Ujasusi: Silaha Hatari na Siri za Mataifa

Ujasusi: Silaha Hatari na Siri za Mataifa

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Ujasusi ndio silaha ya hatari kwa nchi yeyote duniani. Ujasusi ndio silaha ya kisasa ktk kukabiliana na changamoto zina ikabili Dunia ujasusi ndio nyenzo ya ushindi kwa adui yako ukiwa hauna watu wazuri ktk ujasusi basi bila shaka usalama wako ni mdogo na kama ni mwenye nguvu basi waweza kuwa dhaifu mbele za maadui zako.

Hivi umewahi jiuliza nakutafakari why Taifa dogo sana Israel linaogopwa na kuheshimiwa na mataifa makubwa? Kiasi hata Taifa kama German walifika mahali wakaomba poo nakuanza walipa ma billion ya dollar kama kifuta jasho kwa ubaya waliwafanyia?

Hivi umewahi kujiuliza nn siri ya Taifa kama Marekani au British? Jibu ni moja hawa ni majemedari wa ujasusi duniani. Wamehakikisha huwezi wasema vibaya au vizuri wasijuwe Nini umesema.

Kwa sasa duniani Marekani anaongoza kwa kupigana vita kwa jina la Democrasia hawapoi wala hawalali Yani ni mwendo wa wakuamgusha serikali moja kwenda nyingine.

Vita ya majasusi ni moja ya vita mbaya na Kali sana ambapo lengo na dhima ya kila mission nikuzima upande mmoja wa adui kuendelea na jambo fulani ambalo kwa mwenzake anaona lina hatarisha masilahi na Uhai wa Taifa au serikali. Vita hii huwa ni vita ya kimya sana ila huwa ina angusha watu muhimu kutoka kila ngome ya majasusi na huwo huwa ndio mwisho wa mission.

Wakati fulani kule Iraq wamarekani walikuwa wakiondokewa na watu muhimu ktk system na mbaya kuliko yote watu hao walikuwa ni watu muhimu sana ktk mission za kijeshi na usalama wa Taifa la Marekani Yani ni watu waliokuwa under cover wana combat ila pia ni wana usalama wa CIA Yani walikuwa wakipeleka data muhimu kwa usalama wa Taifa.

Vifo hivi vilikuwa vikimfikia Rais wa Marekani pamoja na proposal za Nini cha kufanya ku rescue situation.

Wakati haya yanatokea CIA walikuwa wakiomba taarifa za siri kwa Rafiki yake pendwa Israel kujuwa nani anafanya haya na kwanini? Ndipo majasusi wa Israel aka mosssa walipo watonya CIA mkuu wa kikosi maalumu cha mapinduzi wa Iran bwana Kasim Suleiman anaingia nakutoka na kuwauwa wakandarasi wa jeshi la Marekani kama kuku wake bandani. Siri hii haikuwa. Ikiaminika sana mpaka kwenye utawala wa Tramp ambaye aliwaamini Israel na kweli aka sign huyo kamanda auwawe ndani ya Ardhi ya Iraq ili iwe proof ya uwovu wake ikumbukwe ktk sheria za kimataifa haziruhusu wakuu wa majeshi kuingia Taifa la mwenzako kwa siri pasipo wasiliana na serikali husika huyu jamaa akiingia pasipo fuwata utaratibu na ndio maana hata Iran iliwauma sana japo alie tekeleza shambulizi ni Marekani ila mtoa taarifa alikuwa Israel na ndio maana chuki ni Kali Sana kwa Israel.

