Ujasiri wa Mwanaume kutogeuka pindi binti mwenye kutamanisha akipita

Ujasiri wa Mwanaume kutogeuka pindi binti mwenye kutamanisha akipita

Mbuty

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2011
Posts
411
Reaction score
238
Hali ya Wanaume kugeuka pindi anapipita binti mwenye kutamanisha (hususan mavazi au maungio) imekuwa intrend sana hususan kwenye miji, baadhi hugeuka shingo ama hutumia njia mbadala ikiwemo hata vioo vya pembeni vya gari kwa wale wenye magari.
Leo, nimeshinda jaribio la aina hiyo, nikiwa kwenye foreni ya kimuona Daktari, alipita mdada ambaye hata wadada na wamama waligeuka pamoja na baadhi ya wakaka ofcoz!
Sasa mimi nikiwa kwenye benchi sehemu ya kuonekana na kila mtu, nikiwa na pete ya ndoa inayongara(ya dhahafu ofcoz) ghafla nikaingiwa na ujasiri wa kuperuzi simu yangu hadi yule mrembo akatokomea!
Well, experience hii natumai inaweza kuwatia moyo wengine[emoji4][emoji16][emoji3526]
 
Hali ya Wanaume kugeuka pindi anapipita binti mwenye kutamanisha (hususan mavazi au maungio) imekuwa intrend sana hususan kwenye miji, baadhi hugeuka shingo ama hutumia njia mbadala ikiwemo hata vioo vya pembeni vya gari kwa wale wenye magari.
Leo, nimeshinda jaribio la aina hiyo, nikiwa kwenye foreni ya kimuona Daktari, alipita mdada ambaye hata wadada na wamama waligeuka pamoja na baadhi ya wakaka ofcoz!
Sasa mimi nikiwa kwenye benchi sehemu ya kuonekana na kila mtu, nikiwa na pete ya ndoa inayongara(ya dhahafu ofcoz) ghafla nikaingiwa na ujasiri wa kuperuzi simu yangu hadi yule mrembo akatokomea!
Well, experience hii natumai inaweza kuwatia moyo wengine[emoji4][emoji16][emoji3526]
Sasa kama haukuona, umewezaje kuandika haya yote......
 
Hali ya Wanaume kugeuka pindi anapipita binti mwenye kutamanisha (hususan mavazi au maungio) imekuwa intrend sana hususan kwenye miji, baadhi hugeuka shingo ama hutumia njia mbadala ikiwemo hata vioo vya pembeni vya gari kwa wale wenye magari.
Leo, nimeshinda jaribio la aina hiyo, nikiwa kwenye foreni ya kimuona Daktari, alipita mdada ambaye hata wadada na wamama waligeuka pamoja na baadhi ya wakaka ofcoz!
Sasa mimi nikiwa kwenye benchi sehemu ya kuonekana na kila mtu, nikiwa na pete ya ndoa inayongara(ya dhahafu ofcoz) ghafla nikaingiwa na ujasiri wa kuperuzi simu yangu hadi yule mrembo akatokomea!
Well, experience hii natumai inaweza kuwatia moyo wengine[emoji4][emoji16][emoji3526]
Cross examination
Kama hukugeuka ulijuaje wamama,wakaka na wadada waligeuka?Ulijuaje mrembo ametokomea?
Jaji naomba shahidi ajibu maswali.
 
Hali ya Wanaume kugeuka pindi anapipita binti mwenye kutamanisha (hususan mavazi au maungio) imekuwa intrend sana hususan kwenye miji, baadhi hugeuka shingo ama hutumia njia mbadala ikiwemo hata vioo vya pembeni vya gari kwa wale wenye magari.
Leo, nimeshinda jaribio la aina hiyo, nikiwa kwenye foreni ya kimuona Daktari, alipita mdada ambaye hata wadada na wamama waligeuka pamoja na baadhi ya wakaka ofcoz!
Sasa mimi nikiwa kwenye benchi sehemu ya kuonekana na kila mtu, nikiwa na pete ya ndoa inayongara(ya dhahafu ofcoz) ghafla nikaingiwa na ujasiri wa kuperuzi simu yangu hadi yule mrembo akatokomea!
Well, experience hii natumai inaweza kuwatia moyo wengine[emoji4][emoji16][emoji3526]
Kama ulikuwa makini , nafsi yako mwenyewe imekupa complement ya ndani sana, ya kujiheshimu, na unaweza kujitofautisha kwa muda huo mfupi nani ameoneka kujiheshimu kati yako na hao wengine....
Sasa hiyo ukiifanyia mazoezi mpaka ikawa inculcated in kama tabia yako, ukajiona wewe upo hivyo ndio utakuwa mshindi zaidi, na huru, maana kama kuna mtu anakulazimisha kugeuka basi wewe ni mtumwa wa huyo, na ukiwa mtumwa kuna vitu vinaambatana na utumwa na ukiwa huru kuna vitu vinaambatana na uhuru pia,
 
