Ujasiriamali unahitaji uvumilivu mkubwa

Ujasiriamali unahitaji uvumilivu mkubwa

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Wapo watu wengi, wanatamani kuwa wajasiriamali; wamiliki biashara zao, kampuni, kiwanda n.k

Na wengi wetu huwa tunalenga kupata faida kwa haraka haraka, na inapotokea ukapata faida kidogo, baada ya kuondoa gharama za uendeshaji, ndipo changamoto za biashara uanza; unakuta umewekeza mtaji labda milioni 5, faida uliyopata labda laki 5 n.k

Kama sio mvumilivu, utajikuta unafunga biashara; na hii ndio sababu kuu ya kuwapoteza watu wengi waliokuwa kwenye bishara na sasa hawapo.

Inawezekana biashara ni kubwa na ina mapato mengi; lakini baada ya kuondoa gharama za uendeshaji, ndipo mwekezaji atatathmini kama faida inamshawishi n.k

Ila mjasiriamali halisi, huvumilia kwa kutafuta namna ya kupunguza gharama za uzalishaji, ili kubaki katika biashara.​
 
Wapo watu wengi, wanatamani kuwa wajasiriamali; wamiliki biashara zao, kampuni, kiwanda n.k

Na wengi wetu huwa tunalenga kupata faida kwa haraka haraka, na inapotokea ukapata faida kidogo, baada ya kuondoa gharama za uendeshaji, ndipo changamoto za biashara uanza; unakuta umewekeza mtaji labda milioni 5, faida uliyopata labda laki 5 n.k

Kama sio mvumilivu, utajikuta unafunga biashara; na hii ndio sababu kuu ya kuwapoteza watu wengi waliokuwa kwenye bishara na sasa hawapo.

Inawezekana biashara ni kubwa na ina mapato mengi; lakini baada ya kuondoa gharama za uendeshaji, ndipo mwekezaji atatathmini kama faida inamshawishi n.k

Ila mjasiriamali halisi, huvumilia kwa kutafuta namna ya kupunguza gharama za uzalishaji, ili kubaki katika biashara.​
Hujaeleweka unamanisha waTanzania hawana uvumilivu, akipata faida kiduchu au unamanisha chagamoto za uwekazaji ni nyingi kupita maelezo hata faida unaipata kwa tabu.
 
Hujaeleweka unamanisha waTanzania hawana uvumilivu, akipata faida kiduchu au unamanisha chagamoto za uwekazaji ni nyingi kupita maelezo hata faida unaipata kwa tabu.
Kinachofanya faida iwe ndogo, ni gharama za uendeshaji
 
Kinachofanya faida iwe ndogo, ni gharama za uendeshaji

Ujasiriamli sio rahisi kabisa, utakuta siku uko na amani unapigiwa simu ya matatizo tayari headache uka solve changamoto

shida ni gharama za uendeshaji halafu usiombe kukawa na leakage (unaibiwa mahala) ndio maana watu wanauza biashara zao
 
Ukianza ujasiriamali shusha matarajio ya kufanikiwa kwa haraka haraka, matarajio makubwa ndio uumiza watu mioyo mwisho ukata tamaa ya biashara baada ya mambo kwenda mlama kiasi kwamba wanapata internally n' externally pressure finally uwezo wao wa kufikiria kwa mapana ushuka kwa kiwango kikubwa.
Nb: kama huna ujasiri internally usifanye ujasiriamali.
 
Back
Top Bottom