Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakugeuka kwa sababu yeye alishamuona huyo mdada toka mwanzo, kwa hiyo angegeuka angekua anafanya marudio tu!!Haa ha ha; mkuu, umesoma vizuri UZI!? Hajasema habari ya kuona, kasema HAKUGEUKA
Basi Suleiman anasubiri kwanguBiblia inasema yeyote anaye mwangalia mwanamke kwa kumtamani amezini naye 🙂
na yeye alikuwa anakodolea wanawake wengi kukuzidi 😂😂😂Basi Suleiman anasubiri kwangu
Mkuu umeua😂😂😂😂Sasa kama haukuona, umewezaje kuandika haya yote......