Iran anajuwa bila Israel USA wasingeweza toboa why una weza mdhibiti adui kwa watu wanao mjua
 
Ujasusi ndio silaha ya hatari kwa nchi yeyote duniani. Ujasusi ndio silaha ya kisasa ktk kukabiliana na changamoto zina ikabili Dunia ujasusi ndio nyenzo ya ushindi kwa adui yako ukiwa hauna watu wazuri ktk ujasusi basi bila shaka usalama wako ni mdogo na kama ni mwenye nguvu basi waweza kuwa dhaifu mbele za maadui zako.
Hivi umewahi jiuliza nakutafakari why Taifa dogo sana Israel linaogopwa na kuheshimiwa na mataifa makubwa? Kiasi hata Taifa kama German walifika mahali wakaomba poo nakuanza walipa ma billion ya dollar kama kifuta jasho kwa ubaya waliwafanyia?
Hivi umewahi kujiuliza nn siri ya Taifa kama Marekani au British? Jibu ni moja hawa ni majemedari wa ujasusi duniani. Wamehakikisha huwezi wasema vibaya au vizuri wasijuwe Nini umesema.
Kwa sasa duniani Marekani anaongoza kwa kupigana vita kwa jina la Democrasia hawapoi wala hawalali Yani ni mwendo wa wakuamgusha serikali moja kwenda nyingine.
Vita ya majasusi ni moja ya vita mbaya na Kali sana ambapo lengo na dhima ya kila mission nikuzima upande mmoja wa adui kuendelea na jambo fulani ambalo kwa mwenzake anaona lina hatarisha masilahi na Uhai wa Taifa au serikali. Vita hii huwa ni vita ya kimya sana ila huwa ina angusha watu muhimu kutoka kila ngome ya majasusi na huwo huwa ndio mwisho wa mission. Wakati fulani kule Iraq wamarekani walikuwa wakiondokewa na watu muhimu ktk system na mbaya kuliko yote watu hao walikuwa ni watu muhimu sana ktk mission za kijeshi na usalama wa Taifa la Marekani Yani ni watu waliokuwa under cover wana combat ila pia ni wana usalama wa CIA Yani walikuwa wakipeleka data muhimu kwa usalama wa Taifa. Vifo hivi vilikuwa vikimfikia Rais wa Marekani pamoja na proposal za Nini cha kufanya ku rescue situation.

Wakati haya yanatokea CIA walikuwa wakiomba taarifa za siri kwa Rafiki yake pendwa Israel kujuwa nani anafanya haya na kwanini? Ndipo majasusi wa Israel aka mosssa walipo watonya CIA mkuu wa kikosi maalumu cha mapinduzi wa Iran bwana Kasim Suleiman anaingia nakutoka na kuwauwa wakandarasi wa jeshi la Marekani kama kuku wake bandani. Siri hii haikuwa. Ikiaminika sana mpaka kwenye utawala wa Tramp ambaye aliwaamini Israel na kweli aka sign huyo kamanda auwawe ndani ya Ardhi ya Iraq ili iwe proof ya uwovu wake ikumbukwe ktk sheria za kimataifa haziruhusu wakuu wa majeshi kuingia Taifa la mwenzako kwa siri pasipo wasiliana na serikali husika huyu jamaa akiingia pasipo fuwata utaratibu na ndio maana hata Iran iliwauma sana japo alie tekeleza shambulizi ni Marekani ila mtoa taarifa alikuwa Israel na ndio maana chuki ni Kali Sana kwa Israel. Iran anajuwa bila Israel USA wasingeweza toboa why una weza mdhibiti adui kwa watu wanao mjua
Nita au operation tu


USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania Majasusi tunao ila.. narudia tena ila..

Nahisi wengi ni vilaza na wachache wana uwelewa mkubwa wa Mambo.
 
Ujasusi ndio silaha ya hatari kwa nchi yeyote duniani. Ujasusi ndio silaha ya kisasa ktk kukabiliana na changamoto zina ikabili Dunia ujasusi ndio nyenzo ya ushindi kwa adui yako ukiwa hauna watu wazuri ktk ujasusi basi bila shaka usalama wako ni mdogo na kama ni mwenye nguvu basi waweza kuwa dhaifu mbele za maadui zako.

