Ujana maji ya moto

Ujana maji ya moto

Mr mutuu

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2023
Posts
2,869
Reaction score
14,501
Wakuu muda sio muda natarajia Kula hiki kipande (Mombo to Segerea) naelekea Tanga, katika memory zangu sitakaa nikisahau hiki kipande kabisa, kila nikipita hapa huwa nacheka, it happened kama miaka 12 iliyopita nikipita kipande hiki na pikipiki usiku mnene, nafata nini? Ndo kichekesho sasa, ngoja nafika Tanga nakuja na Uzi kamili ntaedit hapa hapa😃
 
Wakuu muda sio muda natarajia Kula Hiki kipande (mombo to segera) naelekea tanga, katika memory zangu sitakaa nikisahau hiki kipande kabisa, kila nikipita hapa hua nacheka, it happened kama miaka 12 iliyopita nikipita kipande hiki na pikipiki usiku mnene, nafata Nini??? Ndo kichekesho sasa, ngoja nafika tanga nakuja na Uzi kamili ntaedit hapa hapa😃
Huyo kwenye DP ni wewe au?
 
Mkuu, tulisha kubaliana mtu akianza kulewa asianzishe uzi...🤓
 
Back
Top Bottom