Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa unacheka nini 🤣Pole sana
Namba ya simu umeweka ya nini?
For sureNenda kapime tena kwenye hospitals nyingine mbili tofauti
Ukiona kaweka namba ya simu ujue kweli kuna tatizo.Ulitoka na mume wa mtu si ndio?
Well saidUkiona kaweka namba ya simu ujue kweli kuna tatizo.
Usipende kuchangia kwa maneno kama hayo. Fikiri zaidi.
Mawasiliano zaidi kwa wenye kusaidia kutatua tatizo.Pole sana
Namba ya simu umeweka ya nini?
Pole sana DadaHabarini
Nna ujauzito nimepima
Nkaenda kufanya na ultrasound
Sasa ivi napata mwez wa 6 wa ujauzito wangu
Nimekuja Leo hospital kupima sound mimba inasoma Ina week 2
Si umwi kokote mwilini
Msaaada wenu jamaii
She needs help ASAP, ni rahis kupata mtu kwa simu kuliko kwa if, au nasema uwongo ?Pole sana
Namba ya simu umeweka ya nini?
Mh! leo kila sehemu yenye mimba mimba upo!..😅Pole sana
Namba ya simu umeweka ya nini?
Yaani wanasema tu inaweza bila kufanya uchunguzi zaidi wala kukushughulikia wala kukupa uhakika ? Hao kazi yao ni kutibu na kukupa peace of mind / msaada au kukupa panic ?Wanasema inaweza ikawa imeharibika
Sawa mpigieShe needs help ASAP, ni rahis kupata mtu kwa simu kuliko kwa if, au nasema uwongo ?