Ujue wao wameijenga kwa milioni tatu mpaka nne.Hapa ndipo confusion inapo anzia! Juzi nimeongea na kampuni moja ya REAL ESTATE (baada ya kusikia tangazo lao redioni) wanauza nyumba ya vyumba viwili, jiko, choo na sebule ikiwa huko Mwasonga kwa Shilingi 5.5 Milioni! Hii imekaaje wataalamu wangu wa JF!?
Sawa PTER, inawezekana lakini kwenye suala la vyumba vya kulala nadhani kuna standard accepted vipimo inapokuja kwenye hizi nyumba za kuuza yaani za biasharaUjue wao wameijenga kwa milioni tatu mpaka nne.
Au yawezekana ni ndogo sana ukiweka kitanda tu chumba kinajaa.
Mkuu tupe shule ya lintelNatumae mleta mada ulipata muongozo...
Ndiyo maana nilimwambia kwa nyumba hiyo anayotaka kujenga haitavuka millioni tano.Sawa PTER, inawezekana lakini kwenye suala la vyumba vya kulala nadhani kuna standard accepted vipimo inapokuja kwenye hizi nyumba za kuuza yaani za biashara
Naomba namba yao ya simu tafadhali Sana! Ahsante na Mungu akubariki.Hapa ndipo confusion inapo anzia! Juzi nimeongea na kampuni moja ya REAL ESTATE (baada ya kusikia tangazo lao redioni) wanauza nyumba ya vyumba viwili, jiko, choo na sebule ikiwa huko Mwasonga kwa Shilingi 5.5 Milioni! Hii imekaaje wataalamu wangu wa JF!?
Namba zao ni: 0714804182, 0688813028 na 0734406719. Ubarikiwe na kila la heri.Naomba namba yao ya simu tafadhali Sana! Ahsante na Mungu akubariki.
We ni kizazi cha wapi!Watu type yako ni kizazi cha fesibuku,, hamna mnaojua zaidi ya Majigambo tu,, Choo chako kinahusiana vipi na jambo tunaojadili hapa
Huyo kwenye avatar analilia niniWanawake mna shida sana
Kwa hiyo pesa inawezekana?Ujue wao wameijenga kwa milioni tatu mpaka nne.
Au yawezekana ni ndogo sana ukiweka kitanda tu chumba kinajaa.