Huyo kwenye DP ni wewe au?Wakuu muda sio muda natarajia Kula Hiki kipande (mombo to segera) naelekea tanga, katika memory zangu sitakaa nikisahau hiki kipande kabisa, kila nikipita hapa hua nacheka, it happened kama miaka 12 iliyopita nikipita kipande hiki na pikipiki usiku mnene, nafata Nini??? Ndo kichekesho sasa, ngoja nafika tanga nakuja na Uzi kamili ntaedit hapa hapa😃
anabaki kuimba nakuja, baby nakuja,Saivi vipi una mzuka wa kuifata? Kumfata tu wife bafuni unaona kipengele
Anavaa hapo hata huhisi kituanabaki kuimba nakuja, baby nakuja,