Kwa Tanzania sasa ndo tunafumbua macho kuhusu ujasiriamali, baada ya tatizo la ajira kuongezeka kwa kasi ya ajabu. Mtu anamaliza chuo anakaa mtaan miaka bila kupata ajira. Na wengi wameshajiwekea kichwani kuwa ajira ya ofisin tu ndo itakupa maisha mazuri. La Hasha! Watanzania tuamke sasa na tujifunze kujiajiri wenyewe. Mimi nimejiajiri mwenyewe kwa mtaji mdogo sana na kwa muda mfupi tu nimeshapata mafanikio katika maisha yangu. Napata muda wa kukaa na familia yangu, najipangia muda wa kuanza kufanya kazi na naishi maisha ya uhuru bila kusumbuliwa na mtu. Nawahimiza sana kina mama kuanza biashara hii kwani mara nyingi wao ndio wanaohamgaika sana kuhakikisha kuwa mwisho wa siku familia ipo kwenye hali nzuri. Kina baba pia mnaruhusiwa.
N :B kwa wale ambo wameajiriwa na hawataki kuacha kazi zao unaweza kufanya biashara hii kwa part time. Kwa wale wa Arusha na Moshi nitafute ili nikupe siri ya mafanikio yangu.
0753 38 22 00
N :B kwa wale ambo wameajiriwa na hawataki kuacha kazi zao unaweza kufanya biashara hii kwa part time. Kwa wale wa Arusha na Moshi nitafute ili nikupe siri ya mafanikio yangu.
0753 38 22 00