Veronica7598
JF-Expert Member
- Jan 2, 2017
- 361
- 408
Aman iwe kwenu wakuu.
Wakuu nina ujauzito wa week40, lakini mpaka sasa naona kimyaaa mambo hayaja nichanganyia, napata maumivu sna hasa ya kiuno na mgongo.
Je nikawaida niendelee kuvumilia au nirudi tena hospital kwa uchunguzi zaidi.
Nasikia wahenga wanasema mtoto akikaa sana tumboni eti anaweza pata madhara je! Panaukweli hapo!
Msaada wenu wataalam.
Wakuu nina ujauzito wa week40, lakini mpaka sasa naona kimyaaa mambo hayaja nichanganyia, napata maumivu sna hasa ya kiuno na mgongo.
Je nikawaida niendelee kuvumilia au nirudi tena hospital kwa uchunguzi zaidi.
Nasikia wahenga wanasema mtoto akikaa sana tumboni eti anaweza pata madhara je! Panaukweli hapo!
Msaada wenu wataalam.