Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza ungefafanua, kikiwa negative maana yake ipo au haipo?Habar zenu??eti unaweza kuwa na ujauzito wa mwezi mmoja ukipima kipimo kikasoma Negative
kipimo gani kimetumika?Habar zenu??eti unaweza kuwa na ujauzito wa mwezi mmoja ukipima kipimo kikasoma Negative
Kama upi mkuu tofauti na before 1 week mwingine ni upi kwa mfano?Kuna ujauzito ukipima kwa UPT hauonekani
KAMA U P TEST IMEKWISHA MUDA WAKE(EXPIRED) AU HAIKUTUNZWA VEMAKuna ujauzito ukipima kwa UPT hauonekani
always upt majibu yake ni accurate ikiwa tu itatumika sahihi
KAMA U P TEST IMEKWISHA MUDA WAKE(EXPIRED) AU HAIKUTUNZWA VEMA
Wiki 2 ultrasound itaonekana ktk hali Fulani Kama fibrosis.Unatakiwa upige ultrasound au nn?
Kuna kipimo Zaid ya ultrasound lakini mmmmmh! Niishie hapoSasa mnashauri kipimo gani kitumike ambacho kitaleta majibu anuwai tumsaidie chibonge wakuu.
Kuna mtu aliwahi kuniambia kipo kipimo hata ujauzito ukiwa na siku 1 unaonekana ni kipi hiko wakuu...?
Wiki 2 ultrasound itaonekana ktk hali Fulani Kama fibrosis.
Kuna kipimo Zaid ya ultrasound lakini mmmmmh! Niishie hapo
Kipo ila madhara yake Ni makubwa na kwakua chibonge anashauku ya kujua Kama ana UJAUZITO japo wa siku kadhaaa hata jali madhara yanayoweza kumpata yeye atahitaji hicho kipimo kwa GHARAMA YOYOTE!!Usiishie hapo funguka mkuu ili tumsaidie chibonge aisee.
Tatizo mi mvivu kuandika sijui nikopi pestiDuh madhara gn hayo jaman