Hivi umewahi jiuliza nakutafakari why Taifa dogo sana Israel linaogopwa na kuheshimiwa na mataifa makubwa? Kiasi hata Taifa kama German walifika mahali wakaomba poo nakuanza walipa ma billion ya dollar kama kifuta jasho kwa ubaya waliwafanyia?

Hivi umewahi kujiuliza nn siri ya Taifa kama Marekani au British? Jibu ni moja hawa ni majemedari wa ujasusi duniani. Wamehakikisha huwezi wasema vibaya au vizuri wasijuwe Nini umesema.

Kwa sasa duniani Marekani anaongoza kwa kupigana vita kwa jina la Democrasia hawapoi wala hawalali Yani ni mwendo wa wakuamgusha serikali moja kwenda nyingine.

Vita ya majasusi ni moja ya vita mbaya na Kali sana ambapo lengo na dhima ya kila mission nikuzima upande mmoja wa adui kuendelea na jambo fulani ambalo kwa mwenzake anaona lina hatarisha masilahi na Uhai wa Taifa au serikali. Vita hii huwa ni vita ya kimya sana ila huwa ina angusha watu muhimu kutoka kila ngome ya majasusi na huwo huwa ndio mwisho wa mission.

Wakati fulani kule Iraq wamarekani walikuwa wakiondokewa na watu muhimu ktk system na mbaya kuliko yote watu hao walikuwa ni watu muhimu sana ktk mission za kijeshi na usalama wa Taifa la Marekani Yani ni watu waliokuwa under cover wana combat ila pia ni wana usalama wa CIA Yani walikuwa wakipeleka data muhimu kwa usalama wa Taifa.

Vifo hivi vilikuwa vikimfikia Rais wa Marekani pamoja na proposal za Nini cha kufanya ku rescue situation.

Wakati haya yanatokea CIA walikuwa wakiomba taarifa za siri kwa Rafiki yake pendwa Israel kujuwa nani anafanya haya na kwanini? Ndipo majasusi wa Israel aka mosssa walipo watonya CIA mkuu wa kikosi maalumu cha mapinduzi wa Iran bwana Kasim Suleiman anaingia nakutoka na kuwauwa wakandarasi wa jeshi la Marekani kama kuku wake bandani. Siri hii haikuwa. Ikiaminika sana mpaka kwenye utawala wa Tramp ambaye aliwaamini Israel na kweli aka sign huyo kamanda auwawe ndani ya Ardhi ya Iraq ili iwe proof ya uwovu wake ikumbukwe ktk sheria za kimataifa haziruhusu wakuu wa majeshi kuingia Taifa la mwenzako kwa siri pasipo wasiliana na serikali husika huyu jamaa akiingia pasipo fuwata utaratibu na ndio maana hata Iran iliwauma sana japo alie tekeleza shambulizi ni Marekani ila mtoa taarifa alikuwa Israel na ndio maana chuki ni Kali Sana kwa Israel.

Iran anajuwa bila Israel USA wasingeweza toboa why una weza mdhibiti adui kwa watu wanao mjua
Mkuu jitahidi kuandika kifasaha basi daah "Tramp"...etc
 
Ujasusi ndio silaha ya hatari kwa nchi yeyote duniani. Ujasusi ndio silaha ya kisasa ktk kukabiliana na changamoto zina ikabili Dunia ujasusi ndio nyenzo ya ushindi kwa adui yako ukiwa hauna watu wazuri ktk ujasusi basi bila shaka usalama wako ni mdogo na kama ni mwenye nguvu basi waweza kuwa dhaifu mbele za maadui zako.

Hivi umewahi jiuliza nakutafakari why Taifa dogo sana Israel linaogopwa na kuheshimiwa na mataifa makubwa? Kiasi hata Taifa kama German walifika mahali wakaomba poo nakuanza walipa ma billion ya dollar kama kifuta jasho kwa ubaya waliwafanyia?

Hivi umewahi kujiuliza nn siri ya Taifa kama Marekani au British? Jibu ni moja hawa ni majemedari wa ujasusi duniani. Wamehakikisha huwezi wasema vibaya au vizuri wasijuwe Nini umesema.

