Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui kwanini wasitumie zile Pesa zilizoongezeka maradufu baada mafanikio ya Royal Tour ili kutupunguzia Tozo ili tuweze kumudu mfumoko wa Bei baada ya kipato cha wakulima kuongezeka baada ya kuruhisiwa kuuza nchi kutokana na huruma ya Serikali
Hujaenda kumpokea Makamu wa rais mh Godbless Lema?
Cc RitzNilikuwa na ugeni kutokea chama nambari one. Tukipewa mrejesho wa maendeleo yetu chini ya maono yao:
View attachment 2523198
Yupo johnthebaptist anapayuka tu nje ya topic kama kuku anayetaka kutoa Yai!!!Ccm Huwaoni Hapa
Ccm is a sign of failureHii ndiyo serikali yetu kwenye ubora wake:
View attachment 2521397
View attachment 2521389
View attachment 2521388
View attachment 2521399
View attachment 2521476
View attachment 2521526
Kwa mtaji huu kuna haja ya kuziangalia upya zinazoitwa siri za rerikali.
Pia Kuna haja ya kukiangalia upya kinachoitwa "collective obligation" kwenye kuitetea serikali.
Ccm matapeli sanaNilikuwa na ugeni kutokea chama nambari one. Tukipewa mrejesho wa maendeleo yetu chini ya maono yao:
View attachment 2523198
Hiyo picha ya ridhiwani inaonyesha m viongozi wa ccm walivyokuwa empty minded