General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Nazidi kukusoma Mkuu.
Asante
Asante
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shusha nondo aiseeNimerudi mkuu,
karibu
Santeee..Nimefurahi you're back.....haya tulisongesheNimerudi mama
Tunasubiri nondo. Umekuja na kuondoka.Nishakuja mpendwaaa
Mie napenda nijue jinsi ya kusindika wine ya Rosella..Karibu mkuu.
Nakaribisha maswali
Unapenda pombee eehMie napenda nijue jinsi ya kusindika wine ya Rosella..
Hili somo litakuja, ngoja tulimalize hiliMie napenda nijue jinsi ya kusindika wine ya Rosella..
Zitakuja mkuudaaah!nakusubiri, baada ya mada hii lete ya tomato na chill sauce
Ukiziweka nitagZitakuja mkuu
Tofautikwani yoghurt si ndio mtindi au niaje sijaelewa hapo, yoghurt ni neno la kizungu na mtindi kiswahili au ni vitu viwili tofauti
Nitofauti kabisa mkuukwani yoghurt si ndio mtindi au niaje sijaelewa hapo, yoghurt ni neno la kizungu na mtindi kiswahili au ni vitu viwili tofauti
ni tofauti mkuukwani yoghurt si ndio mtindi au niaje sijaelewa hapo, yoghurt ni neno la kizungu na mtindi kiswahili au ni vitu viwili tofauti
mkuu unawazo kama langu mkuu,kwa sasa niko shule mwez wa nane narudi kazini, cha kwanza ni kufanya research ya upatikanaji wa maziwa na soko, nikijirizisha tu naingi NMB, 5mil mfukon naanza mambo,uzuri usafiri upo, labda kukodi jengo tu. pia naomba msaada uni-pastie nondo hizi kwenye email yangu, sim yangu imegoma ku hilight,Mkuu naona hujazungumzia zile mamlaka za serikali zatakazo kuwa zinasimamia ubora wa bidhaa zako, mfano TFDA, TBS n.k
Nadhani kwenye gharama za kuanzia ilitakiwa na hiyo iwemo, plus kodi za majengo ili tupate gharama halisi ya kuinzia.
Lakini umetoa mwanga mzuri sana kwa wenye nia na hii kitu.
Binafsi nimeipenda sana. Tuwasiliane tuone tunafanhaje, mi mtaji ninao