Ujanja ujanja wa GSM kwenye ligi anauleta mpaka TRA na bandarini

Ujanja ujanja wa GSM kwenye ligi anauleta mpaka TRA na bandarini

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
GSM ni kundi la wajanja wajanja wasio na chembe ya uzalendo
Tumesikia wanavyotuhumiwa kucheza na mifumo ya kigi kuu niwaambiehaushii ligi kuu tuhatabandarini na TRA anacheza na mifumo tu.

Siku chache kabla ya Hayati Magufuli kuapishwa alijua kuwa segerea inamuhusu,akaifunga kampuni yaje ya Home Shopping Center,kampuni iliyoendeshwa kijanja kijanja tu.
Bahati mbaya
hakuna wa kumgusa kwa sasa
 
GSM ni kundi la wajanja wajanja wasio na chembe ya uzalendo
Tumesikia wanavyotuhumiwa kucheza na mifumo ya kigi kuu niwaambiehaushii ligi kuu tuhatabandarini na TRA anacheza na mifumo tu.

Siku chache kabla ya Hayati Magufuli kuapishwa alijua kuwa segerea inamuhusu,akaifunga kampuni yaje ya Home Shopping Center,kampuni iliyoendeshwa kijanja kijanja tu.
Bahati mbaya
hakuna wa kumgusa kwa sasa
Kwani ni ya nani hii?.
 
Back
Top Bottom