kesho kutwa
JF-Expert Member
- Dec 7, 2016
- 1,722
- 1,965
Wakuu kama uzi unavyojieleza Kati ya mbuzi na kuku ufugaji upi unaweza kukupa tija bila kukumbana na majanga ya magonjwa kama kuku mfano gomboro. Kideli nk.. Najua Kuna watu humu wameula wa chuya kwenye kuku mimi m1 wapo Sasa tucheki mbuzi Kwa upande wa pili.kama wewe ni mdau karibu ujiunge kweny link hii
Ufugaji wa mbuzi
Ufugaji wa mbuzi