Kwa sasa duniani Marekani anaongoza kwa kupigana vita kwa jina la Democrasia hawapoi wala hawalali Yani ni mwendo wa wakuamgusha serikali moja kwenda nyingine.

Vita ya majasusi ni moja ya vita mbaya na Kali sana ambapo lengo na dhima ya kila mission nikuzima upande mmoja wa adui kuendelea na jambo fulani ambalo kwa mwenzake anaona lina hatarisha masilahi na Uhai wa Taifa au serikali. Vita hii huwa ni vita ya kimya sana ila huwa ina angusha watu muhimu kutoka kila ngome ya majasusi na huwo huwa ndio mwisho wa mission.

Wakati fulani kule Iraq wamarekani walikuwa wakiondokewa na watu muhimu ktk system na mbaya kuliko yote watu hao walikuwa ni watu muhimu sana ktk mission za kijeshi na usalama wa Taifa la Marekani Yani ni watu waliokuwa under cover wana combat ila pia ni wana usalama wa CIA Yani walikuwa wakipeleka data muhimu kwa usalama wa Taifa.

Vifo hivi vilikuwa vikimfikia Rais wa Marekani pamoja na proposal za Nini cha kufanya ku rescue situation.

Wakati haya yanatokea CIA walikuwa wakiomba taarifa za siri kwa Rafiki yake pendwa Israel kujuwa nani anafanya haya na kwanini? Ndipo majasusi wa Israel aka mosssa walipo watonya CIA mkuu wa kikosi maalumu cha mapinduzi wa Iran bwana Kasim Suleiman anaingia nakutoka na kuwauwa wakandarasi wa jeshi la Marekani kama kuku wake bandani. Siri hii haikuwa. Ikiaminika sana mpaka kwenye utawala wa Tramp ambaye aliwaamini Israel na kweli aka sign huyo kamanda auwawe ndani ya Ardhi ya Iraq ili iwe proof ya uwovu wake ikumbukwe ktk sheria za kimataifa haziruhusu wakuu wa majeshi kuingia Taifa la mwenzako kwa siri pasipo wasiliana na serikali husika huyu jamaa akiingia pasipo fuwata utaratibu na ndio maana hata Iran iliwauma sana japo alie tekeleza shambulizi ni Marekani ila mtoa taarifa alikuwa Israel na ndio maana chuki ni Kali Sana kwa Israel.

Iran anajuwa bila Israel USA wasingeweza toboa why una weza mdhibiti adui kwa watu wanao mjua
Ingawaje sina hakika km inaendelea lkn ngoja niweke kambi
JamiiForums458960362.jpg
 
Ujasusi ndio silaha ya hatari kwa nchi yeyote duniani. Ujasusi ndio silaha ya kisasa ktk kukabiliana na changamoto zina ikabili Dunia ujasusi ndio nyenzo ya ushindi kwa adui yako ukiwa hauna watu wazuri ktk ujasusi basi bila shaka usalama wako ni mdogo na kama ni mwenye nguvu basi waweza kuwa dhaifu mbele za maadui zako.

Hivi umewahi jiuliza nakutafakari why Taifa dogo sana Israel linaogopwa na kuheshimiwa na mataifa makubwa? Kiasi hata Taifa kama German walifika mahali wakaomba poo nakuanza walipa ma billion ya dollar kama kifuta jasho kwa ubaya waliwafanyia?

Hivi umewahi kujiuliza nn siri ya Taifa kama Marekani au British? Jibu ni moja hawa ni majemedari wa ujasusi duniani. Wamehakikisha huwezi wasema vibaya au vizuri wasijuwe Nini umesema.

Kwa sasa duniani Marekani anaongoza kwa kupigana vita kwa jina la Democrasia hawapoi wala hawalali Yani ni mwendo wa wakuamgusha serikali moja kwenda nyingine.

