadhamini utakuta ni waislam,

Nimesikia kuwa ukifa katika Allah unakuta mabikira saba huko peponi labda ndio inababisha haya yote,

All in all kuna mahali hapako sawa kwenye uislam ndio mana haya yote yanatokea

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila mimi nina swali, ni kwanini waumini wa dini ya kiislamu dunia nzima hawaungani na binadamu wengine katika kukemea ugaidi na kukemea dini/imani yao kuhusishwa na maswala ya ugaidi.....?!

Kitu ambacho ninakiona mara nyingi ni wao kusifia yale matendo bila kujali kuwa yanawachafua wote....

Yaani mfano wake ni kama pale kuwe na mzazi ana mtoto tapeli na mwizi, ashindwe mkemea tabia ile kwa maana ina mdhalilisha yeye kama mzazi na familia yake kwa ujumla........lakini ashindwe kemea sababu mtoto huyu huyu kupitia kazi ya wizi na utapeli anakuwa anapeleka matumizi nyumbani......

Wrong is wrong hata kama anaefanya wrong anajaribu kujustify kuwa anafanya hivyo ili kutimiza kazi ya kiimani.....hakuna upuuzi kama huo.......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huyo muiran safi sana...alitoa jibu mujaarab kabisa....kikubwa ni dini ya kiisalam kuweka mkakati mkubwa kabisa wa dunia nzima kuzuia waumini wake kufanya matendo maovu, kwa ku quote kile kitabu muhimu.....maana tunaposema watu wa dini nyingine wasihusishe uislamu na ugaidi, alafu kesho wanajitokeza watu ambao wana swali huku wamevaa majambia shingoni, alafu ijumaa alafu wakimaliza swalat wanakata kichwa cha mwandishi wa habari, huku wakitumia maneno "takbiir" nijambo ambalo haliwezekani....au hao wa kenya hapo ambao wan mpango mkakati wa kutokomeza ma khafeer kwa kuchinya kulipua a kupiga risasi, in their religion's holly name alafu useme watu wasihusishe ile dini na ugaidi ni unafiki wa standadi geji
 
huyo muiran safi sana...alitoa jibu mujaarab kabisa....kikubwa ni dini ya kiisalam kuweka mkakati mkubwa kabisa wa dunia nzima kuzuia waumini wake kufanya matendo maovu, kwa ku quote kile kitabu muhimu.....maana tunaposema watu wa dini nyingine wasihusishe uislamu na ugaidi, alafu kesho wanajitokeza watu ambao wana swali huku wamevaa majambia shingoni, alafu ijumaa alafu wakimaliza swalat wanakata kichwa cha mwandishi wa habari, huku wakitumia maneno "takbiir" nijambo ambalo haliwezekani....au hao wa kenya hapo ambao wan mpango mkakati wa kutokomeza ma khafeer kwa kuchinya kulipua a kupiga risasi, in their religion's holly name alafu useme watu wasihusishe ile dini na ugaidi ni unafiki wa standadi geji
Utasikia Alkhubariii mtu anachinjwaa shingooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Alafu mtu anasema wasiusishe Uislamu na Ugaidii hakuna kitu kama hichooo why Hatujawahi sikia wakisema Bwana Yesu asifiwe wakati wanawachinja watuu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi ushawapatia kick si muda mrefu tu utakujasikia wakitumia hilo jina lkn tatizo nguvu za Yesu wanazijua vzr ndiyomaana hawawezi kuthubutu kutaja jina lake.
Utasikia Alkhubariii mtu anachinjwaa shingooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Alafu mtu anasema wasiusishe Uislamu na Ugaidii hakuna kitu kama hichooo why Hatujawahi sikia wakisema Bwana Yesu asifiwe wakati wanawachinja watuu...

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
labda niwaulize hao magaidi mnaowaita waislam wanavyoua huwa wanauliza kama wewe nimuislam au mkristo?..au lugha yakiarabu ndoinawachanganya kwamsiokuwa naujuzi nayo,'neno ALLAHU AKBAR' ambalo hutumika vibaya maana yake ni MUNGU MKUBWA...kazu nivazi waarabu hutumia kam mavazi mengine vilevile ...basi kama waislam nimagaidi zanzibar ungekuta ishazama kwadam..mambo mengine nkutumia akili uliyojaliwa na mungu wako..
nawewe uliesema suala laubaguz umekosea sana hujawahi baguliwa jarbu kwenda nchi za wenzetu nahyo rangi yako nyeusi kama yangu utapata maana sahihi yaubaguzi..suala laubaguz nitamaduni tu za jamii fulani ila uislam haujawahi fundisha tabia chafu hyo
NB; Mbora kati yetu niyule aliyemcha Mungu kwakufata mafundisho yake nakuacha makatazo yake,,Mola mjuzi wa yote.
 
Back
Top Bottom