Ujasusi na uongozi: Mafanikio ya rais Putin katika kuirejesha tena Urusi

Hapa ulikosea kidogo sana hiyo time frame.
Ungesema 2021-2025
Niliandika mwaka 2017 huu uzi nikitegemea utawala wa D.J.Trump kuisha mwaka 2020 na 2021 uchaguzi. Binafsi sikutegemea kama Vladmir angevamia Ukraine kimabavu hivi kama alivyofanya 2022.​
 
Mwamba unajua kama ni Taifa hapa lina rasilimali mtu na kama Taifa hapa lilisomesha, hongera sana unachambua mambo hadi nakuonea wivu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…