Vita ya majasusi ni moja ya vita mbaya na Kali sana ambapo lengo na dhima ya kila mission nikuzima upande mmoja wa adui kuendelea na jambo fulani ambalo kwa mwenzake anaona lina hatarisha masilahi na Uhai wa Taifa au serikali. Vita hii huwa ni vita ya kimya sana ila huwa ina angusha watu muhimu kutoka kila ngome ya majasusi na huwo huwa ndio mwisho wa mission.

Wakati fulani kule Iraq wamarekani walikuwa wakiondokewa na watu muhimu ktk system na mbaya kuliko yote watu hao walikuwa ni watu muhimu sana ktk mission za kijeshi na usalama wa Taifa la Marekani Yani ni watu waliokuwa under cover wana combat ila pia ni wana usalama wa CIA Yani walikuwa wakipeleka data muhimu kwa usalama wa Taifa.

Vifo hivi vilikuwa vikimfikia Rais wa Marekani pamoja na proposal za Nini cha kufanya ku rescue situation.

Wakati haya yanatokea CIA walikuwa wakiomba taarifa za siri kwa Rafiki yake pendwa Israel kujuwa nani anafanya haya na kwanini? Ndipo majasusi wa Israel aka mosssa walipo watonya CIA mkuu wa kikosi maalumu cha mapinduzi wa Iran bwana Kasim Suleiman anaingia nakutoka na kuwauwa wakandarasi wa jeshi la Marekani kama kuku wake bandani. Siri hii haikuwa. Ikiaminika sana mpaka kwenye utawala wa Tramp ambaye aliwaamini Israel na kweli aka sign huyo kamanda auwawe ndani ya Ardhi ya Iraq ili iwe proof ya uwovu wake ikumbukwe ktk sheria za kimataifa haziruhusu wakuu wa majeshi kuingia Taifa la mwenzako kwa siri pasipo wasiliana na serikali husika huyu jamaa akiingia pasipo fuwata utaratibu na ndio maana hata Iran iliwauma sana japo alie tekeleza shambulizi ni Marekani ila mtoa taarifa alikuwa Israel na ndio maana chuki ni Kali Sana kwa Israel.

Iran anajuwa bila Israel USA wasingeweza toboa why una weza mdhibiti adui kwa watu wanao mjua
Siyo mchezo. Haya mambo makubwa eti
 
Ujasusi ndio silaha ya hatari kwa nchi yeyote duniani. Ujasusi ndio silaha ya kisasa ktk kukabiliana na changamoto zina ikabili Dunia ujasusi ndio nyenzo ya ushindi kwa adui yako ukiwa hauna watu wazuri ktk ujasusi basi bila shaka usalama wako ni mdogo na kama ni mwenye nguvu basi waweza kuwa dhaifu mbele za maadui zako.

Hivi umewahi jiuliza nakutafakari why Taifa dogo sana Israel linaogopwa na kuheshimiwa na mataifa makubwa? Kiasi hata Taifa kama German walifika mahali wakaomba poo nakuanza walipa ma billion ya dollar kama kifuta jasho kwa ubaya waliwafanyia?

Hivi umewahi kujiuliza nn siri ya Taifa kama Marekani au British? Jibu ni moja hawa ni majemedari wa ujasusi duniani. Wamehakikisha huwezi wasema vibaya au vizuri wasijuwe Nini umesema.

Kwa sasa duniani Marekani anaongoza kwa kupigana vita kwa jina la Democrasia hawapoi wala hawalali Yani ni mwendo wa wakuamgusha serikali moja kwenda nyingine.

Vita ya majasusi ni moja ya vita mbaya na Kali sana ambapo lengo na dhima ya kila mission nikuzima upande mmoja wa adui kuendelea na jambo fulani ambalo kwa mwenzake anaona lina hatarisha masilahi na Uhai wa Taifa au serikali. Vita hii huwa ni vita ya kimya sana ila huwa ina angusha watu muhimu kutoka kila ngome ya majasusi na huwo huwa ndio mwisho wa mission.

