Ujauzito

Ujauzito

Jean piaget

Senior Member
Joined
Mar 15, 2014
Posts
143
Reaction score
34
Hi JF members,
Mke wangu ana ujauzito wa miezi 3 na wiki kadhaa lakin chunusi zimemtoka usoni (vichunusi vidogo vidogo lakni vingi), na hii ndio mimba yake ya kwanza.

Kabla ya ujauzito usoni alikua soft uson, je akijifungua zitaisha zenyewe?

Je kipindi cha pre_natal stage wanawake wengi hutokewa na hali hii?

Je ni mafuta gani anaweza tumia ili kuondoa hali hii but yasiwe na chemical.

NB: Hii ni kwa wanaojua tu, kama hujui soma kimya kimya comment za wenzako ili nawe ujifunze.
 
Vipele ni kawaida it will keep on changing...ataonesha mabadiliko mengi tu na badae atapona may be hata kabla hajajifungua..God's wish.

Asipende kupaka sana mafuta usoni..labda ya Nazi. Awe natural tu. Sometimes anaweza toka vipele kwenye mkono kwa juu pia.

Kuhusu dawa simshauri atumie sawa yoyote kwakuwa u never know huko mbeleni anaweza kupatwa magonjwa au homa za vipindi time ujauzito unakua na lazima atumie dawa....so kupungiza sumu za dawa mwilini muda huu mwache kwanza uangalie development yake, otherwise kama hali ni tete watakuja wataalamu wa tiba hapa, pia clinic ni muhimu.
MziziMkavu Riwa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom