Ujanja wote lakini simuelewi nisaidieni


Nimekuelewa ndugu yangu ahsante kwa ushauri nitaufanyia kazi na kuleta majibu kama +/-
 

Ahsante kwa ushauri wako nitauanyia kazi kiukweli nimeupenda sana na unatoa jibu la uhakika. Ila kuhusu kumuuliza nilishawahi but akiwambali anasema halita jirudia anaomba msamaha lkn anairudia hy tabia
 
mnategeana au mnaogopana kuambiana ukweli.

Hii inatokana hofu ya kukataliwa.
Kila mmoja anawaza akikataa itakuwaje? Itakuwa aibu? Mnapoteza urafiki?

Hilo linawezekana analo yy coz nilisha mwambia awe huru kunijibu lolote na asichukue madaraka yangu kama chambo au kigezo cha kunikubali kama ananipenda anipende kama mwanachuo baki au mtu wa kawaida asiena madaraka yeyote kama nilivyo mpenda mm. Chaajabu ndio hicho kwenye cm anakubali face 2 face anakwepa kukabiliana na mm
 
anapendelea kutembea? Week end ijayo nendeni out,tembeleeni zoo,sehemu za ukumbusho,ufukweni etc,punguza userious mu have fun halafu muulize tatizo lake,mnapendana lakini mnategeana
 
ahsante kwa ushauri nitaufanyia kazi
 
Unaomba ushauri kutokea daaaah, Nasiku akikukubalia uombe ushauri jinsi ya kum....pia.grow up!
 
kijana wengi tumepita vyuo mbalimbali. huyo ujue anaye mtu sasa anaona soo kuwa nawewe hadharani
 
Ilitakiwa ajue huyo dada wa darasani kwako ni mtu wako wa karibu.......you could have killed a prey with simple tool.....jealous!.......sasa kaona you are just a simple a Presidaa my foot humvutii tena,yamebaki mazoea tu,and she simply avoid you.

She chats with you mambo ya mapenzi just to like a friend material!

 
nahisi huyo dada ana men hapo chuo,thats why inamuwia vigumu kuamua au kuwa na wewe karibu,hebu jaribu kuchunguza kwanz
 
Nani kakwambia wewe ni mjanja!! unadhani kuwa kiongoz wa chuo ndo ujanja? huyo keshakushinda, na kwa taarifa yako hajafiwa na mjomba wake wala nini, yupo kwa njemba limemuweka ndani linakula mzigo...Loh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…