Ujanja uliotumika kwa kocha wa Polisi Tanzania ndio utakaotumika kwa Coastal Union (Wanamangushi)

Ujanja uliotumika kwa kocha wa Polisi Tanzania ndio utakaotumika kwa Coastal Union (Wanamangushi)

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Nani mjinga asiyekua na akili kwani Nani asiyejua kuwa Kuna mpango unatengenezwa makusudi ili mchezaji wa Simba sc apate kiatu Cha ufungaji Bora?

Kocha wa Polisi Tanzania hutufai katika ligi yetu kutokana na utumbo /njama za wazi zinazofanyika ili hao Mabwana angalau wafute machozi.

Coastal union na Simba sc ni Kama beka na Bakari tu tunajua Nini kitafuata lazima mazingira yatengenezwe ili Saidoo Ntibazonkiza achukue kiatu mbele ya Fistoni kalala Mayele.
 
Nani mjinga asiyekua na akili kwani Nani asiyejua kuwa Kuna mpango unatengenezwa makusudi ili mchezaji wa Simba sc apate kiatu Cha ufungaji Bora??

Kocha wa Polisi Tanzania hutufai katika ligi yetu kutokana na utumbo /njama za wazi zinazofanyika ili hao Mabwana angalau wafute machozi.

Coastal union na Simba sc ni Kama beka na Bakari tu tunajua Nini kitafuata lazima mazingira yatengenezwe ili Saidoo Ntibazonkiza achukue kiatu mbele ya Fistoni kalala Mayele.
Nashukuru umenisanua,nitampa Simba over 4.5

Mkuu SAYVILLE hii mechi itakuwa tarehe ngapi!?
 

Attachments

  • Screenshot_20230606-201725~2.png
    Screenshot_20230606-201725~2.png
    28.3 KB · Views: 4
Nani mjinga asiyekua na akili kwani Nani asiyejua kuwa Kuna mpango unatengenezwa makusudi ili mchezaji wa Simba sc apate kiatu Cha ufungaji Bora??

Kocha wa Polisi Tanzania hutufai katika ligi yetu kutokana na utumbo /njama za wazi zinazofanyika ili hao Mabwana angalau wafute machozi.

Coastal union na Simba sc ni Kama beka na Bakari tu tunajua Nini kitafuata lazima mazingira yatengenezwe ili Saidoo Ntibazonkiza achukue kiatu mbele ya Fistoni kalala Mayele.
 

Attachments

  • FB_IMG_1685865513846.jpg
    FB_IMG_1685865513846.jpg
    84.1 KB · Views: 2
Nani mjinga asiyekua na akili kwani Nani asiyejua kuwa Kuna mpango unatengenezwa makusudi ili mchezaji wa Simba sc apate kiatu Cha ufungaji Bora??

Kocha wa Polisi Tanzania hutufai katika ligi yetu kutokana na utumbo /njama za wazi zinazofanyika ili hao Mabwana angalau wafute machozi.

Coastal union na Simba sc ni Kama beka na Bakari tu tunajua Nini kitafuata lazima mazingira yatengenezwe ili Saidoo Ntibazonkiza achukue kiatu mbele ya Fistoni kalala Mayele.
Mbona mnalalamika sana, hata mkishindwa kuwafikisha kileleni wake zenu mtasema Simba ìnahusika
 
Malengo ya simba kila siku yanabadilika, sasa team inataka kuwa mfungaji bora,
Basi waruhusiwe magoli ya team nzima yajumlishwe, waendaliwe dinner na kupongezwa na Job Ndungai, wakodishiwe BM coach ile class ya juu.
Aahahjaa
 
Nani mjinga asiyekua na akili kwani Nani asiyejua kuwa Kuna mpango unatengenezwa makusudi ili mchezaji wa Simba sc apate kiatu Cha ufungaji Bora??

Kocha wa Polisi Tanzania hutufai katika ligi yetu kutokana na utumbo /njama za wazi zinazofanyika ili hao Mabwana angalau wafute machozi.

Coastal union na Simba sc ni Kama beka na Bakari tu tunajua Nini kitafuata lazima mazingira yatengenezwe ili Saidoo Ntibazonkiza achukue kiatu mbele ya Fistoni kalala Mayele.
Sasa akichukua wewe unaumia nini kwa shutuma zako ambazo ni pumba hazina hata uthibitisho wowote? Kwani mpira si tumeuona wote ulivyochezwa? Kama Ntiba anastahili wacha achukue hakuna shida, tukutane msimu ujao!
 
Back
Top Bottom