Ochu
JF-Expert Member
- May 13, 2008
- 976
- 47
hata hu ujasiri hana maana alifungia vituo vya mafuta wakagoma na hawakufunga wakanedelea kufanya kazi kama kawa na akawa mpole...hamna lolote ni kubebana tuuAmina MRISHO Said
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hata hu ujasiri hana maana alifungia vituo vya mafuta wakagoma na hawakufunga wakanedelea kufanya kazi kama kawa na akawa mpole...hamna lolote ni kubebana tuuAmina MRISHO Said
hata hu ujasiri hana maana alifungia vituo vya mafuta wakagoma na hawakufunga wakanedelea kufanya kazi kama kawa na akawa mpole...hamna lolote ni kubebana tuu
Amehamishwa sana huyu kwa miaka hii minne. Au ndio utendaji uliotukuka anahitajika kila mahali?
kimsingi kama ndivyo alivyo; hafai kuwa Mbunge wa kawaida. Anatakiwa kuwa mbuneg wa kuteuliwa halafu anapewa uwaziri wa kusimamia matokeo.. we need results oriented leadership..
Huyu mama namjua vizuri, kabla ya pwani alikuwa Iringa, hafai kabisa kuwa waziri, maamuzi yake ni ya mlipuko with no thinking. alitusumbua sana alivyohama tulishangilia.
ni mimi mwenyewe nakunywa safari_ni_safariOchu,
Huyo avatar wako anakunywa nini?mbona hamalizi....
Alikuwa karani wa statistical library,akachaguliwa kuwa DC Bukoba,wakati watu wanajiandaa kumfanyia party ya kumkaribisha akateuliwa kuwa RC Iringa..imagine that..a promotion in under a month
ni mimi mwenyewe nakunywa safari_ni_safari
utawajua tu watendaji wetu!!Huyu mama namjua vizuri, kabla ya pwani alikuwa Iringa, hafai kabisa kuwa waziri, maamuzi yake ni ya mlipuko with no thinking. alitusumbua sana alivyohama tulishangilia.
JF kwa double standards,
Angekua Magufuli amefanya the same, kungekua na nderemo za kumsifia na pengine watu kumtaka agombee urais.
Lakini kwa vile ni mwanamama, na halafu hajjat, watu wanashindwa kukubali kilicho dhahiri.
.
anajiamini...ni shangazi yake mkulu
Kukata mtu mshahara sio kinyume cha sheria?