Ujenzi huu utanigharimu Tshs ngapi?

Ujenzi huu utanigharimu Tshs ngapi?

Hapa ndipo confusion inapo anzia! Juzi nimeongea na kampuni moja ya REAL ESTATE (baada ya kusikia tangazo lao redioni) wanauza nyumba ya vyumba viwili, jiko, choo na sebule ikiwa huko Mwasonga kwa Shilingi 5.5 Milioni! Hii imekaaje wataalamu wangu wa JF!?
Ujue wao wameijenga kwa milioni tatu mpaka nne.

Au yawezekana ni ndogo sana ukiweka kitanda tu chumba kinajaa.
 
Ujue wao wameijenga kwa milioni tatu mpaka nne.

Au yawezekana ni ndogo sana ukiweka kitanda tu chumba kinajaa.
Sawa PTER, inawezekana lakini kwenye suala la vyumba vya kulala nadhani kuna standard accepted vipimo inapokuja kwenye hizi nyumba za kuuza yaani za biashara
 
Sawa PTER, inawezekana lakini kwenye suala la vyumba vya kulala nadhani kuna standard accepted vipimo inapokuja kwenye hizi nyumba za kuuza yaani za biashara
Ndiyo maana nilimwambia kwa nyumba hiyo anayotaka kujenga haitavuka millioni tano.

And probably ikizidi sana milioni 4+.
 
Hapa ndipo confusion inapo anzia! Juzi nimeongea na kampuni moja ya REAL ESTATE (baada ya kusikia tangazo lao redioni) wanauza nyumba ya vyumba viwili, jiko, choo na sebule ikiwa huko Mwasonga kwa Shilingi 5.5 Milioni! Hii imekaaje wataalamu wangu wa JF!?
Naomba namba yao ya simu tafadhali Sana! Ahsante na Mungu akubariki.
 
Back
Top Bottom