malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
Yaan mkuu nibalaa Sasa hivi mkiwa faragha hakuna kusinzia hata kidgo naukaguzi ufanyike chumba kizimaKuna mambo ya ajabu sana.
Simu za nini watu mpo faragha..
Mkuu namaanisha tuwe majasusi tuwapo faragha nawenzutu...tusikae kizembe zembe tukarekodiwa Kisha tukauzwa kwa mangekimambiYaan umeanzisha uzi Kama wote tunajua unachojua .ur very idiot
Labda Kuna litamthiria jipya la pilau linataka kutolewa...🤣Nini Tena kimetokea jamani..😁😁
Hebu weka full details wengi hatujasikia lolote juu yabmanaraMkuu namaanisha tuwe majasusi tuwapo faragha nawenzutu...tusikae kizembe zembe tukarekodiwa Kisha tukauzwa kwa mangekimambi
Na puliSuluhisho la kudumu ni kuachana na uzinzi tu.
Inaonekana kuna mambo mengi yanaendelea Ila wengine tupo nyumanyuma Yani hatuelewa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nini Tena kimetokea jamani..[emoji16][emoji16]
Ningekuwa admin nawafungulia jukwaa lao la umbea wa mjiniInaonekana kuna mambo mengi yanaendelea Ila wengine tupo nyumanyuma Yani hatuelewa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa Puli imeingiaje? Kwamba Mafuta ya Parachute yatakurekodi?Na puli
Ushamba ndio tatizoKuna mambo ya ajabu sana.
Simu za nini watu mpo faragha..