Wakati fulani kule Iraq wamarekani walikuwa wakiondokewa na watu muhimu ktk system na mbaya kuliko yote watu hao walikuwa ni watu muhimu sana ktk mission za kijeshi na usalama wa Taifa la Marekani Yani ni watu waliokuwa under cover wana combat ila pia ni wana usalama wa CIA Yani walikuwa wakipeleka data muhimu kwa usalama wa Taifa.

Vifo hivi vilikuwa vikimfikia Rais wa Marekani pamoja na proposal za Nini cha kufanya ku rescue situation.

Wakati haya yanatokea CIA walikuwa wakiomba taarifa za siri kwa Rafiki yake pendwa Israel kujuwa nani anafanya haya na kwanini? Ndipo majasusi wa Israel aka mosssa walipo watonya CIA mkuu wa kikosi maalumu cha mapinduzi wa Iran bwana Kasim Suleiman anaingia nakutoka na kuwauwa wakandarasi wa jeshi la Marekani kama kuku wake bandani. Siri hii haikuwa. Ikiaminika sana mpaka kwenye utawala wa Tramp ambaye aliwaamini Israel na kweli aka sign huyo kamanda auwawe ndani ya Ardhi ya Iraq ili iwe proof ya uwovu wake ikumbukwe ktk sheria za kimataifa haziruhusu wakuu wa majeshi kuingia Taifa la mwenzako kwa siri pasipo wasiliana na serikali husika huyu jamaa akiingia pasipo fuwata utaratibu na ndio maana hata Iran iliwauma sana japo alie tekeleza shambulizi ni Marekani ila mtoa taarifa alikuwa Israel na ndio maana chuki ni Kali Sana kwa Israel.

Iran anajuwa bila Israel USA wasingeweza toboa why una weza mdhibiti adui kwa watu wanao mjua
Nchi kadhaa duniani zinaacha kufanya biashara Kwa kutumia dollar.

Kuachana na dollar kutaishumbisha USA kiuchumi na nchi zaUlaya,

Hayo mashirika uloyataja hawakuliona hili?
20230504_191957.jpg
 
Ujasusi ndio silaha ya hatari kwa nchi yeyote duniani. Ujasusi ndio silaha ya kisasa ktk kukabiliana na changamoto zina ikabili Dunia ujasusi ndio nyenzo ya ushindi kwa adui yako ukiwa hauna watu wazuri ktk ujasusi basi bila shaka usalama wako ni mdogo na kama ni mwenye nguvu basi waweza kuwa dhaifu mbele za maadui zako.

Hivi umewahi jiuliza nakutafakari why Taifa dogo sana Israel linaogopwa na kuheshimiwa na mataifa makubwa? Kiasi hata Taifa kama German walifika mahali wakaomba poo nakuanza walipa ma billion ya dollar kama kifuta jasho kwa ubaya waliwafanyia?

Hivi umewahi kujiuliza nn siri ya Taifa kama Marekani au British? Jibu ni moja hawa ni majemedari wa ujasusi duniani. Wamehakikisha huwezi wasema vibaya au vizuri wasijuwe Nini umesema.

Kwa sasa duniani Marekani anaongoza kwa kupigana vita kwa jina la Democrasia hawapoi wala hawalali Yani ni mwendo wa wakuamgusha serikali moja kwenda nyingine.

Vita ya majasusi ni moja ya vita mbaya na Kali sana ambapo lengo na dhima ya kila mission nikuzima upande mmoja wa adui kuendelea na jambo fulani ambalo kwa mwenzake anaona lina hatarisha masilahi na Uhai wa Taifa au serikali. Vita hii huwa ni vita ya kimya sana ila huwa ina angusha watu muhimu kutoka kila ngome ya majasusi na huwo huwa ndio mwisho wa mission.

