Ujenzi bora wa mabanda ya kufugia kuku wa kisasa na kienyeji

Ujenzi bora wa mabanda ya kufugia kuku wa kisasa na kienyeji

I love JF, Kuzaliwa masikini sio kosa lako ila kufa masikini ni kosa lako.
 
nimeipenda. wazo ninalo muda mrefu, na vyumba ninavyo muda mrefu. Tatizo watalamu wanazingua, nilimualika mtaalamu mmoja, mpaka leo naedelea kumsubiri
 
Nawashukuluni xaana tena saana kwa ushauli wena jnvi la jf.niko najpanga hdi kifikia mnamo mwez wa 6 takuwa nimeanza ufgaji wa kk wa kienyeji
 
Kaka naomba upost hilo banda lako niweze kuona jinsi ulivyo lipanua na kukuwezesha kuwaingiza kuku 500. Plss msaada wko kk.
 
Naombeni munisaidie ukubwa na namna ya kujenga banda zuri la kisasa ambalo linaweza kkufuga aina yoyote ya kuku (kisasa au kienyeji).

Nataraji kuanza na kuku wa kienyeji. Je, nianze na kuku wakubwa au vifaranga? Wangapi?

Ntashukuru kwa ushauri wenu maana naona kweli JF ni mkonbozi na nimeamua kuanza ufugaji mara baada ya kupitia nyuzi mbali mbali zenye kuhamasisha, hongereni kwa nyote mulioanzisha mada na maelezo jinsi faida inavyopatikana.


Majibu kutoka kwa wanaJF



==========

kaka vipi kuhusu kuku wa kienyeeji kuwafuga katika mtindo wa ufugaji wa kuku wa kisasa yaani eneo langu halitoshi kuwaacha wazurule nataka kuwajengea banda washinde humo niwapatie chakula na mahitaji yao wakiwa ndani taratibu zake zinakuwaje ili waweze kjongeza uzalishaji na pia kuwatofautisha wanaotaga na wasiotaga na vifaranga vidogo,eneolangu halijafikiwa na huduma ya umeme pia
 
Naombeni munisaidie ukubwa na namna ya kujenga banda zuri la kisasa ambalo linaweza kkufuga aina yoyote ya kuku (kisasa au kienyeji).

Nataraji kuanza na kuku wa kienyeji. Je, nianze na kuku wakubwa au vifaranga? Wangapi?

Ntashukuru kwa ushauri wenu maana naona kweli JF ni mkonbozi na nimeamua kuanza ufugaji mara baada ya kupitia nyuzi mbali mbali zenye kuhamasisha, hongereni kwa nyote mulioanzisha mada na maelezo jinsi faida inavyopatikana.


Majibu kutoka kwa wanaJF



==========

samahani mkuu hilo banda kama hilo mizengo pinda anaonyesha hapo naweza kupata wapi?
 
Hapa tumefaidi wengi - nijuzeni mnafanya vipi kuzuia wazi na vibaka
 
938e74fafabdc3247eb2c7c397e63a74.jpg
 
Kwa kuku wa kienyeji.....ufugaji mzuri ni wa nusu huria kwa maana ya usiku wanalala bandani mchana nje.
Kwa kuanzia vyumba vitatu: 1: mita 3 (kuku wanaoanzia miezi 2 na kuendelea) 2: mita 2 (kwa mitetea wanaoatamia) 3: mita 2 (kwa ajili ya vifaranga ambao watahifadhiwa kwa kutumia joto, liwe la umeme, maji ya moto kwenye dumu n.k).

Linatakiwa kuwa na madirisha mbele yenye ukubwa kama wa futi 2 kwa kila chumba na mlango unaokuwezesha kuingia bila vikwazo..............Urefu wa banda kama mita 3 tu zinatosha kwa maana kwamba unaweza kuingia na kufanya usafi bila tatizo.

Kumbuka kuku ni ndege kwa hiyo unaweza kupitisha fito pembeni ili wanaotaka kulala wamening'inia wasipate shida. Chini weka pumba za mpunga au maranda ya mbao kuabsorb kinyesi ili kupunguza bakteria.

Kwa sababu ni wa kienyeji nje ya banda unazungushia uwa wa waya ili wasitoke lakini wapate nafasi ya kufanya mazoezi, na kula. Banda la aina hii lina uwezowa kuchukua kuku 300.
VIPI KWA MIMI NINAE TAKA KUFUGA KUKU ZAIDI YA MIA ALAFU NISEHEM YENYE WATU WENGI...
 
Naombeni munisaidie ukubwa na namna ya kujenga banda zuri la kisasa ambalo linaweza kkufuga aina yoyote ya kuku (kisasa au kienyeji).

Nataraji kuanza na kuku wa kienyeji. Je, nianze na kuku wakubwa au vifaranga? Wangapi?

Ntashukuru kwa ushauri wenu maana naona kweli JF ni mkonbozi na nimeamua kuanza ufugaji mara baada ya kupitia nyuzi mbali mbali zenye kuhamasisha, hongereni kwa nyote mulioanzisha mada na maelezo jinsi faida inavyopatikana.


Majibu kutoka kwa wanaJF



==========

Asante kwa kunielemisha nami.
 
Naombeni munisaidie ukubwa na namna ya kujenga banda zuri la kisasa ambalo linaweza kkufuga aina yoyote ya kuku (kisasa au kienyeji).

Nataraji kuanza na kuku wa kienyeji. Je, nianze na kuku wakubwa au vifaranga? Wangapi?

Ntashukuru kwa ushauri wenu maana naona kweli JF ni mkonbozi na nimeamua kuanza ufugaji mara baada ya kupitia nyuzi mbali mbali zenye kuhamasisha, hongereni kwa nyote mulioanzisha mada na maelezo jinsi faida inavyopatikana.


Majibu kutoka kwa wanaJF



==========
Mkuu tupe mrejesho,vipi ulifanikiwa na ile biashara ya Kuku?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom