Hakugeuka kwa sababu yeye alishamuona huyo mdada toka mwanzo, kwa hiyo angegeuka angekua anafanya marudio tu!!Haa ha ha; mkuu, umesoma vizuri UZI!? Hajasema habari ya kuona, kasema HAKUGEUKA
Basi Suleiman anasubiri kwanguBiblia inasema yeyote anaye mwangalia mwanamke kwa kumtamani amezini naye π
na yeye alikuwa anakodolea wanawake wengi kukuzidi πππBasi Suleiman anasubiri kwangu
Mkuu umeuaππππSasa kama haukuona, umewezaje kuandika haya yote......