Food Scientist
Senior Member
- Apr 29, 2017
- 102
- 183
- Thread starter
- #101
Sawa Mkuu, uzi utakuja soonAsante kwa huu uzi, tunasubiri muendeleze wa namna ya kutengeneza mtindi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa Mkuu, uzi utakuja soonAsante kwa huu uzi, tunasubiri muendeleze wa namna ya kutengeneza mtindi
Ipo na watu wanapiga ela sana tu[emoji39]hii fursa ipo bado?
karibu mkuu, nawe uwe mjasiriamaliuzi muhimu sana huu kwa wajasiliamali.
mafunzo tunatoa kwa mtu anayetaka kuanzisha kiwanda kidogo, ushauri kwa aliyeanzisha anapokwama nk.Asante kwa uzi huu je mnatoa elimu hii ni campany au? Nitawapataje na ada ya hii elimu ni shilingi ngapi kwa muda gani?
Bidhaa yoyote ya Chakula/ Kinywaji/ Pombe nkUshauri wako upo kwenye maziwa tu au bidhaa nyingine kama unga,juice n.k?
Ukihitaji ufanye kisasa zaidi ili upambane au uwe na market share mtaji wa kiasi gani unahitajika mkuu?Ipo na watu wanapiga ela sana tu[emoji39]
Wewe huduma yako ime base kwenye nini kwa mjasiriamali anayetaka kuanza mwanzo kabisa?Bidhaa yoyote ya Chakula/ Kinywaji/ Pombe nk
Karibu Mkuu
Nasubilia hili somo pia!!Asante sana mkuu, mimi nnasubiria utakapofika somo la maziwa ya unga
Mkuu inategemea na volume unazotaka kuzalisha.Ukihitaji ufanye kisasa zaidi ili upambane au uwe na market share mtaji wa kiasi gani unahitajika mkuu?
Hakuna kiwanda cha maziwa ya Unga hapa Bongo.Asante sana mkuu, mimi nnasubiria utakapofika somo la maziwa ya unga
Jengo hata la kukodi pa kuanzia kwanza, napenda kujua mtaji hata la lita 2000 inaweza kuwa tshs ngapi roughly?Mkuu inategemea na volume unazotaka kuzalisha.
Kama unajengo mtaji si mwingi sana kwa uzalishaji wa Lita 2000.
Jengo ndio huchukua fedha nyingi
30M,Jengo hata la kukodi pa kuanzia kwanza, napenda kujua mtaji hata la lita 2000 inaweza kuwa tshs ngapi roughly?
Million 30 kwa materials na vifungashio tu,mitambo kuna wahindi fulani walitumia quotation dollar elfu 45 ila ushuru si itakuwa nusu na je maziwa yapo ya kutosha kutoka kwa wafugaji?30M,
hapo itakubidi ununue mitambo kabisa na kigar cha kusafirisha
Baada ya kusoma utengenezaji wa Yogurt nimegundua hicho ndicho nimekuwa natengenza kwa muda mrefu. Halafu maziwa yake yana radha tamu mkuu ila mimi huwa natengeneza kwa ajili ya familia na kutumia kiini toka yale ambayo nilitengeneza kabla. Je kuna tatizo kiafya, ingawa sijawahi ona ila huwezi jua.ndio mkuu, nitofauti.
Isome mada vzr
mkuu ungedadavua kidogo hapaHakuna kiwanda cha maziwa ya Unga hapa Bongo.
Hii ni kutokana na ukosefu wa malighafi.
Maziwa ya Unga unahitaji zaidi ya lita milioni moja za maziwa.
Kiwanda kikubwa cha Tanga freshi kina uwezi wa lita laki moja tena bado kwa shida sana.
Hivyo kwa maziwa tulio nayo hayatoshi kutosheleza maziwa ya unga.
Hujaelewa wapi mkuumkuu ungedadavua kidogo hapa
Hakuna tatizo kutumia yoghurt iliyopita kugandisha maziwa. Hiyo ji natural culture.Baada ya kusoma utengenezaji wa Yogurt nimegundua hicho ndicho nimekuwa natengenza kwa muda mrefu. Halafu maziwa yake yana radha tamu mkuu ila mimi huwa natengeneza kwa ajili ya familia na kutumia kiini toka yale ambayo nilitengeneza kabla. Je kuna tatizo kiafya, ingawa sijawahi ona ila huwezi jua.
mkuu unaposema zaidi lita milioni moja, kwanni ztumike lite nyng kiasi hchoHujaelewa wapi mkuu
Nashukuru kwa ushauri na mimi nipo sensitive sana kwenye maziwa sababu ndo mlo wangu mkuu.Hakuna tatizo kutumia yoghurt iliyopita kugandisha maziwa. Hiyo ji natural culture.
Kikubwa uiitahidi katika hygiene na kuzuia contamination ili usitengeneze maziwa yenye maji, kukata kwa maziwa na yoghurt kuchacha haraka.