NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Nashukuru umenisanua,nitampa Simba over 4.5Nani mjinga asiyekua na akili kwani Nani asiyejua kuwa Kuna mpango unatengenezwa makusudi ili mchezaji wa Simba sc apate kiatu Cha ufungaji Bora??
Kocha wa Polisi Tanzania hutufai katika ligi yetu kutokana na utumbo /njama za wazi zinazofanyika ili hao Mabwana angalau wafute machozi.
Coastal union na Simba sc ni Kama beka na Bakari tu tunajua Nini kitafuata lazima mazingira yatengenezwe ili Saidoo Ntibazonkiza achukue kiatu mbele ya Fistoni kalala Mayele.
Nani mjinga asiyekua na akili kwani Nani asiyejua kuwa Kuna mpango unatengenezwa makusudi ili mchezaji wa Simba sc apate kiatu Cha ufungaji Bora??
Kocha wa Polisi Tanzania hutufai katika ligi yetu kutokana na utumbo /njama za wazi zinazofanyika ili hao Mabwana angalau wafute machozi.
Coastal union na Simba sc ni Kama beka na Bakari tu tunajua Nini kitafuata lazima mazingira yatengenezwe ili Saidoo Ntibazonkiza achukue kiatu mbele ya Fistoni kalala Mayele.
Kiatu Cha CAF CC kinatoshaWanajitia dole na kujinusa wenyewe.
Kiwango gani mtu mmoja anafunga goli tano ndiyo kiwango??Polisi ndiyo walikuwa wanahitaji ushindi kuliko Simba. Kiwango kimeamua mchezo.
Mbona mnalalamika sana, hata mkishindwa kuwafikisha kileleni wake zenu mtasema Simba ìnahusikaNani mjinga asiyekua na akili kwani Nani asiyejua kuwa Kuna mpango unatengenezwa makusudi ili mchezaji wa Simba sc apate kiatu Cha ufungaji Bora??
Kocha wa Polisi Tanzania hutufai katika ligi yetu kutokana na utumbo /njama za wazi zinazofanyika ili hao Mabwana angalau wafute machozi.
Coastal union na Simba sc ni Kama beka na Bakari tu tunajua Nini kitafuata lazima mazingira yatengenezwe ili Saidoo Ntibazonkiza achukue kiatu mbele ya Fistoni kalala Mayele.
AahahjaaMalengo ya simba kila siku yanabadilika, sasa team inataka kuwa mfungaji bora,
Basi waruhusiwe magoli ya team nzima yajumlishwe, waendaliwe dinner na kupongezwa na Job Ndungai, wakodishiwe BM coach ile class ya juu.
Endelea kulia ngwenaKiwango gani mtu mmoja anafunga goli tano ndiyo kiwango??
Baleke hakuchezeswa makusudi na huo ni mpango.Mbona mnalalamika sana,hata mkishindwa kuwafikisha kileleni wake zenu mtasema Simba ìnahusika
Siyo ajabu. Mimi nimewahi kufunga goli sitaKiwango gani mtu mmoja anafunga goli tano ndiyo kiwango??
Labda haujaangalia mechi toka mwanzo ila Baleke alianza akaumia.Baleke hakuchezeswa makusudi na huo ni mpango.
Kuna watu walenda na malengo ya kombe wakarudi na malengo ya medaliMalengo ya simba kila siku yanabadilika, sasa team inataka kuwa mfungaji bora,
Basi waruhusiwe magoli ya team nzima yajumlishwe, waendaliwe dinner na kupongezwa na Job Ndungai, wakodishiwe BM coach ile class ya juu.
Sasa akichukua wewe unaumia nini kwa shutuma zako ambazo ni pumba hazina hata uthibitisho wowote? Kwani mpira si tumeuona wote ulivyochezwa? Kama Ntiba anastahili wacha achukue hakuna shida, tukutane msimu ujao!Nani mjinga asiyekua na akili kwani Nani asiyejua kuwa Kuna mpango unatengenezwa makusudi ili mchezaji wa Simba sc apate kiatu Cha ufungaji Bora??
Kocha wa Polisi Tanzania hutufai katika ligi yetu kutokana na utumbo /njama za wazi zinazofanyika ili hao Mabwana angalau wafute machozi.
Coastal union na Simba sc ni Kama beka na Bakari tu tunajua Nini kitafuata lazima mazingira yatengenezwe ili Saidoo Ntibazonkiza achukue kiatu mbele ya Fistoni kalala Mayele.
Kwani kwenye ligi hii ni timu gani yenye magoli mengi ya kufunga? Tuanzie hapo!Kiwango gani mtu mmoja anafunga goli tano ndiyo kiwango??
Na nyie mchezesheni Mayelle afunge.Baleke hakuchezeswa makusudi na huo ni mpango.
Wewe ndiyo unampangia kocha mchezaji wa kucheza? Pimbi wewe, wacha Ntiba achukue kiatu, wewe unawashwa na nini huko nyuma mwiko?Baleke hakuchezeswa makusudi na huo ni mpango.