Habarini za asubuhi wana jf,
Mwenzenu nimekuwa katika hali ya mateso ya uchovu usioisha na mara nyingine kutapika kila asubuhi kwa muda mrefu sasa yapata miezi mitano sasa na mke wangu mjamzito naugua lakini ninachougua hakijulikani.
Nimefanya vipimo karibia vyote vya kitabibu lakini hakuna ugonjwa wowote ambao unaonekana mwilini.
Nimeenda mpaka kwa wataalamu wa tiba mbadala hadi kwenye maombi imeshindikana bado hiyo hali niko nayo mpaka inanifanya kutoweza kufanya kazi.
Sasa naomba kuuliza hivi kuna uhusiano wowote ujauzito kumtesa mwanaume?
Naomba mnisaidie.
Mwenzenu nimekuwa katika hali ya mateso ya uchovu usioisha na mara nyingine kutapika kila asubuhi kwa muda mrefu sasa yapata miezi mitano sasa na mke wangu mjamzito naugua lakini ninachougua hakijulikani.
Nimefanya vipimo karibia vyote vya kitabibu lakini hakuna ugonjwa wowote ambao unaonekana mwilini.
Nimeenda mpaka kwa wataalamu wa tiba mbadala hadi kwenye maombi imeshindikana bado hiyo hali niko nayo mpaka inanifanya kutoweza kufanya kazi.
Sasa naomba kuuliza hivi kuna uhusiano wowote ujauzito kumtesa mwanaume?
Naomba mnisaidie.