Wakati fulani kule Iraq wamarekani walikuwa wakiondokewa na watu muhimu ktk system na mbaya kuliko yote watu hao walikuwa ni watu muhimu sana ktk mission za kijeshi na usalama wa Taifa la Marekani Yani ni watu waliokuwa under cover wana combat ila pia ni wana usalama wa CIA Yani walikuwa wakipeleka data muhimu kwa usalama wa Taifa.

Vifo hivi vilikuwa vikimfikia Rais wa Marekani pamoja na proposal za Nini cha kufanya ku rescue situation.

Wakati haya yanatokea CIA walikuwa wakiomba taarifa za siri kwa Rafiki yake pendwa Israel kujuwa nani anafanya haya na kwanini? Ndipo majasusi wa Israel aka mosssa walipo watonya CIA mkuu wa kikosi maalumu cha mapinduzi wa Iran bwana Kasim Suleiman anaingia nakutoka na kuwauwa wakandarasi wa jeshi la Marekani kama kuku wake bandani. Siri hii haikuwa. Ikiaminika sana mpaka kwenye utawala wa Tramp ambaye aliwaamini Israel na kweli aka sign huyo kamanda auwawe ndani ya Ardhi ya Iraq ili iwe proof ya uwovu wake ikumbukwe ktk sheria za kimataifa haziruhusu wakuu wa majeshi kuingia Taifa la mwenzako kwa siri pasipo wasiliana na serikali husika huyu jamaa akiingia pasipo fuwata utaratibu na ndio maana hata Iran iliwauma sana japo alie tekeleza shambulizi ni Marekani ila mtoa taarifa alikuwa Israel na ndio maana chuki ni Kali Sana kwa Israel.

Iran anajuwa bila Israel USA wasingeweza toboa why una weza mdhibiti adui kwa watu wanao mjua
Ujasusi wa sasa ni wa kiuchumi, kiteknolojia na kisayansi zaidi.

Ukuaji wa AI(Artificial Intelligence) , uhandisi jamii (social engineering), mashindano ya kutafuta siri za kibiashara na ukuaji wa social media (mitandao ya kijamii) ni kielelezo tosha kwamba ujasusi wa sasa umefikia hali ya juu kabisa.

Ukitaka kuelewa zaidi jifunze hii kitu Intelligence Cycle inavyofanya kazi.

Intelligence_Information_Cycle.png


Yaani jasusi apata habari kutoka kwenye vyanzo mbalimbali (Public ) na kisha azitoa kwa sponsor na kisha sponsor azichakata habari kupitia wachambuzi au analysts na kisha sponsor huyo huchangishana habari hizo kwa mtindo uloeleza yaani kwa mfano CIA na Mossard (shared Control).

Lakini Tanzania nayo ipo vema kwenye hii kwani bila kuwa na IC hatuwezi kuwa salama kama nchi.
 
Ujasusi wa sasa ni wa kiuchumi, kiteknolojia na kisayansi zaidi.

Ukuaji wa AI(Artificial Intelligence) , uhandisi jamii (social engineering), mashindano ya kutafuta siri za kibiashara na ukuaji wa social media (mitandao ya kijamii) ni kielelezo tosha kwamba ujasusi wa sasa umefikia hali ya juu kabisa.

Ukitaka kuelewa zaidi jifunze hii kitu Intelligence Cycle inavyofanya kazi.

Intelligence_Information_Cycle.png


Yaani jasusi apata habari kutoka kwenye vyanzo mbalimbali (Public ) na kisha azitoa kwa sponsor na kisha sponsor azichakata habari kupitia wachambuzi au analysts na kisha sponsor huyo huchangishana habari hizo kwa mtindo uloeleza yaani kwa mfano CIA na Mossard (shared Control).

Lakini Tanzania nayo ipo vema kwenye hii kwani bila kuwa na IC hatuwezi kuwa salama kama nchi.
Mkuu tupo Nyuma sana

Sijui kama unaujua uhalisia halisi
 
Back
Top Bottom