Nunua kioo mkuu us I we in shang sika kugeuka unakabinua tu
 
Hali ya Wanaume kugeuka pindi anapipita binti mwenye kutamanisha (hususan mavazi au maungio) imekuwa intrend sana hususan kwenye miji, baadhi hugeuka shingo ama hutumia njia mbadala ikiwemo hata vioo vya pembeni vya gari kwa wale wenye magari.
Leo, nimeshinda jaribio la aina hiyo, nikiwa kwenye foreni ya kimuona Daktari, alipita mdada ambaye hata wadada na wamama waligeuka pamoja na baadhi ya wakaka ofcoz!
Sasa mimi nikiwa kwenye benchi sehemu ya kuonekana na kila mtu, nikiwa na pete ya ndoa inayongara(ya dhahafu ofcoz) ghafla nikaingiwa na ujasiri wa kuperuzi simu yangu hadi yule mrembo akatokomea!
Well, experience hii natumai inaweza kuwatia moyo wengine[emoji4][emoji16][emoji3526]
Upuuzi mtupu, hata kama na Pete ya Shaba, ungeamua kuto geuka ungeweza.
 
Hali ya Wanaume kugeuka pindi anapipita binti mwenye kutamanisha (hususan mavazi au maungio) imekuwa intrend sana hususan kwenye miji, baadhi hugeuka shingo ama hutumia njia mbadala ikiwemo hata vioo vya pembeni vya gari kwa wale wenye magari.
Leo, nimeshinda jaribio la aina hiyo, nikiwa kwenye foreni ya kimuona Daktari, alipita mdada ambaye hata wadada na wamama waligeuka pamoja na baadhi ya wakaka ofcoz!
Sasa mimi nikiwa kwenye benchi sehemu ya kuonekana na kila mtu, nikiwa na pete ya ndoa inayongara(ya dhahafu ofcoz) ghafla nikaingiwa na ujasiri wa kuperuzi simu yangu hadi yule mrembo akatokomea!
Well, experience hii natumai inaweza kuwatia moyo wengine[emoji4][emoji16][emoji3526]

Huna Nguvu za Kiume pamoja na Kuvaa hiyo Pete , trust me
 
Hali ya Wanaume kugeuka pindi anapipita binti mwenye kutamanisha (hususan mavazi au maungio) imekuwa intrend sana hususan kwenye miji, baadhi hugeuka shingo ama hutumia njia mbadala ikiwemo hata vioo vya pembeni vya gari kwa wale wenye magari.
Leo, nimeshinda jaribio la aina hiyo, nikiwa kwenye foreni ya kimuona Daktari, alipita mdada ambaye hata wadada na wamama waligeuka pamoja na baadhi ya wakaka ofcoz!
Sasa mimi nikiwa kwenye benchi sehemu ya kuonekana na kila mtu, nikiwa na pete ya ndoa inayongara(ya dhahafu ofcoz) ghafla nikaingiwa na ujasiri wa kuperuzi simu yangu hadi yule mrembo akatokomea!
Well, experience hii natumai inaweza kuwatia moyo wengine[emoji4][emoji16][emoji3526]
Sipo miongoni mwa majasili huwa najifanyisha tu kwa kuzuga kitu nakuwa nshakichabo kitambo sana
 
Cross examination
Kama hukugeuka ulijuaje wamama,wakaka na wadada waligeuka?Ulijuaje mrembo ametokomea?
Jaji naomba shahidi ajibu maswali.
Ukisoma vzr utaona kuwa, mimi nilikuwa mbele, hivyo, ni dhahiri kwamba, nikiweza kuona matukio yote kabla ya mhusika kunifikia.
 
Kama ulikuwa makini , nafsi yako mwenyewe imekupa complement ya ndani sana, ya kujiheshimu, na unaweza kujitofautisha kwa muda huo mfupi nani ameoneka kujiheshimu kati yako na hao wengine....
Sasa hiyo ukiifanyia mazoezi mpaka ikawa inculcated in kama tabia yako, ukajiona wewe upo hivyo ndio utakuwa mshindi zaidi, na huru, maana kama kuna mtu anakulazimisha kugeuka basi wewe ni mtumwa wa huyo, na ukiwa mtumwa kuna vitu vinaambatana na utumwa na ukiwa huru kuna vitu vinaambatana na uhuru pia,
Umeongea vema, ushindi wa kweli sio dhidi ya vita, bali nafsi kwanza. Ile hali imekuwa stepping stone as kwa sasa naendelea kuwa bora katika hilo.
 
Upuuzi mtupu, hata kama na Pete ya Shaba, ungeamua kuto geuka ungeweza.
Kuna wakati Status yako (ukijitambua) itakusaidia kukuepusha na baadhi ya changamoto. Kikubwa ni kutambua thamani uliyonayo na kuanza kuiishi.
 
Naona hata wewe umeyatumia maneno husika, sitaki kuamini kama nawe ni mmoja wao.
 
Back
Top Bottom