Ujasiriamali: Usindikaji wa Yoghurt na Mtindi

Naweza pata namba yako Mkuu pm me Tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nahitaji hizi package za uht
Hizi sijajua upatikanaji wake lakini nahisi aliExpress inaweza kuwa suruhu ya hili tatizo lako.

Kwani hicho utakachoweka unakuwa umekizalisha under UHT parameters au unataka uzibadilishie matumizi.
 
Hizi sijajua upatikanaji wake lakini nahisi aliExpress inaweza kuwa suruhu ya hili tatizo lako.

Kwani hicho utakachoweka unakuwa umekizalisha under UHT parameters au unataka uzibadilishie matumizi.
??
 
Safi,sasa ikitokea joto limeshuka halafu nikaongeza maji ili kufanya joto liendelee kuwa 42 na bahati mbaya joto likazidi 42, hao bacteria humo ndani si watatafutana mkuu? (wataipata pata fresh ya shamba na zoezi lote likaishia hapo)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…