Veronica7598
JF-Expert Member
- Jan 2, 2017
- 361
- 408
Pole sana! Changamoto kwetu ni wataalam wa kusoma hizo report. Daktari wako anasemaje?Nimefanya ultrasound Mara 4, tofauti kila moja inasema tarehe yke, nyingine tar 16:6, 1:7, 10:7 yaan haina ukweli
Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
Nimefanya ultrasound Mara 4, tofauti kila moja inasema tarehe yke, nyingine tar 16:6, 1:7, 10:7 yaan haina ukweli
Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
Amen my dearKujifungua ni -14 days au +14 days ya due date.
Ila unabidi uwe unaonwa na madaktari pia haswa unavyoonekana hauyajui haya.
Wataona vipi wanaweza kukusaidia atoke na pia kuangalia mtoto amekaaje ni muhimu sana.
Kwa sababu una wasiwasi, nakushauri wahi hospitali wakufanyie yote na kukueleza ili ujue na kukaa na amani.
Nenda hosp hofu yako sio nzuri kukaa hivyo.
Nakutakia kila la kheri Mama Kijacho. Mbarikiwe